Baada ya Bajeti ya serikali kupitishwa na kuanza kufanya kazi mwezi Julai, kuna fedha serikali itajipatia kwa njia ya mikopo. Kuna sehemu itakopa kutoka mashirika ya nje na nchi wahisani lakini kuna kiasi serikali itakopa.
Kukopa ndani ya nchi, ndiyo huwa Hati fungani/ Government bonds.
Tayari kupitia benki kuu serikali imetangaza tarehe ambazo itaanza kuchukua mikopo ya ndani.
Yaani wewe mwananchi, Kampuni na taasisi mnaweza kwenda kuikopesha serikali na kupata hati.
1.Actually,,,,hatuongelei kama business,tunaongelea kama Investment....
2.Pia elewa kuwa siyo kila mtu ni mfanya biashara,wengine ni waajiliwa,hana huo mda wa kuhangaika na biashara,,,
3.Badala ya kuweka hela Bank na kukatwa,heri ikakae na kujizalisha.....
4.Mtu hana mda wa kujiumiza kichwa,kuwaza wateja na kuagiza mizigo na ishu za hasara kama ulivyo wewe.....
Weka instance moja tu,kuonesha kama kuna mtu au taasisi ishawahi kutapeliwa fedha katika soko la hati fungani....siyo Tanzania tu,hata kwa nchi za SADC.
Kwa mtu ambaye ana fedha nyingi, na
a) kazipata kwa namna ambayo haijirudii;
b)kwa sababu moja au nyingine hawezi au hataki kuzitumia kufanya biashara;
c) wafanyabiashara au watafutaji wanaohitaji kuweka surplus zao mahali salama;
Government bonds ni mahali sahihi sana kuweka pesa ili uzile polepole.
Mifano ya a) ni wapatao pensheni, bahati nasibu kubwa, urithi nk.
Kwa wadundulizaji wasioweza au kutaka kufanyia biashara pesa zao, UTT inafaa zaidi kwa vile kimfumo imerahisisha upokeaji wa viwango vidogo na uwekaji wa mara kwa mara, hata kila wiki mathalan.
Tatizo ya hizo hatifungani za serikali, na hasa za muda mrefu zenye riba za juu zaidi, ni ugumu wa kuzipata - kwa vile mara nyingi wanaozitaka ni wengi kuliko zinazotolewa.
Tuchukulie una Tsh 5,000,000 ambayo umeiwekea malengo ije kutumika kama ada ya shule ya wanao miaka 15 ijayo.
Ukaamua kuikopesha shillingi shillingi millioni 5 kwa mda wa miaka 15......Je,kwa mda wa mwaka mmoja utapata kiasi gani....?Na mpaka mkopo ufike ukomo utakuwa umezalisha kiasi gani....?
Taarifa muhimu
Hati fungani ya miaka 15 huwa na riba ya faida ya 13.5% kwa mwaka.
Ongezeko la riba kwenye Hatifungani za serikali huwa ni kwa siku
kanuni
Ongezeko la riba huwa ni la compound(Riba huzaa faida endelevu) I=P(1+r/n)nt-p ambapo I = Faida utakayopata kwa mwaka
p = Fedha uliyowekeza , =5,000,000
r = Kiwango cha riba ,13.5% =0.135
n =idadi ya ongezeko la riba kwa mwaka ,=365 (Kila siku kuna ongezeko la faida kwenye riba ,ambapo kwa mwaka kuna siku 365)
t =mda =(Unataka kujua faida kwa mwaka mmoja)
kwahiyo
I= 5,000,000 (1+0.135/365)365X1-5,000,000
=5,000,000(1+0.000369863)365-5,000,000
=5,000,000(1.000369863)365-5,000,000
=5,000,000 X 1.1445082118-5,000,000
= 5,722,541-5,000,000
=722,541
Baada ya mda wa mwaka mmoja,itazalisha faida ya Tsh 722,541....
kwa,mda wa miaka 15,utakuwa umetengeneza Jumla= 15x722,541 =10,838,115
Na 5,000,000 yako wata kurudishia,
kwenye kikokotoo chao serikali huongezea 0.03% kwenye riba,,faida yako yawa kubwa
Tuchukulie unataka kuikopesha shillingi shillingi millioni 5 kwa mda wa miaka 15......Je,kwa mda wa mwaka mmoja utapata kiasi gani....?
