Kwa wale wenye "MAJINI" vichwani au pembeni yao

Kwa wale wenye "MAJINI" vichwani au pembeni yao

halafu nikishavipata hivyo vitu nifanyaje? Unga wa miski upoje maana mafuta yanapatikana Rakims

ukivipata sema nakuelekeza unga wa miski upo ulizia madukani tu....
 
Last edited by a moderator:
Nasikia pia kitimoto kwa sana, ni dawa nzuri ya hayo madude. Hili lina ukweli gani?

hawa wapo kama sisi vipi ukikuta na yeye anatumia mdudu? dawa nyingine ni mzizi wa mkungu unasiku yake na muda wake na kifaa chake cha kuchimbia sio mzizi wowote wenyewe utakuelekeza auto...


"Rakims"
 
vp mkuu group limeshajaa au bado kuna nafasi?
 
Naona maruwe ruwe..


Hivi na vibwengo vya kule Tanga navyo ni particle za majini??

Wale viumbe ni hatari.
 
Naona maruwe ruwe..


Hivi na vibwengo vya kule Tanga navyo ni particle za majini??

Wale viumbe ni hatari.

siwafahamu hao ndugu kwa jina hilo labda uwaelezee...

"Rakims"
 
naskia majini wote hawapendi bangi,me nilisha wahi vuta,natumia kitimoto pia,hivyo sina hayo madude
 
Naona maruwe ruwe..


Hivi na vibwengo vya kule Tanga navyo ni particle za majini??

Wale viumbe ni hatari.

Ndio, ni aina ya MAJINI wa asili/kienyeji coz JINNS wamegawanyika wapo hao wa kiasili/kienyeji ambao wanatokana na asili husika na wapo wa baharini hawa asilimia kubwa huwa na uasili ya kiarabu kwa kuongea na hata muonekana au vitu wanavyopenda ni tofauti na hao wa asili kama bwengo, maasai n.k

Hata kutibu kwao kwa mfano mtu mwenye nao kwa ajili ya kutibu/uganga kwa kawaida wanavyotibu hao wa kienyeji na hawa wa baharini tiba/madawa yao ni tofauti kabisa, kuna madawa ya kiarabu na kuna tiba/madawa ya mitishamba.

Hebu acha nisiwapeleke sana huko ila swali lako jibu lake limepatikana natumai. Ntakuja na uzi muda si mref nimekuwa kimya sana.

Acha nipite tu. Shalom.
 
Nduki, mzee wa number.

Hivi unaweza kuwa na jini unalotoa mwenyewe liondoke??

Sjakuelewa vizuri swali lako.

Lakini kama itakuwa una JINN unataka uliondoe mwenyewe inawezekana ila inahitaji elimu kiasi na uache mambo machafu kwa kumuelekea MUNGU na kufanya yale yalio mema huku ukiendelea na zoezi la kumtimua JINN huyo/hao.

Pia inategemea ni JINN wa aina gani coz asili yao hawa ni wabishi sana ndugu. Yuko tayari kuumia au kufa akiwa mwilini na kugoma kutoka mpaka dakika ya mwisho inabidi umuue tu inapokuwa hakuna jinsi. Ntakuja na uzi soon tu usjali.
 
Kuna mwanamke ananiloga ili niachane na mke wangu, nifanyeje.
 
Pole bhana mtoa post tuvumiliane tu maana ndiyo uwezo ulipofikia wa kutokuelewa yale maelekezo anayotoa mtu.
Naona hata wasiohusika bado wamelazimisha kuwepo humu ni ufinyu tu wa fikra
 
Pgakwa huyu jamaananamajini mengi anata kakugaia wenzake 0656 438 488

Majininyake mazito anajiita sheikh khalifa

Ila nambazake reg kwa Alphonsina mtei

Alikuwa mkristu kahamia uislamu mrudishe ukristoni aachane nanmajini

Yesu amwokoe
mmmmmmmmmmmmmmmmmmh najuta
 
Back
Top Bottom