Kwa wale wanaolalamika kupanda kwa gharama za vifurushi vya internet hii ndio mitandao ya kuhamia kwa sasa

Kwa wale wanaolalamika kupanda kwa gharama za vifurushi vya internet hii ndio mitandao ya kuhamia kwa sasa

Wazee wa IT Mliopo humu.
Is it possible raia wa kawaida tu aka hack mitandao let's say tiGO na kumuunganishia mtu GB kibao kwa Bei poa?
Kuna hacker kanipa ofa ya 10 Gb kwa wiki kwa elfu tatu. Sharti lake kuu nimtumie pesa ndio aniunganishe.
I am asking for a foreign friend.

Unaenda kupigwa shauri yako
 
Hahahahah hao Halotel si wehu tu! Hapo tarajia kipigo mda wowote! Zantel bado wapo juu
Kuna jambo umesahau kulieleza kuhusu bando za Halotel:

Ni kwamba, ukitumia na muda wa ku expire ukafika na bando bado lipo, halichachi bali hu'cease' tu na ukiunga hilo jipya, la zamani husisimka na linaunganishwa na maisha yanasonga.

Ndiyo ninachowapendea, hawakulazimishi matumizi kwa kuhofia ku expire.
 
Kuna jambo umesahau kulieleza kuhusu bando za Halotel:

Ni kwamba, ukitumia na muda wa ku expire ukafika na bando bado lipo, halichachi bali hu'cease' tu na ukiunga hilo jipya, la zamani husisimka na linaunganishwa na maisha yanasonga.

Ndiyo ninachowapendea, hawakulazimishi matumizi kwa kuhofia ku expire.

True
 
Kuna jambo umesahau kulieleza kuhusu bando za Halotel:

Ni kwamba, ukitumia na muda wa ku expire ukafika na bando bado lipo, halichachi bali hu'cease' tu na ukiunga hilo jipya, la zamani husisimka na linaunganishwa na maisha yanasonga.

Ndiyo ninachowapendea, hawakulazimishi matumizi kwa kuhofia ku expire.
kupata vifurushi vyao unatumia code gani, nisaidie please. nataka dakika na MB
 
kupata vifurushi vyao unatumia code gani, nisaidie please. nataka dakika na MB
Kawaida ni *148*66# ok itafuata menu.
HT chuo ni *148*55# ok itafuata menu.
Ama Halo pesa*150*88# nenda3, kisha2 Mega bundle.
 
Sijiungi kifurushi chochote bila kukagua kwanza ninachokitaka Kipo au Hakipo...
 
Hii kitu wameiondoaa aiseee ilikuwa inasaidia sana.
Kuna jambo umesahau kulieleza kuhusu bando za Halotel:

Ni kwamba, ukitumia na muda wa ku expire ukafika na bando bado lipo, halichachi bali hu'cease' tu na ukiunga hilo jipya, la zamani husisimka na linaunganishwa na maisha yanasonga.

Ndiyo ninachowapendea, hawakulazimishi matumizi kwa kuhofia ku expire.
 
Habari ya wikiendi wana JF wenzangu.

Jana baada ya kutoka mishemishe jioni si nikasema ngoja nitumbukie vocha nichungulie kinachoendelea mitamdaoni.

Nikapita dukani nikanunua Zantel ya 500 dhumuni nijiunge cha chuo ambacho ni MB 500 kwa siku 7 maana sina matumizi mengi ya data.

Ile kupiga *148*05# nakuta kuna MB 250 pozi likaniishia nikajisemea ngoja nichungulie kwenye mitandao mingine kupoje. Eni wei ifuatayo ni mitandao ambayo ina vifurushi pengine ni nafuu kwa mteja

1. HALOTEL
Hawa jamaa ili upate MB za maana unatakiwa uweke salio kwenye Halopesa kisha piga *150*88# kisha chagua namba 3 utachagua Mega Bando
Tsh 1000 = GB 1 kwa siku 7
Tsh 3000 = GB 3 kwa siku 7
Tsh 500 = GB 1 saa 6 usiku mpaka 12 asubuhi

2. TTCL
Wana bando lao linajulikana kama BANDO TAMTAM sharti uwe na salio kwenye T PESA yako
Tsh 1000= Dk 10, SMS 50 na GB 1.2 kwa siku 5
VIpo vipo vingine ni
Tsh 500= 300 MB

3. VODACOM
Wazee wamepunguza bando mpaka basi yaani hata zile ofa za DAR SUPA UNI wamezibadilisha kabisa.

4. TIGO
Hawa sijui huko hali yako ipoje?
Kw wale mnaojiungaga na SAIZI YAKO najua mnafahamu kilichobadilishwa huko.

5. ZANTEL
Hawa ni Tigo waliochamgamka. Walikuwa na vifurushi vizuri mno, walipigiwa sana chapuo na bwana Extrovert mpaka ikanipelekea kusajili laini yao.
Lakini walichokifanya ni balaa.

6. AIRTEL
Hawa jamaa hata ukipiga *149*81# wamebadilisha kila kitu, hata kile kifurushi chao cha USIKU kuanzia saa 6 hadi 12 asubuhi ni mazingaombwe tu.
Weew vuta picha yaani ukae mpaka saa 6 usiku kwa ajili ya kujiunga MB 375 just imagine!


Mwisho kabisa nawashauri mrudi HALOTEL tu maana hakuna mambo mengi kule MB kama zote.
Njoo na mkeka mpya sasa
 
Ttcl kumechafukwa GB.1 buree.2500
 
Mkuu, mimi ni mtumiaji mzuri tu wa TTCL, lakini kwa uchafu uliouandika hapo, ningekuwa karibu yako ningekunasa makofi😡
 
WADAU UKIWA NA TIGO UNAWEZA USIZIME DATA KWA HIZI BANDO ZENYE UNAFUU MNOO‼️
15G=15000/=, 35GB=30000/=, 48GB=40000/= 72GB=60000/= NA 120GB=100000/=
Bando hizi utakua unazipata kwa miaka miwili mfululizo kila tarehe moja unaingiziwa, KUJIUNGA HUMTUMII MTU YEYOTE HELA,

nakupa maelekezo buree unalipia moja kwa moja tigo kama unavyojiunga vifurush vingine. Huduma hii ni uhakika nikikupa maelekezo unaweza hata kupiga 100 ukaulizia na ukalinganisha maelekezo yangu na ya customer care.
( Airtel pia naunga Huduma ya SME itakayokupa GB kibao kwa gharama kidogo)

Soma maelekezo hapo chini au nicheki 0717700921

JINSI YA KUJIUNGA
Piga *150*01#
➡️Kisha chagua no4
➡️Kisha chagua no 2 (kupata majina)
➡️Kisha chagua no 6 (tigo business)
➡️Kisha chagua no 2 (security deposit)
➡️Kisha chagua no1
➡️Kisha kumbukumbu no weka no yako ya tigo
➡️Kisha weka kiasi kulingana na kifurushi unachotaka kama ilivyo kwenye chat( angalia chat kwenye dp yangu )
➡️Kisha weka no ya siri kudhibitisha!

Ukikamilisha nifahamishe !
 
Kwani mi natumia halotel ya Kenya au mbona wananiambia 1000 ni 490MB Kwa siku Saba iyo 1GB ipo wap
 
Back
Top Bottom