Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Siku moja usiku mnene nimekaa nyuma ya nyumba nakula kitu changu, nikasikia kama vishindo nyumba ya jirani nikapanda ukuta nichungulie ile natoa kichwa nikakutana uso kwa uso na Mzee wa ile nyumba akiwa na mwanae wa kiume, mke wake na jamaa wengine wawili wote waliona kuwa niwewaona bangi yote ilikata kichwani nikarudi ndani mbio, hawakuwahi kuniuliza chochote na mimi sikumwambia mtu yeyote yule hadi mwaka jana nilienda nyumbani nikawa naongea na mama stori za mtaani nikajikuta namwambia nilichokiona siku ile ila nikamwambia kuwa makini walijua kuwa nimeona usije kumwambia mtu hii habari!
Hio bangi bado haijaisha
 
😀😀😀 niache basi jaman!ninatubu kila mara!acha kuniletea nux na ww!...wengne km tungezaliwa viumbe wengne tungekuwa panya😛😛!idada ni ndefu!lakini Mungu ni mwema kwakila mtu!
😂😂😂😂mungu ni mwema ckuzote na bila shaka ashakusamehe..cha msingi usijetena kupoteza kiumbe chochote kisicho na hatia
 
Me siri yangu ntaisema siri yangu kubwa nina siri ambayo sitakaa niiseme
 
Dahh hakika kuna watu usiwaambie siri kuna jamaa mmoja anaitwa uncle mecky huyu bwana huwa anajulikana kwa Umbea viunga vya dar kuna siku alimkuta jamaa mmoja anatembea na mke wa Jirani yake, jamaa alivoona vile akamvuta uncle mecky pembeni na kumpa million 1 ili atunze siri, basi uncle mecky akamhakikishia jamaa hatasema. Baada ya week jamaa akasikia uncle mecky anaumwa sana kalazwa hospital akaona akamuangalie basi vile anafika hospital anauliza kwa Dr mgonjwa anaumwa nini akajibiwa ana joto tu Kali lkn kapimwa hana maradhi yyt. Mecky akamuita jamaa ebwana eeeh chukua hii million yako utakuja kuniua maaana nimevumilia huu Umbea nimeshindwa mpk joto limepanda mwilini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna rafiki yangu tulikua tukiishi wote miaka hiyo akawa ana ujenzi huko mbezi nikawa namsindikizaga kusimamia mafundi, sasa jirani kuna binti mdogo tu alkua anaishi kwa dada yake nikawa nammendea na jamaa yangu akawa anajua mazingira yakawa hayaruhusu kumla na kila nikitengeneza mazingira jamaa ananiaharibia kimtindo (ila sikua najua)
Siku moja nikavizia dadake katoka nkapitia mlango wa uani nkakuta anafanya usafi chumbani kwake nkaomba gemu akawa anaogopa tutakamatwa dada ake hayupo mbali, mara sijawahi naogopa kuumia mi sikuelewa kitu nkaanza mshikashika nkafanya yangu akawa analia maumivu nikamziba mdomo, km dk 15 hv jamaa akawa ananiita nikavaa nkatoka fasta nkaenda dukani afu nkarudi nkamwambia nilienda fata fegi, na kumbe alikua siku mbaya kwa hy alipata mimba ila yeye hakujua baada ya wiki 3 nkamsikia dada ake akimwambia wee hauko sawa nna wasiwasi, sikuelewa alikua ana maana gani, (ila nilkuja jua baadae)
Ile wiki ya 3 jamaa yangu alienda mwenyewe akamwita yule binti kwenye moja ya vyumba vya nyumba yake akamla kwa nguvu na alivyorudi akaniambia kila kitu na akaomba nimwachie anataka oa kabisa ikabidi nikubali matokeo ila sikumwambia kua na mm nilimla, baada ya mtoto kuzaliwa dada ake akawa anasema mdogo angu alikua anakupenda kweli hadi amekuzaa (akiwa na maana mtoto alifanana na mimi) ila ukazubaa hadi ukawahiwa na rafiki yako tukabaki tunacheka tu.

Ikapita miaka km miwili hv bila kuonana na dada yake siku nimeenda pale aliniita pembeni akaniambia niseme ukweli ila atafanya siri, akadai kua yule mtoto ni wangu tunafanana sana nilikataa katakata,
Ila sijui km yule mwanamke kama anajua maana nilim'bikiri mimi hakakua na uelewa sana alikua na miaka 16, hadi leo tunataniana na shemeji kawaida ila sikuwahi kumwambia hicho kitu, na sasa hivi ni zaidi ya miaka 10 sijawahi enda kwa rafiki yangu kwa kuogopa endapo akituona pamoja na mtoto anaweza hisi jambo.
Ulibaka, jua Karma haitakuacha salama.
 
Back
Top Bottom