Kwa wale wapenda mazoezi ya 'Push up' tukutane hapa!

Kwa wale wapenda mazoezi ya 'Push up' tukutane hapa!

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,074
Kwa kifupi gym nilishaacha kwenda long time nikaamua kuanza kupiga push up home tu!

Kwa kifupi huwa naenjoy sana hasa marafiki wakija kunitembelea huwa nawapa challenge ya kushindana na Mimi huwa nacheka sana baada ya push up 15 tu wanaanza kuhema kama mbwa koko!wakati Mzee mzima hapo naenda zaidi ya push up 150

Tukutane hapa wapenda mazoezi

Sent by Diaspora
 
Usiache mkuu!size za nguo zipo za watu aina zote
Nimeacha pushups nowdays kifua kimekuwa kikubwa sana,napata shida sana kuchagua mashati mazuri ninapokuwa madukani au ninapotoa size yangu mtu anapotaka kunitumia zawadi...

Sent by Diaspora
 
Mimi huwa napiga zile za Love kwaiyo kifua kinakua normal alafu sitanuki sana zile zinaingia adi kwenye damu.

Unakua kama unapiga za X vile. Naenjoy sana mkuu
 
Mimi huwa napiga kwa mafungu yaani 50x5 alafu natulia napoa.
Kwa kifupi gym nilishaacha kwenda long time nikaamua kuanza kupiga push up home tu!

Kwa kifupi huwa naenjoy sana hasa marafiki wakija kunitembelea huwa nawapa challenge ya kushindana na Mimi huwa nacheka sana baada ya push up 15 tu wanaanza kuhema kama mbwa koko!wakati Mzee mzima hapo naenda zaidi ya push up 150

Tukutane hapa wapenda mazoezi

Sent by Diaspora
 
Kwa kifupi gym nilishaacha kwenda long time nikaamua kuanza kupiga push up home tu!
Kwa kifupi huwa naenjoy sana hasa marafiki wakija kunitembelea huwa nawapa challenge ya kushindana na Mimi huwa nacheka sana baada ya push up 15 tu wanaanza kuhema kama mbwa koko!wakati Mzee mzima hapo naenda zaidi ya push up 150.
Tukutane hapa wapenda mazoezi

Sent by Diaspora
Kuna aina ya push-up man, je push-up unazopiga...ni za nakoz (nuckles) mbili au zote ...na kama ni push-up za nuckles zote ni zile unakuwa kwenye flat surface au za kuweka miguu juu ya kitu kama jiwe, stuli au ukutani...150 push-ups mana ake uko fit,
na kama we unaona uko vizuri jaribu zile za vidole vitatu then uje unipe mrejesho......alafu utofautishe nuckle push-ups na palm-push-ups
 
Kwa kifupi gym nilishaacha kwenda long time nikaamua kuanza kupiga push up home tu!

Kwa kifupi huwa naenjoy sana hasa marafiki wakija kunitembelea huwa nawapa challenge ya kushindana na Mimi huwa nacheka sana baada ya push up 15 tu wanaanza kuhema kama mbwa koko!wakati Mzee mzima hapo naenda zaidi ya push up 150

Tukutane hapa wapenda mazoezi

Sent by Diaspora
mimi 50 wide...40 nabana...zoezi la push up linaishia hapo...naanza squat na shoulder...kiumbo fulan hivi mazin g yani! hahahaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kifupi gym nilishaacha kwenda long time nikaamua kuanza kupiga push up home tu!

Kwa kifupi huwa naenjoy sana hasa marafiki wakija kunitembelea huwa nawapa challenge ya kushindana na Mimi huwa nacheka sana baada ya push up 15 tu wanaanza kuhema kama mbwa koko!wakati Mzee mzima hapo naenda zaidi ya push up 150

Tukutane hapa wapenda mazoezi

Sent by Diaspora


Hapa umekuja ku-brag ama kukutana na wapenda push up mkuu!????



Anyway, ukipiga push up according to standard huhitaji kwenda gym kabisa..na mwili hautepeti hata ukiumwa.
 
Me nimeanza na 10mornie,20 jion,nakajitahidi kuongeza walau 5 kila baada ya siku tatu,now napiga 30 asbh,30 jion.its enough 4 me,mabadiliko nayaona kifua kinapanda wastani,sio Kama mwanzo kilikuwa Kama meza.
 
Natamani sana hizo,ndio zilikuwa zangu. Home kwangu nimetenga room kabisa. Ilikuwa kila asubuhi,saa moja na nusu namalizia hapo. Naanza na kuruka kamba na kichura hiyo dk 30 nakata. Nakuja push up zile za two nakoz tu,mkupuo wa 30,30 mara 5. Nakuja unashika mikono kwa nyuma kwenye kama mwamba wa kitanda,yaani unaukigeukia huo mwamba unashuka chini na kupanda. Mikono tu na visigino ndio vinakuwa vimeubeba mwili. Hayo mazoezi nimeanza nayo miaka 20 iliyopita. Sasa kilichokuwa kinanitokea kila nikikomaa mayo sana ilikuwa napata bawasiri, yaani kama vidude vinatokea sehemu ya haja kubwa,kama tuvidole tudogo hivi. Wakati wa haja,nikimaliza ile mishipa ya ndani inauma. Ikawa hiyo inakuja na kupotea nikawa naendelea na mazoezi huku nikitafuta tiba. Nimehangaika sana na tiba. Hivi ninavyoongea nimeacha mazoezi kabisa,kwa sababu sasa nikifanya tu kidogo napata maumivu makali balaa. Bado nahangaikia tiba,tiba ni adimu sana. Inaniuma sana nikikumbuka mazoezi,natamani mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom