Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia pia kitimoto kwa sana, ni dawa nzuri ya hayo madude. Hili lina ukweli gani?
ukivipata sema nakuelekeza unga wa miski upo ulizia madukani tu....
Naona maruwe ruwe..
Hivi na vibwengo vya kule Tanga navyo ni particle za majini??
Wale viumbe ni hatari.
naskia majini wote hawapendi bangi,me nilisha wahi vuta,natumia kitimoto pia,hivyo sina hayo madude
Nduki, mzee wa number.Usilolijua ndugu...!.
Nduki, mzee wa number.
Hivi unaweza kuwa na jini unalotoa mwenyewe liondoke??
hahahaha it happens kama nilivyohisi poleni wote yaelekea hata shule mlikuwa watoro maana nimetaja wahusika ila zombie mmejitokeza
#Rakims
Kuna mwanamke ananiloga ili niachane na mke wangu, nifanyeje.
mmmmmmmmmmmmmmmmmmh najutaPgakwa huyu jamaananamajini mengi anata kakugaia wenzake 0656 438 488
Majininyake mazito anajiita sheikh khalifa
Ila nambazake reg kwa Alphonsina mtei
Alikuwa mkristu kahamia uislamu mrudishe ukristoni aachane nanmajini
Yesu amwokoe
0719590756 HEBU NIUNGANISHE HAPOsiwafahamu hao ndugu kwa jina hilo labda uwaelezee...
"Rakims"
sawa hakuna tabu..