Mrs Van JF-Expert Member Joined Mar 9, 2016 Posts 7,416 Reaction score 16,603 Dec 9, 2017 #181 Billie said: Mbona umestuka hivyo? Click to expand... Ya kuniita mrs billie
Billie JF-Expert Member Joined Aug 13, 2011 Posts 13,588 Reaction score 22,752 Dec 9, 2017 #182 Mrs Van said: Ya kuniita mrs billie Click to expand... Nisamehe ila kuna sababu
S stemila JF-Expert Member Joined May 25, 2011 Posts 780 Reaction score 330 Dec 9, 2017 #183 THOMASS SANKARA said: Tueleze siri ya mafanikio yako.....natumia revola Kwani muonekano wake ni tulivu na huniweka mrembo mchana kutwa Nakumbukakumbuka baadhi ya maneno Kwa anayekumbuka zaidi atuandikie Click to expand... Aisee umenikumbusha mbali sana,niliwahi kumuuliza jamaa yangu mmoja akaniambia kwamba yule Dada alifariki sijui nikweli ama vipi,ila umepatia kweli yale maneno aliyokuwa akiyasema kwenye lile tangazo.
THOMASS SANKARA said: Tueleze siri ya mafanikio yako.....natumia revola Kwani muonekano wake ni tulivu na huniweka mrembo mchana kutwa Nakumbukakumbuka baadhi ya maneno Kwa anayekumbuka zaidi atuandikie Click to expand... Aisee umenikumbusha mbali sana,niliwahi kumuuliza jamaa yangu mmoja akaniambia kwamba yule Dada alifariki sijui nikweli ama vipi,ila umepatia kweli yale maneno aliyokuwa akiyasema kwenye lile tangazo.
Nichumu Nibebike JF-Expert Member Joined Aug 28, 2016 Posts 8,658 Reaction score 15,793 Dec 9, 2017 #184 Miriam Odemba!
Mjasiri na Mali JF-Expert Member Joined Jun 24, 2017 Posts 5,366 Reaction score 14,167 Dec 9, 2017 #185 Napita tu