Kwa wale wanaotaka kuikopesha serikali kwa hati fungani

Kwa wale wanaotaka kuikopesha serikali kwa hati fungani

greater than

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
1,653
Reaction score
3,060
Baada ya Bajeti ya serikali kupitishwa na kuanza kufanya kazi mwezi Julai, kuna fedha serikali itajipatia kwa njia ya mikopo. Kuna sehemu itakopa kutoka mashirika ya nje na nchi wahisani lakini kuna kiasi serikali itakopa.

Kukopa ndani ya nchi, ndiyo huwa Hati fungani/ Government bonds.

Tayari kupitia benki kuu serikali imetangaza tarehe ambazo itaanza kuchukua mikopo ya ndani.

Yaani wewe mwananchi, Kampuni na taasisi mnaweza kwenda kuikopesha serikali na kupata hati.

Ratiba ya hati fungani kwa mwaka wa fedha 2024/2025
FB_IMG_1722166564187.jpg


Kumbuka:
Serikali ya Tanzania haijawahi shindwa lipa madeni yake.
Hati fungani ndiyo chanzo kikubwa cha faida za Mabenki kama CRDB na NMB
 
Inflation rate haizidi Bond yield mkuu...
Unajua unanijibu kiwepesi wepesi sana hata kama Nilizisoma zamani na hatufanyii kazi ila najua inflation inaleta moto 🤣🤣 kwasababu Inflation causes interest rates to rise,
na automatic ita decrease the value of existing bonds. Kwahiyo kwenye high inflation, bonds yielding fixed interest rates lazima ishuke na be tend to be less attractive. Au Mimi Naelewaje. Nipo tayari kukaa darasani
 
Unajua unanijibu kiwepesi wepesi sana hata kama Nilizisoma zamani na hatufanyii kazi ila najua inflation inaleta moto 🤣🤣 kwasababu Inflation causes interest rates to rise,
na automatic ita decrease the value of existing bonds. Kwahiyo kwenye high inflation, bonds yielding fixed interest rates lazima ishuke na be tend to be less attractive. Au Mimi Naelewaje. Nipo tayari kukaa darasani
Yep I understand that formality...ila
  • Check History of inflation within Tanzania imekaaje for the last 10 to 15 years...haijawahi vuka 7%
  • And Tanzania ina Bond Yield kubwa tena mara 2nya inflation rate kuliko nchi za western au far east...
  • Kaangalie faida wanazo accumulate NMB ,CRDB na UTT kwa kuikopesha serikali...ni zaidi ya faida ya huduma zao za kuweka Amana za wateja...
  • Usi-stick na definition za Darasani,fanya analysis ya kwenye soko.
 
I'm not trusting the government with my money,
Asilimia kubwa ya benki zilizopo Tanzania ni za serikali ......
Lakini pia Serikali ina access ya akaunti ya kila mtu haijalishi upo benki........
Sasa sijui huo msemo wako una maana yoyote ukiangalia hizo facts...
 
I'm not trusting the government with my money,
Badala ya kubaki na hiyo notion nenda uangalie soko lilivyo....
  • Nenda kaulize brokers
  • Angalia history ya ulipaji wa madeni
  • Angali list la Taasis zinazowekeza huko
  • And Tanzania haijawahi default on its loan obligations...
 
Badala ya kubaki na hiyo notion nenda uangalie soko lilivyo....
  • Nenda kaulize brokers
  • Angalia history ya ulipaji wa madeni
  • Angali list la Taasis zinazowekeza huko
  • And Tanzania haijawahi default on its loan obligations...

Badala ya kubaki na hiyo notion nenda uangalie soko lilivyo....
  • Nenda kaulize brokers
  • Angalia history ya ulipaji wa madeni
  • Angali list la Taasis zinazowekeza huko
  • And Tanzania haijawahi default on its loan obligations...
Inaweza kuwa sahihi ila sio kwangu mimi mkuu.
 
Asilimia kubwa ya benki zilizopo Tanzania ni za serikali ......
Lakini pia Serikali ina access ya akaunti ya kila mtu haijalishi upo benki........
Sasa sijui huo msemo wako una maana yoyote ukiangalia hizo facts...
Nimeegemea zaidi kwenye financial control. Ukimpa mtu mwingine pesa yako you're no longer in control of your money.
 
Yep I understand that formality...ila
  • Check History of inflation within Tanzania imekaaje for the last 10 to 15 years...haijawahi vuka 7%
  • And Tanzania ina Bond Yield kubwa tena mara 2nya inflation rate kuliko nchi za western au far east...
  • Kaangalie faida wanazo accumulate NMB ,CRDB na UTT kwa kuikopesha serikali...ni zaidi ya faida ya huduma zao za kuweka Amana za wateja...
  • Usi-stick na definition za Darasani,fanya analysis ya kwenye soko.
Wewe Jamaa una kitu utafika mbali.
 
Nimeegemea zaidi kwenye financial control. Ukimpa mtu mwingine pesa yako you're no longer in control of your money.
Usipompa mtu hela zako,,,ina maana una zitunza ndani wewe mwenyewe......Hela ya kuka ndani huwa haikui,zaidi inapungua thamani....
Nenda ucheki hao mabilionea wakubwa duniani,,80% ya utajiri wao ni thamani ya Hisa au Hati fungani,,kwenye bank hawafikishishagi zaidi ya 8Billioni.
 
Back
Top Bottom