Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Justification ya sh.100 kwa engine ulionunua kwa almost 200k times haimake sense! Tia wese la excellium hata mara moja kisha utaniambia performance unaionaje!
Lake Oil iko freshi sana ni baada ya kuwajaribu mwanzo nilikuwa siwakubali kama wewe hivyo! But jamaa wako vizuri sana na hawana wizi wa kipumbavu kama masheli mengine!Hivi Lake Oil wana ubora wa bidhaa? Huwa sina imani nao sana.
-Kaveli-
Bei chey sio siri ila kwenye huduma ndio hapo itataka uwe kamiliNikicheki beforward, hizi VW golf zina bei poa sana hadi nasema 'hiiiii'.
-Kaveli-
Lake oil mafuta yao yana kiwango kiukweli sija experience changamoto ila sijajua wanawekaga nini maana yananipa mileage zaidi ya Total! Hivyo nikiwa nasafiri safari ya mkoani nawekaga ya Lake Oil ila nikiwa mjini natumia Total!That's right. Mafuta ya Total ukiweka unasense utofauti mkubwa sana kwenye performance ya gari.
Mkuu ubora wa Lake Oil unausemeaje?
-Kaveli-
Bei chey sio siri ila kwenye huduma ndio hapo itataka uwe kamili
Mkuu kwenye full tank utaokoa 5,000...weka kwenye vituo vikubwa.😀😀😀 Total mafuta bei mkuu. GBP nina save 100 nzima .. ngoja nikajaribu total sasa
Ha ha ha hivi unajua hao ndio wanaleta mzigo wote wa mafuta?!Hahaha hio sheli imekaa kitapeli siipendi kwanza chaf chafu yani haijakaa ki professional kama Total au Oryx facelifted 😅😅😅!!! Sheli pendwa ni Lake Oil na Total
Mmenifungua kichwa, nilikuwa nakimbiliaga siku zote huko GBP.. naamia huko Total haya yakiishaMkuu kwenye full tank utaokoa 5,000...weka kwenye vituo vikubwa.
😀😀😀😀😀 gusa unate hio. Ukiingia hutokiNikicheki beforward, hizi VW golf zina bei poa sana hadi nasema 'hiiiii'.
-Kaveli-
Hawa jamaa ndio supply wakubwa ndio maana huwa bei zao huwa chini, ila sasa kama wana mausananii mengineHa ha ha hivi unajua hao ndio wanaleta mzigo wote wa mafuta?!
Yah yani kimbia fasta tia wese la Total af utaiskia engine inavyoitikaMmenifungua kichwa, nilikuwa nakimbiliaga siku zote huko GBP.. naamia huko Total haya yakiisha
True Japanese huwa naweka kituo chochote ila hizi gari zenye Marino kama slay queen nachagua vituo haichelewi kususa!GBP napenda bei zao huwa chini ya 100 ya vituo vingine vya mafuta, kama utakuta Puma ni 2300 basi wao utakuta 2200
Na hao ndio watakuwa wanafanya usanii wao vizuri! Nahisi mafuta yao machafu tu kama sheli zao zilivyo ni hisia ila sina imani nao kabisa kiasi kwamba siwezi peleka gari kujaza kwao!Ha ha ha hivi unajua hao ndio wanaleta mzigo wote wa mafuta?!
Hatuna uhakika tusiwaharibie biashara.Hawa jamaa ndio supply wakubwa ndio maana huwa bei zao huwa chini, ila sasa kama wana mausananii mengine
Zibaki kuwa hisia mkuu,hatuna uhakika. Tusiharibu biashara za watu.Na hao ndio watakuwa wanafanya usanii wao vizuri! Nahisi mafuta yao machafu tu ni hisia ila sina imani nao kabisa
Ngoja niamshe Morogoro, na kurudi wese liishe 😀😀😀.. niweke Total 🤣🤣🤣Yah yani kimbia fasta tia wese la Total af utaiskia engine inavyoitika
Wewe ni petrol head!Ngoja niamshe Morogoro, na kurudi wese liishe 😀😀😀.. niweke Total 🤣🤣🤣