Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,063
Kaa karibu na tv yako utaliona tu.Weka picha
sent from my xm udongo using jf app
Hehe zile zile ivory nazozijua? Sio bure, hizo pipi ni tamu kupindukia. Kuna matangazo mengine ambayo nia yazo haswa ni kuudhi mtazamaji, lengo lao, usije ukasahau kamwe kinachotangazwa. Kama wewe na pipi za Ivory, malengo yao yalitimia. Shida ni, waliyemtumia kufikisha ujumbe, Majuto. Pole sana. 😀😀😀Tangazo la Majuto anamletea mke wake nguo na viatu alafu mke anakataa na kuvitupa, anamtupia Majuto usoni... Majuto anainama kuziokota alafu akadondosha pipi ivory, eti mke akapagawa na pipi badala ya zawadi alizoletewa like seriously? Tangazo la kipuuzi kwakweli
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kwakweli linaniboa sana hili tangazoHehe zile zile ivory nazozijua? Sio bure, hizo pipi ni tamu kupindukia. Kuna matangazo mengine ambayo nia yazo haswa ni kuudhi mtazamaji, lengo lao, usije ukasahau kamwe kinachotangazwa. Kama wewe na pipi za Ivory, malengo yao yalitimia. Shida ni waliyetumia kufikisha ujumbe, Majuto. 😀 Pole sana. 😀😀
Mimi mwenyewe sijatizama tangazo lenyewe lakini ulivoeleza na navomjua majuto nikajua lazima majanga. Kuna moja ya huku Kenya ilikuwa kama slogan. Baada ya utoto mwingi usioeleweka wanamaliza na 'Usiseme maziwa sema Ng'ombe!' Wakati maziwa yenyewe wanayoyatangaza yanaitwa Tuzo Milk. Afu star ni Majuto wa Kenya, anaitwa Jalang'o. Acha tu yaani hata tv unatamani uizime milele. 🙂[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kwakweli linaniboa sana hili tangazo
mi nashindwaga kuelewa sijui hakuna hata wazee wenzie wamshauri kwamba ana bugi sana kwa umri wake alafu kufanya ule ujinga
Yale huwa ni ya watotomimi matangazo yote yenye yule mzee anaitwa majuto huwa kwangu yana kuwa ya kipuuzi ,ya kitoto na kitaahira.
Wapo na wale Manabii !Haya matangazo ya kusafisha nyota, kurudisha nyota iliyo potea, mvuto wa biashara, mvuto wa wapenzi, kuongeza akili darasani na upupu unaofanana na huo kwangu mimi hio ni uzwazwa kiwango cha SGR.
Kina nani sasaNgoja waje
Wivu umekujmkaa, wenzio wanapiga pesamimi matangazo yote yenye yule mzee anaitwa majuto huwa kwangu yana kuwa ya kipuuzi ,ya kitoto na kitaahira.
Mleta mada nimwelewa vema. Essence ya ujinga wa haya matangazo huonekana pale unapoona kabisa kwamba kwa vyovyote vile bila hata kusungekuwepo tangazo|tahadhari ile hakuna yeyote ambaye angeshindwa kutambua anachopaswa kufanyanya.
:::Mf, kama hilo la kiti ni kibovu, usikalie; wakati hata pa kukaa penyewe hapapo.
:::Sideway ends wakati pa kutembelea pamegota mwisho na kila mtu anaona.
:::Sakafu imelowa!! na wakati huo huo unaona kabisa kuna mirija inatema maji kwenye sakafu hiyo. Yani ni upuuzi mwanzo mwisho.
Mbona tangazo la tigo halipo kwenye list yako? Lile tangazo linatia kichefu chefu sana.
TCRA wamekaa kimya mpaka leo. Wash.nzy sana tigo.
Kwa huu ukimya tutarajie kupata nyimbo za ovyo zaidi ya wowoo
+ jotiimimi matangazo yote yenye yule mzee anaitwa majuto huwa kwangu yana kuwa ya kipuuzi ,ya kitoto na kitaahira.
Ha ha haLipoje hilo, na linahusu nini maana wengine TV hatuna asee [emoji16][emoji16]
Kwa ulaya wanakuwa na makesi ya ajabu ajabu sana, ili kujihami wahusika ndio wanaweka hizo warning signs ambazo kwa huku tunaziona ni za ajabuajabu.