Kwa wale wapenzi wa matangazo ya TV na Radio, tangazo lipi unalipenda?

Kuna tangazo moja hivi la bia inatengenezwa kaskazini huwa naliskia clouds kwenye jahazi ni kama wimbo flani hivi wanaimba " kaaaaribu kaskazini......
Sema sijashika lyrics zake huwa nalielewa sana
Hili silijui aseeh
 
Mbona tangazo la tigo halipo kwenye list yako? Lile tangazo linatia kichefu chefu sana.
TCRA wamekaa kimya mpaka leo. Wash.nzy sana tigo.
Kwa huu ukimya tutarajie kupata nyimbo za ovyo zaidi ya wowoo
 
Haya matangazo ya kusafisha nyota, kurudisha nyota iliyo potea, mvuto wa biashara, mvuto wa wapenzi, kuongeza akili darasani na upupu unaofanana na huo kwangu mimi hio ni uzwazwa kiwango cha SGR.
 
Nimecheka hiyo "FIRE IS HOT" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mleta mada nimwelewa vema. Essence ya ujinga wa haya matangazo huonekana pale unapoona kabisa kwamba kwa vyovyote vile bila hata kusungekuwepo tangazo|tahadhari ile hakuna yeyote ambaye angeshindwa kutambua anachopaswa kufanyanya.
:::Mf, kama hilo la kiti ni kibovu, usikalie; wakati hata pa kukaa penyewe hapapo.
:::Sideway ends wakati pa kutembelea pamegota mwisho na kila mtu anaona.
:::Sakafu imelowa!! na wakati huo huo unaona kabisa kuna mirija inatema maji kwenye sakafu hiyo. Yani ni upuuzi mwanzo mwisho.
 
1.Huduma za nasako ni bora sana,,huduma za nasako ni bora sana

2.Hongera mwanangu eee hongera nami nihongere eee hongera,,mama uchungu mama uchungu, nyamala mwanangu oyeee nyamala mwanangu sungulaudele linauma mno eee nyamala.
 
Omari mbona wajikuna nhwarara ngwararaaa.

Tangazo la sabun ya kuogea
 
Mwanangu nyamaza leo tutakula wali(katoto kanalia ng'aaa ng'aaaa) mama mtu anaimba sijui lilikua tangazo la nn vile
 
Mbona tangazo la tigo halipo kwenye list yako? Lile tangazo linatia kichefu chefu sana.
TCRA wamekaa kimya mpaka leo. Wash.nzy sana tigo.
Kwa huu ukimya tutarajie kupata nyimbo za ovyo zaidi ya wowoo
Weka picha

sent from my xm udongo using jf app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…