TANZANIA NCHIYANGU
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 633
- 805
Sihukumu...idadi ya viumbe hai wasionahatia uliowapoteza inafika ngapi mpaka sahiviusihukumu usijehukumiwa😉
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sihukumu...idadi ya viumbe hai wasionahatia uliowapoteza inafika ngapi mpaka sahiviusihukumu usijehukumiwa😉
Najutia sana nilichokifanya Na wala sitaki hata kuonana naye,pamoja Na kwamba anahangaika kunitafuta.Duuh ukute bado mnagegedanaa
😀😀😀 niache basi jaman!ninatubu kila mara!acha kuniletea nux na ww!...wengne km tungezaliwa viumbe wengne tungekuwa panya😛😛!idada ni ndefu!lakini Mungu ni mwema kwakila mtu!Sihukumu...idadi ya viumbe hai wasionahatia uliowapoteza inafika ngapi mpaka sahivi
Hii bado siri [emoji1][emoji1][emoji1]Nilishawai kumla mbunge flan iv acha tuuu
Mbaya zaid ni mke wa mtu maisha haya
[emoji847][emoji847][emoji847]Nw ni wazir.....Hii bado siri [emoji1][emoji1][emoji1]
Mganga mkuu wa mirembe hospital ana siri nzito zaidi ya kina jecha na lubuvaMpaka Lubuva na Jecha wakisema walivyofanya na mie nitatoa siri.
[emoji28][emoji28][emoji28] yani umeamua Kuja kunitangaza huku dawa yako inachemka[emoji847][emoji847][emoji847]Nw ni wazir.....
ah ah ah sijui ni ww[emoji28][emoji28][emoji28] yani umeamua Kuja kunitangaza huku dawa yako inachemka
Wewe una michezo ya hatari,Mim siwezi kutunza siri, memory ya kuhifadhi data ya kichwa changu kina mambo ya msingi sana ya kuhifadhi..
Siri kesho yake unakuta nimesha sema..
Mim nilisha wahi kumwona mama na mtoto wake wa kike wanamfukia kitoto kichanga.. Usiku hawakuniona kesho yake mapema nikaenda kulisanua..
Nikaja nikumwona msichana mmoja jirani alikuwa akiishi na mdogo wake wa kike dada mtu alikuwa ni fundi wa kushona alikuwa mjamzito ila hakuna aliekuwa anafahamu hakuwa anatoka nje ya nyumba hadi siku anajifungulia nyumbani mdogo wake yupo shuleni, mtoto akamtupa chooni nikashtuka nikalisanua
Kuna jamaa mmoja alikuwa na grosary yake ya kuuza pombe, ilikuwa karibu na kituo kikubwa cha polis, kumbe nyuma yake mchizi alikuwa anauza madawa ya kulevya, wacha nije nilisanue, kumbe pimbi alikuwa na connection na askari wa pale akaja kunshtukia wacha ale sahani moja na mim, wacha nilisanue karibia kituo kizima cha polis walihamishwa na ule mkoa nikahama mazima
ah ah ah sijui ni ww
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16] huu utan wa ngum sasa upo dom au maeneo gan? Mana nikitambo kidogoSi niko kwenye ile wizara inayovurunda [emoji28][emoji28][emoji28]
Ina maana umesahau ninapokaa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16] huu utan wa ngum sasa upo dom au maeneo gan? Mana nikitambo kidogo
Mbwembwe tuuu iziIna maana umesahau ninapokaa [emoji38][emoji38][emoji38]
Ila unapajua kwa jinaMbwembwe tuuu izi
Sijawai kwenda kwake
Mama Sabrina umenichekesha saaaanaAhahahah unamuambia mtu mapema kuwa siwezi tunza ili asikuambie,
Anakaa sehem nying uyo kiumbe nw day sijajua maisha yake yapoje maana ni kitambo kidogo.....Ila unapajua kwa jina
Anakaa sehem nying uyo kiumbe nw day sijajua maisha yake yapoje maana ni kitambo kidogo.....
Huwa namuogana kwa mavideo tuuuuu
Kipindi icho......Hahaaaaaaa
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Nimekumbuka limamantilie limoja lilikuwa limanyofoa mavuzii kuweka kwenye vitumbua nikaliona likanibembeleza nisiseme, nikakaa kimya ila nkaachaga kununua kwake