Kwa wale wenye "MAJINI" vichwani au pembeni yao

Mi sijawahi Fanya hizo mambo, mie ni wa Jesus.

Basi ni vyema ukamtumainia Jesus au umeona hatoshi mpaka unaulizia huku kwetu kuwa ufanyeje, it means umeona Jesus hana msaada, hafai na wala hatoshi and that's why you need a help from others...?
 
Basi ni vyema ukamtumainia Jesus au umeona hatoshi mpaka unaulizia huku kwetu kuwa ufanyeje, it means umeona Jesus hana msaada, hafai na wala hatoshi and that's why you need a help from others...?
Imani Yake Ya Kutanga Labda..

Rakims
 
Only in Tanzania, majini wanashauri watu...
Correction.Ungemwuliza mleta mada ni watu wa imani ipi wanashauriwa na majini,a commited christian hawezi wala hayo madudu hayawezi kukaa kwake.Hii dunia ni ya ajabu wakati tunahangaika kufanyia watu deliverance wengine wanayafuga.
 
Uni tag dude
 
Kuna watu watanasa kwenye huu mtego....na jamaa aliyeleta uzi atapiga hela sana
 
Si kwamba hamjui kiswahili ila hata akiki zenu zinafanya kazi kwa kiwango kidogo sana...... Si kwa utaahira huuu.....nyie kabila gani hata msielewe kinachosemwa kwenye aya hizo
 
Si kwamba hamjui kiswahili ila hata akiki zenu zinafanya kazi kwa kiwango kidogo sana...... Si kwa utaahira huuu.....nyie kabila gani hata msielewe kinachosemwa kwenye aya hizo
Hiyo Wanayofanya Ni Copying And Paste Kama Tactarian At School...

Rakims
 
Shindwa katika jina la Yesu na majini yako.
 
Hivi mkuu unajua hata kuandika kombe na kudhikiri kweli??
 
Acha ujinga na kupotosha watu, roho mtakatifu ni Roho wa Mungu wewe unamfananisha na mapepo yako, kama hujui kitu uliza ufundishwe Acha upumbavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…