Taarifa muhimu
Hati fungani ya miaka 15 huwa na riba ya faida ya 13.5% kwa mwaka.
Ongezeko la riba kwenye Hatifungani za serikali huwa ni kwa siku
kanuni
Ongezeko la riba huwa ni la compound(Riba huzaa faida endelevu) I=P(1+r/n)nt-p ambapo I = Faida utakayopata kwa mwaka
p = Fedha uliyowekeza , =5,000,000
r = Kiwango cha riba ,13.5% =0.135
n =idadi ya ongezeko la riba kwa mwaka ,=365 (Kila siku kuna ongezeko la faida kwenye riba ,ambapo kwa mwaka kuna siku 365)
t =mda =(Unataka kujua faida kwa mwaka mmoja)
kwahiyo
I= 5,000,000 (1+0.135/365)365X1-5,000,000
=5,000,000(1+0.000369863)365-5,000,000
=5,000,000(1.000369863)365-5,000,000
=5,000,000 X 1.1445082118-5,000,000
= 5,722,541-5,000,000
=722,541
Baada ya mda wa mwaka mmoja,itazalisha faida ya Tsh 722,541....
kwa,mda wa miaka 15,utakuwa umetengeneza Jumla= 15x722,541 =10,838,115
Na 5,000,000 yako wata kurudishia,
kwenye kikokotoo chao serikali huongezea 0.03% kwenye riba,,faida yako yawa kubwa
Watu wanashindwa kutofautisha kati ya Uwekezaji wenye RIsk ndogo na ule wenye Risk kubwa....
wenye Risk ,hutumika kukutajirisha
wenye Risk ndogo hutumika kutunza thamani ya pesa yako
Lakini pia siyo hela yote huwa inakaa kwenye biashara,,,sehemu ya faida huwekwa pembeni ili ijizalishe huku ukiendelea na mambo yako mingine bila kuifkria...
1. Lowest bond price ni 500,000
2.Return interest ya chini kabisa ni 9.8
3.With that interest, hela yako haiwi affected with inflation
4.Interest inakuwa compounded daily on first year...
Sasa nimefanikiwa kupata 1,000,000 na ninataka kuitunza kwa ajili mwanangu baada ya miaka kama 10,,,
Je ,niweke benki ambapo kuna makato au nikachukue hati fungani ya 15 years yenye kunipa 13.5% daily compounded interest....?
Tuchukulie una Tsh 5,000,000 ambayo umeiwekea malengo ije kutumika kama ada ya shule ya wanao miaka 15 ijayo.
Ukaamua kuikopesha shillingi shillingi millioni 5 kwa mda wa miaka 15......Je,kwa mda wa mwaka mmoja utapata kiasi gani....?Na mpaka mkopo ufike ukomo utakuwa umezalisha kiasi gani....?
Taarifa muhimu
Hati fungani ya miaka 15 huwa na riba ya faida ya 13.5% kwa mwaka.
Ongezeko la riba kwenye Hatifungani za serikali huwa ni kwa siku
kanuni
Ongezeko la riba huwa ni la compound(Riba huzaa faida endelevu) I=P(1+r/n)nt-p ambapo I = Faida utakayopata kwa mwaka
p = Fedha uliyowekeza , =5,000,000
r = Kiwango cha riba ,13.5% =0.135
n =idadi ya ongezeko la riba kwa mwaka ,=365 (Kila siku kuna ongezeko la faida kwenye riba ,ambapo kwa mwaka kuna siku 365)
t =mda =(Unataka kujua faida kwa mwaka mmoja)
kwahiyo
I= 5,000,000 (1+0.135/365)365X1-5,000,000
=5,000,000(1+0.000369863)365-5,000,000
=5,000,000(1.000369863)365-5,000,000
=5,000,000 X 1.1445082118-5,000,000
= 5,722,541-5,000,000
=722,541
Baada ya mda wa mwaka mmoja,itazalisha faida ya Tsh 722,541....
kwa,mda wa miaka 15,utakuwa umetengeneza Jumla= 15x722,541 =10,838,115
Na 5,000,000 yako wata kurudishia,
kwenye kikokotoo chao serikali huongezea 0.03% kwenye riba,,faida yako yawa kubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.