Kwa wale wenye "MAJINI" vichwani au pembeni yao

Kwa wale wenye "MAJINI" vichwani au pembeni yao

Hizo dalili zote zinatibika hospitali...acha kudanganya watu.
 
sema hivi unarudisha elfu 5 yangu hurudishi? Halafu Jibu Sirudishi Niliichomoa Mfukoni Mwako? hapa ndio tuone mimi na wewe nani mfa maji

Unakichaa wewe ni elf 5?? We sio mzima wa akili nakwambia, rudisha pesa zetu na uombe samahani mjinga wewe.
 
Rakims hebu nielekeze jinsi ya kuyatimua maana mi nahisi ninalo chafu

tafuta mafuta ya miski na unga wa miski na vitunguu saumu...

"Rakims"
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom