Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Mimi kuna kaka yangu mmoja mtoto wa mama mkubwa tulikuwa tunalala wote kitanda kimoja, wakati niko mdogo alitaka kunifila, alikuwa akinigusa na mboo yake huku akinidanganya kunipa pesa, Sijawahi kuisema siri hii hadi hapa. Huyu bro namchukia hadi kesho kutwa, sasa ivi ni dereva alipata ajali na kuvunjika mguu sijawahi kumpa pole wala kumtembelea kwake, nikikumbuka alichonifanyia utotoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwa utoto mkuu si umsamehe tuu, au alikuf..ra kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ulifwanywaje etii....[emoji16][emoji57][emoji44][emoji44], Mbona unanitisha?

Utakuwa umefanyiwa jambo la aibu kinoma!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sijafanyiwa kitu cha aibu. sasa unavyozidi kunidadisi unaniweka wakati mgumu kwa sababu hayo mambo nilishafunga mkataba kwamba sitakuja kusema na sijawahi kusema. Ntazikwa nayo
 
We nae kabwabwa
siwezi kuja kusema tukio moja lilitokeaga _____ tareh 21 mwezi 5 mwaka 200_ na kusababisha kifo cha _____ aliyekuwa maharufu sana jijini ____

jiji lilizima baada ya taarifa za kifo cha _____ kusambaa huku ikisemekana ni majambazi ndio wamemuuwa na hawakuiba chochote

huku polisi wakisema ni tukio la ujambazi yaani hit and run kumbe hata wao hawajui ukweli


ukweli wa lile tukio ni kwamba vijana wa_____ ndio walihusika na mimi kipindi hicho nilikuwa nakaa pale_____ i used to call em bro's/uncles nao wakiniita _____ jr au dogo

walijiamini nini sijui kuongea mbele yangu nahisi ni sababu waliona ni kijana wa ____ mwenzao so siwezi kuwa a threat au one day nitawajoin Katika_____

nilikuja kugundua ilikuwa ni _____ task na ngoja iendelee kuwa hivyohivyo cha muhimu uhai tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uongo wewe HV unajua pccb(mafuta ya transformet) ni sumu. Unakufa faster tuu
Mie siri ambayo nilisahau kuisema (huwa situnzi siri, hii ilitokea bahati mbaya siku mwambia mtu)
Kipindi hicho nilikuwa huko Tanzania (Dar), ninaishi katikati ya mji kwenye apartment fulani hivi, sasa usiku nikaenda kula chips kwa mgogo mmoja hivi hapo hapo karibu Posta, Lahaula nikakuta ndio analetewa mafuta ya transfoma na mteja wake!
Nilizuga sijaona ili asije akanidhuru.
Sikurudia tena kula chips za Mazengo, mxewuuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siri niliyonayo nikiitoa itabidi dunia iangamie, je mko tayari?

°°ᴶᵉᵃˡᵒᵘˢˢʸ ⁱˢ ᵖʳᵒᶜᵉˢˢ ʸᵒᵘ ᵍᵒ ᵗʰʳᵒᵘᵍʰ ᵇᵉᶠᵒʳᵉ ᵇᵉᶜᵒᵐⁱⁿᵍ ᵃ ʷⁱᵗᶜʰ°°
 
Binadamu katika mazingira mbali mbali,ukumbana na majanga mbali mbali ambayo mengine ni hatari kabisa,
Kuna waliowahi kushuhudia mtu kiauawa na kukaa kimya
Kuna waliowahi kuona mtu anamloga mwingine wakatunza siri,
Kuna waliowahi kuona mwenzao anaibiwa wakakaa kimya,
Kuna waliowahi kushuhudia mtu anabakwa wakakaa kimya,
Kuna waliowahi shuhudia mtu au mke wa mtu anatembea na mwanaume mwingine wakakaa kimya,

Mi siri yangu ambayo sitakuja kuisema ni kamba nilimfumania mjomba mkubwa akiwa anatembea na mke wa mjomba mdogo alafu wakajua kwamba nimejua sikuwahi kuisema ilikanusha, yapata miaka 20 sasa,
Leo kuna rafiki yangu amenambia kwamba akiwa mdogo alimuua mtu akiwa Croatia mwaka 1994 , na hakuna aliyejua,

Mwingine (dr) akasema kuwa amewahi kumuinject mgonjwa UKIMWI kupitia syringe, na akakaa kimya maana alilipwa Hela ya kutosha


Najua na wee una siri umetunza tudokeze
Mimi ya kwangu bado ni siri sitaki kuitoa hapa........
 
Kuna mzee mmoja ni rafiki yangu ila kwasasa anastress za kufa MTU
Alinihadithia kisa cha ajabu sana ambacho sitakisema mpk nipate notification za likes zisizopungua 50

Kifupi sana mzee huyu alizunguka karibu magereza yote makubwa tz kosa alilolifanya mwaka 1971 ndio lililompeleka jela akaacha kiasi cha pesa za Tanzania milioni moja na laki NNE amekifukia chini ya ardhi maeneo ya chuo cha ualimu korigwe tanga ametoka jela 1998 toka 1971 anasema anaamini hizo hela zipo mpk Leo ila hakuzifwata kwakuwa zilishabadilishwa noti na sarafu

Ni kisa cha kusisimua mno
Like za nn sasa? We funguka kama unataka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siri niliyonayo nikiitoa itabidi dunia iangamie, je mko tayari?

°°ᴶᵉᵃˡᵒᵘˢˢʸ ⁱˢ ᵖʳᵒᶜᵉˢˢ ʸᵒᵘ ᵍᵒ ᵗʰʳᵒᵘᵍʰ ᵇᵉᶠᵒʳᵉ ᵇᵉᶜᵒᵐⁱⁿᵍ ᵃ ʷⁱᵗᶜʰ°°
Mkuu itoe tu, tuko tayariiii

Daima toa bila kukumbuka na Pokea bila kusahau
 
Back
Top Bottom