Kwa wale waliosoma Seminari za Katoliki

Kwa wale waliosoma Seminari za Katoliki

kidogo sana...sema huyu dogo alisomaga hapo na nilitokea na ukonga parish....ni chalii alikuwaga anapenda sana kuwa padre alikuwa mpole na mnyenyekevu sana hadi tukawa tunamuita ndugu mkapuchini......sijui aliendeleaga huyu chalii

Ndugu gasper assenga yupo St Augustine mwaka wa nne sheria. He was my classmate....surely he was a typical capuchin though alikuwa mbenedictini wa sakarani. I wonder why he diverged from the path
 
Jamani, Mbona siwaoni vijana wa St Mary's Nyegezi Seminary humu, Enzi za Bishop Nkwande, Fr Makungu, Hahaaa Big Show Fr Nhindilo bila kumsahau Fr John Baptist. Nawashukuru sana coz hata misimamo na kutokuyumbiswa kwangu kazini kwenye maswala niliyo na uhakika nayo ni kwa sababu ya hicho kitalu! ...popote nitapokwenda hata kama siwi padre nitalinda heshima ya seminary yetu ya Nyegezi...

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Nimekumbuka maisha ya Rubya Seminary tukiws na misemo ya silensium magnum; INCAUDA VENENUM; tridum sacrum; niliyafurahia sana. Pia namkumbuka kashera; kajoki; majaba; chaba; chako n.k



Hahahaa, we Julius? Umesahau Kaponko, Nyarubanya n.k Mi nilienjoi kuonja divai sakristia (Mkombozi)
 
Waliosoma seminary za Kikatoliki wengi wamelawitiwa/wamelawiti ma Father, ushahidi huu hapa:

He was my priest and my friend. Then I found out he was a paedophile | Comment is free | The Observer

Si Tanzania tu ni dunia nzima:

Catholic sex abuse cases - Wikipedia, the free encyclopedia

Mliosoma seminari za Kikatoliki fungukeni mponeshe majeraha kwa kuondoa madukuduku ya siri mbaya zilizowakaa moyoni.

Mkuu unatumia wikipedia kuhalalisha dhamira yako ovu dhidi ya taasisi ambayo huitambui? MODs watu kama hawa delete kabisa hawapaswi kuitwa great thinkers ni aibu kwa forum yenu
 
Sema unataka ushahidi upi mwingine wa Vatikan? huu hapa:

Satanism In The Vatican!

jamani acheni kubishana na huyu mtu wale wakongwe wa hii forum tunamjua jihadist huyu na sisi Crusade tulishaacha zamani sana na Pope John Paul alishaomba msamaha kwa mazambi yote ya crusades!!! muuache apigane "Cyber Jihad" yake mwenyewe hapa hadi achoke vijana; tufanye maamuzi ya umoja kama yale ya kiseminari tukisema NO ni no na YES ni yes!!! Sasa tuseme NO kwa huyu jihadist ambaye muda umemtosha, kwa pamoja!
 
naona haujui kiswahili vizuri maana ya neno kisenge ni nn?
na je nimemaanisha nn?
sadaka gaani ulinichangia maana mm nilikuwa nalipa karo sasa sijui povu la kutoka la nn?

Naona povu linakutoka lakini kumbuka kwamba ujenzi wa seminary na hata uendeshaji wake hutegemea sadaka za waamini na ndio sababu hata ada zake ni ndogo sio kubwa kama shule nyingine za kanisa ambazo hazipo kwa lengo la kuandaa mapadri....anyway labda kwako hilo neno ni takatifu lakini tazama ukimwambia mzazi wako hayo maneno atajisikiaje ...?
nawasilisha
 
Hahahaa, we Julius? Umesahau Kaponko, Nyarubanya n.k Mi nilienjoi kuonja divai sakristia (Mkombozi)

Kabisa Mkombozi. Du du du ndio maana. Mimi nilienjoy mapera"ebiraba" kwa wingi pale Rutabo Seminary nikiwa ninafuga kuku na pale Rubya Seminary nilienjoy biscut, pipi n.k. nikiwa nauza dukani. Unawakumbuka santa, bakita na kilene, unamkumbuka bugali? Nasikia sasa hivi yuko juu.unapakumbuka Kapere na Salus?
 
