Kwa wale waliozaliwa na waliowahi kuishi Tabora, tukumbushane vituko vya Mboka

Ndugu zangu, nimekumbuka mambo mengi saana kupitia uzi huu. Hebu niulize kuna mtu anamkumbuka power chuma? Haaa haaaaa
 
Baadhi ya picha za majengo ya Mboka Manyema.
 

Attachments

  • 1913-building Tabora.jpg
    57 KB · Views: 103
  • cathedrale_tabora.jpg
    39.6 KB · Views: 97
  • ijumaa-mosque.jpg
    39.1 KB · Views: 110
Ndo

Huyohuyo, alikuwa anakaa along ile barabara inayotoka isevya kwenda stendi ya mabasi au sokoni, hivi inaitwaje ile barabara? nikumbusheni pliz, kwenye magorofa ya msajili wa majumba enzi hizo.
Unataka kusema Kazima road?
mpira wa soka ukikosekana nakumbuka tulikuwa tunatumia matonga.

Zero pub.....ukitoka hapo nawe ni Zero kabisa

Thanks mkuu
.
Niko njiani lkn nikitulia lzm nipakue kila kitu humo.

"Like" like"!
 
Enzi hizo hakunaga mboka bila Malingumu the late R.I.P, mboka kwa vichaa ilikuwa kama inaongoza sasa mzee Malingumu nadhani ndio alikuwa raisi wa machizi Tabora. Kiukweli japokuwa alikuwa mwehu lakini alikuwa na nguvu sana na kama network ilikuwa on na off.
 
Umenikumbusha mbaali! Mimi ni mtu mzima sana ila Roshi mwehu namjua tangu miaka hiyo. Sijui jama yu hai.
 
Hiyo marahanyo nimecheka mpaka watu nilikaa nao wamenishangaa,waswezi noma aisee.watoto wa siku hizi wanakuwa kama watuwazima
Mimi bibi yangu alikuwa rafiki wa mtemi wa waswezi Marehemu binti Mpela wa ipuli. Tulikuwa tunasindikiza "WAFWEZI" ndio waswezi kweli lugha yao ni hiyo. Umenikumbusha mbali sana.
 
hahaha marahanyo, nilikuwa nawaogopa sana hawa waswez inilikuwa najua ni wachawi. kuna sehemu inaitwa kantaroli ukivuka reli ya kigoma kama unaelekea kiwanda cha maziwa unaikumbuka? nadhani walimaanisha control.
Umekumbusha kubadilishwa majina ya sehemu mfano chekeleni "check line", fotlaksi "four tracks" yote yanahusiana na reli ukivuja reli toka aidha Isevya au mjini utakutana na majina hayo.
 
Kweli huyu alikua ripota mahiri. But nadhani hatunae tena. Si uhakika mwenye taarifa atujuze.
 
Vp Dk Othman? Alikuwa daktari Kitete akaacha na kufungua clinic yake. Mkewe alikuwa mwalimu Tabira Girls nadhani.
 
Mboka ndio kwetu,
Uyui ndio wilaya,
Upuge ndio kijiji,
Mission ndio mtaa.
Japo pale town sikonge road na ipuli kwetu pia
 

Wewe umesima UYUI, na mie: mihogo ya mzee Amir ilikuwa ni hatari[emoji106][emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…