Ahahahhh na hili pia nalipenda sana alivyoanza kumtolea mbovu mpoki bada ya kushinda biko yaan biko mwanzo walikuwa wanaharibu matangazo yao bada ya kumuweka joti matangazo yanafurahisha sanaLile anadaiwa na mpoki mara anapigiwa simu na biko kashinda.[emoji23] [emoji23]
Hahaaa swali zuriUlipenda tangazo ama hako kadada kalikokua kanajigeuza geuza?
Hahaaa hli ndio kibokoNapenda tangazo la biko la joti na mpoki sijui ni vile napenda mahela ila huwa linanifurahisha sana mgonjwa alikuwa hoi kuambiwa kashinda biko na nguvu kapata
Kuna lile la chipssnacks analilia anataka pop cheese mama ake anamwambia chizi tena hahaha anasema aaa aaa jibini [emoji23] [emoji23]Ahahahhh na hili pia nalipenda sana alivyoanza kumtolea mbovu mpoki bada ya kushinda biko yaan biko mwanzo walikuwa wanaharibu matangazo yao bada ya kumuweka joti matangazo yanafurahisha sana
Hili la redioni ama? Sijaliona kwa tvAhahahhh na hili pia nalipenda sana alivyoanza kumtolea mbovu mpoki bada ya kushinda biko yaan biko mwanzo walikuwa wanaharibu matangazo yao bada ya kumuweka joti matangazo yanafurahisha sana
Hili la redioniHili la redioni ama? Sijaliona kwa tv
Haha hili tangazo pia lilikuwa ni shiida...Sijwweza kusahau la Miriam odemba. Nieleze siri ya mafanikio yako
Sio siri nu revola. Yaani huwa linajirudia sana hasa nikusikia mtu anaulizwa hilo swali hahaaaaaa
Stable napenda tu matangazo aidha kuyaskia ama kuyaona.Hahaaa swali zuri
Stable napenda tu matangazo aidha kuyaskia ama kuyaona.Hahaaa swali zuri
Kuna yule mzee wa kipima joto Itv anakuaambiaDum dum dum dum tigo lilikuwa zuri pia.
La fanta marafiki wanaulizana Mbona sikukuona jana carfonia junior sijui ( radio)