Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Hio bangi bado haijaisha
 
😀😀😀 niache basi jaman!ninatubu kila mara!acha kuniletea nux na ww!...wengne km tungezaliwa viumbe wengne tungekuwa panya😛😛!idada ni ndefu!lakini Mungu ni mwema kwakila mtu!
😂😂😂😂mungu ni mwema ckuzote na bila shaka ashakusamehe..cha msingi usijetena kupoteza kiumbe chochote kisicho na hatia
 
Me siri yangu ntaisema siri yangu kubwa nina siri ambayo sitakaa niiseme
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ulibaka, jua Karma haitakuacha salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…