Sema unataka ushahidi upi mwingine wa Vatikan? huu hapa:

Satanism In The Vatican!
wewe siyo great thinker bali mdini mkubwa ndiyo maana unatumia wikipedia na viblog uchwara vya kina david stewart ambao naamini unafahamu kabisa ni wazushi lakini kwa lengo la kuhalalisha nia yako ovu dhidi ya taasisi inayoheshimika nchini unawatumia kutukana kanisa.
 
dahh..mkuu..kuna jamaa mmoja alikuwa mwanaharakati sana alikuwa akiitwa Flondu,duzu,mponda,kipemba n.k.huyu chalii flondu(ndunguru) aliendaga mlimani chuo kikuu akawa mwanaharakati sana wakati ule aisee wakala kichwa(walimwekea incomplete)waliona atakuja sumbua ila alisaidia sana ktk mgomo wa kupandisha boom hadi 7000...huyu jamaa yupo wapi dogo mana nilimwacha hapo sps niliondoka 2004 form four....nilimfuatilia sana harakati zake cjui kwa sasa yuko wapi huyu jamaa´.

mmmh! Aisee weye ni clasmate, wakumbuke kina SANJE,SABU,WINDU enzi zile za fr.Kofta, hapa ni KINDE (2001-2004)
 
Utabisha ukweli?



hivi ww mama FaizaFoxy hunaga kazi wewe ni dini tu dini tu kila kitu unahusianisha na dini na ww haangalii uzuri wa kitu bali unapekua uchafu wake!!!

Hakuna dini safi mbona hata nyie wanabakana misikitini kama huko kigoma, mnafunuana buti (Kabang) kama huko pemba, unguja, tanga na mombasa!

sisi hatuyaongelei sio kwamba hatuwezi; ila yana jenga imani ya mtu au kama ukiongelea na kudadisi ww ni mwema!!! au ww mama hujawahi tamani mume au mwanaume akuangushe, mali ya mtu mwingine, kumdharau mmeo, kutoka nje ya ndoa nk? hata kama swala tano na unatawaza kila unakoenda usijione msafi bwana kila mwanadamu ana makosa, so hata hawa viongozi wetu wa dini ikiwa na hao wako ambao unawanafikia kama wema; ila kuwasema unawasaidia kukuongoza ww na waumini wenzako kwa Mungu. Embu fungua bichwa lako hilo uelewe kuwa kuwa kiongozi wa dini hakukuondolei ubinadamu wako kujaribiwa na shetani (shetwan); bali inakusogeza karibu na Mungu, kuwaongoza wengine kuzipata neema za kushinda zambi na kurithi ufalme wa mbingu! Na ukiwa unasoma vitu usichukue kama unabeba Toilet Paper unaenda chooni au maji kwenye bobo unaelekea msalani bali chukua unayosoma changanya na yako ndio upost sio unakuwa kama zuzu bandika na kubandua!
Na pia uelewe maisha sio udini na kushadadia dini ya watu wengine; kazana kujielimisha dini yako muda wote huo umeshinda unasearch maovu ya kanisa ungeshashika maaya kadhaa ya Qoran yako na hadithi za mtume wako Mohamed SAW na sio kila ukiona katoliki upo!? ww mwanamke wa wapi mbea hivyo! Kila thread mguu, mguu tu!!! Na ww fanya yako na kama umeolewa kaa na mumeo ujenge familia yako na uimarishe imani yako!!! Mambo hayakuhusu pita kule huku thawabu desh (hakuna) hizo ni huko huko kwenu!!!
 
sps.jpg haya wadau wa SPS nimepakumbuka hapa mahali kweli, wapi Mwl. Exuper? long live SPS
 
Mimi sijasoma seminari lakini nimesoma habari za seminari jinsi wanavyolawitiana huko na baadhi ya link za niliyoyasoma nimewawekea kwenye hiyo post yangu uliyoijibu na nyinginezo, humu humu kwenye hii nyuzi.

Funguka. Jee, wewe umesoma seminari? unaweza kufunguka?

