greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
Baada ya Bajeti ya serikali kupitishwa na kuanza kufanya kazi mwezi Julai, kuna fedha serikali itajipatia kwa njia ya mikopo. Kuna sehemu itakopa kutoka mashirika ya nje na nchi wahisani lakini kuna kiasi serikali itakopa.
Kukopa ndani ya nchi, ndiyo huwa Hati fungani/ Government bonds.
Tayari kupitia benki kuu serikali imetangaza tarehe ambazo itaanza kuchukua mikopo ya ndani.
Yaani wewe mwananchi, Kampuni na taasisi mnaweza kwenda kuikopesha serikali na kupata hati.
Ratiba ya hati fungani kwa mwaka wa fedha 2024/2025
Kumbuka:
Serikali ya Tanzania haijawahi shindwa lipa madeni yake.
Hati fungani ndiyo chanzo kikubwa cha faida za Mabenki kama CRDB na NMB
Kukopa ndani ya nchi, ndiyo huwa Hati fungani/ Government bonds.
Tayari kupitia benki kuu serikali imetangaza tarehe ambazo itaanza kuchukua mikopo ya ndani.
Yaani wewe mwananchi, Kampuni na taasisi mnaweza kwenda kuikopesha serikali na kupata hati.
Ratiba ya hati fungani kwa mwaka wa fedha 2024/2025
Kumbuka:
Serikali ya Tanzania haijawahi shindwa lipa madeni yake.
Hati fungani ndiyo chanzo kikubwa cha faida za Mabenki kama CRDB na NMB