yaaah umegundua hilo kumbe mi mwanangu alikuwa analipenda lile la coca....utamsikia "hey cocacola?Ukiwa na mtoto mdogo mjanja mjanjaa anayependa kuigilizia unayapenda tu.
Tigo hao mzee babaHawa tigo.
Mimi kuna lile la kunyuoa la airtel sijui la kunyoa..yaaah umegundua hilo kumbe mi mwanangu alikuwa analipenda lile la coca....utamsikia "hey cocacola?
..na kuna mda ukienda nae dukani akiziona coca anakuambia umnunulie anywe kama vile
Na ww je? Mimi naitwa jambo katikatiiTangazo la chai jaba.
Jambo kaubwa,jambo katikati na jambo dogo
Sabuni ya mshindi
Tangazo la bia ya safari
Safari ni safari iwe mchana au usiku,kiangazi au masika safari ni safari.
heee wamekata?...wamekataje?[emoji23][emoji23]....wa mwisho analia...wamentumia ada ya shule...wamekataaaaaa[emoji23][emoji23]Kuna hili.
Wamekata! Wamekata!
Eeh kweli wamekata.
Hahaheee wamekata?...wamekataje?[emoji23][emoji23]....wa mwisho analia...wamentumia ada ya shule...wamekataaaaaa[emoji23][emoji23]
Haaha kuna ile ya joti ya tigo anapaulizia kwa mzee marurubadu...Na ww je? Mimi naitwa jambo katikatii
Ifanye ngozi yako kuwa laini na nyororo kwa kutumia jambo lotion, jambo lotion yako nunua sasa [emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tangazo la chai jaba.
Chai nzuri yenye nguvu,chai bora chai jabaaa
Jambo kubwa,jambo katikati na jambo dogo
Sabuni ya mshindi
Mshindi ni sabuni mpya yenye nguvu,yenye kutakasa kuliko zote,mshindi ee mshindiiiii
Tangazo la bia ya safari
Safari ni safari iwe kwa mguu au kwa basi safari ni safari iwe mchana au usiku,kiangazi au masika safari ni safari.
daaaah ili nalo nlikuaga nalipendajeeeTuntututu tuntu oyeee..
Aahhhaaa yap yap yap
Ebhana eeeh
yap yap yap
Ebhana eeeh
Tuntu tuntu tutuntuu...
Haha tangazo bora kabisa 2016.Ndorobo wewe iyo buku si bora ninunue gazeti nijipepee
Hapana hilo silijuiLeta nguo tukafue komoa leta nguo tukafue komoa... la sabuni ya komoa.
Unalikumbuka la 90s