Okey nilidhani ulivosoma kichwa cha hii mada umeelewa.Kuhusu mimi kama nimesoma seminary rudi kwenye heading ya hii thread utapata jibu
 
hivi ww mama FaizaFoxy hunaga kazi wewe ni dini tu dini tu kila kitu unahusianisha na dini na ww haangalii uzuri wa kitu bali unapekua uchafu wake!!!

Hakuna dini safi mbona hata nyie wanabakana misikitini kama huko kigoma, mnafunuana buti (Kabang) kama huko pemba, unguja, tanga na mombasa!

sisi hatuyaongelei sio kwamba hatuwezi; ila yana jenga imani ya mtu au kama ukiongelea na kudadisi ww ni mwema!!! au ww mama hujawahi tamani mume au mwanaume akuangushe, mali ya mtu mwingine, kumdharau mmeo, kutoka nje ya ndoa nk? hata kama swala tano na unatawaza kila unakoenda usijione msafi bwana kila mwanadamu ana makosa, so hata hawa viongozi wetu wa dini ikiwa na hao wako ambao unawanafikia kama wema; ila kuwasema unawasaidia kukuongoza ww na waumini wenzako kwa Mungu. Embu fungua bichwa lako hilo uelewe kuwa kuwa kiongozi wa dini hakukuondolei ubinadamu wako kujaribiwa na shetani (shetwan); bali inakusogeza karibu na Mungu, kuwaongoza wengine kuzipata neema za kushinda zambi na kurithi ufalme wa mbingu! Na ukiwa unasoma vitu usichukue kama unabeba Toilet Paper unaenda chooni au maji kwenye bobo unaelekea msalani bali chukua unayosoma changanya na yako ndio upost sio unakuwa kama zuzu bandika na kubandua!
Na pia uelewe maisha sio udini na kushadadia dini ya watu wengine; kazana kujielimisha dini yako muda wote huo umeshinda unasearch maovu ya kanisa ungeshashika maaya kadhaa ya Qoran yako na hadithi za mtume wako Mohamed SAW na sio kila ukiona katoliki upo!? ww mwanamke wa wapi mbea hivyo! Kila thread mguu, mguu tu!!! Na ww fanya yako na kama umeolewa kaa na mumeo ujenge familia yako na uimarishe imani yako!!! Mambo hayakuhusu pita kule huku thawabu desh (hakuna) hizo ni huko huko kwenu!!!

Huko seminari kuna hako kamchezo ka kulawitiana na hilo si udini, kwani dini zote zinakataza. Unachotakiwa ni kufunguka kama umeshawahi kufanyiwa hayo ili uwe huru.
 
Okey nilidhani ulivosoma kichwa cha hii mada umeelewa.Kuhusu mimi kama nimesoma seminary rudi kwenye heading ya hii thread utapata jibu

Heading ya hii thread ndiyo ilinifanya niingie na kuwaeleza madudu niliyoyasoma kuhusu seminari za kikatoliki na link nimewawekea. Jee, wewe seminari uliyosoma hujayafanya hayo ya kulawitiana?
 
wewe siyo great thinker bali mdini mkubwa ndiyo maana unatumia wikipedia na viblog uchwara vya kina david stewart ambao naamini unafahamu kabisa ni wazushi lakini kwa lengo la kuhalalisha nia yako ovu dhidi ya taasisi inayoheshimika nchini unawatumia kutukana kanisa.

Sasa unanishutumu kuwa mdini kwa ajili ya kutoa ushahidi wa kulawitiana kwenye seminari? Kulawitiana kunakatazwa na kila dini lakini cha ajabu nyinyi mliosoma seminari mkikumbushwa hilo mnawapachika watu udini. Kwani dini yako inaruhusu hilo?

Hizo links nilizokuwekea si zangu, zisome uone ni nani kaandika hayo.
 
mmmh! Aisee weye ni clasmate, wakumbuke kina SANJE,SABU,WINDU enzi zile za fr.Kofta, hapa ni KINDE (2001-2004)

ha ha ha ha KINDE upoooo aha ha ha kitambooo sanaaa aiseee.
 
Back
Top Bottom