[emoji23][emoji23][emoji23]mi mwenyewe napenda sana matangazo aiseeMkuu wewe unayapatia aseeh.
Nishadondosha. Drink fanta say bambucha.Mase yadondoshe basi hata audio zake.
Yes niunge tela...Jamani nilikiwa nalipenda tangazo la bambucha.
Haloo unaenda wapi sasa hivi ?
Around
Niunge teller
(Hapa sijui walikuwa wanasema hivo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23])
Bambucha
[emoji23][emoji23][emoji23]ile rafudhi ya kiarusha ndo alikuwa ananiacha hoi...oswald akiishiwa mpunga anamwambia mchiz wake aisee ni cheki basi kwa eazy pesa[emoji23] [emoji23] [emoji23]