Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
Mtoe Pinda Jin I LA URais
Hahahahaha yamekuwa hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoe Pinda Jin I LA URais
Huo ni uongo usio na mfano.
sadly nakumbuka ulisema unafanya karesearch juu ya uchawi na majini. kitendo cha kusema majini wanashauri Watanzania tu nadaut research yako!!!
Too hoojja.
Endelea kuwafundisha hayo mapepo..mbumbu wenzio,maana kwako/kwenu ni harali..same question for you kabla sijaenda mbali.. umeniuliza wakati jini anaamini kama nilikuwepo? SIKUWEPO
Sasa na Wewe Wakati Mungu Anakuumba Ulikuwepo?
"Rakims"
Majini wazuri?! Hamna jini mzuri katika ukristo labda uislamu, katika ukristo, mungu kaumba malaika, hao majini walihasi
Ishmael
Mkuu hayo maandiko yanamaanisha tofauti kabisa na unavyofikiri kiongozi kama unavyoona kuwa imesemwa kama una dharura hapa ina maana gani ;
i ).Mungu amekataza kuua nafsi na ndio mana hiyo AYA inaeleza kuwa kama umepatwa na dharura ikimaanishwa kuwa kama upo sehem ambayo unajua hakuna chakula isipokuwa hivyo vilivyotajwa tu na ukaona nispokula utakufa njaa unaruhusiwa kula lakini sio kula tu eti kwa sababu umetamani na ndio maana AYA ilivyoanza imeanza kwa kukataza then ikasema baada lakini kwa mwenye dharura tu ambapo umeshikwa na njaa ya kufa na hakuna chakula zaidi ya hiko.
Mkuu sjui kwa mafundisho mliyofundishwa nyinyi ila kwa mafundisho ya QUR'AN inahitaji akili ya ziada kuweza kufkiri andiko na sio tu linavyokuja ukalichukua hivyo hivyo HAPANA MKUU na ndio maana kwenye UISLAM mtu unaweza ukamhoji swali SHEIKH akupe ufafanuzi wa jambo mpk pake utakaporidhika sjui labda kwa upande wa dini yenu kama mnalichukua tu ANDIKO kama lilivyo huwa mnafanya hivyo kiongozi...?.
Na pia kama hujaelewa vizuri hiyo AYA waweza tu kuuliza ni wapi hujaelewa nikakuelewesha japo kwa ufaham wangu nilionao pasina matusi kama ni kweli utahitaji kujifunza jambo,KARIBU SANA.
Lakini si inategemea kama anachokuamrisha ni cha haram mkuu je kama anakuamrisha jambo ambalo ni la halali na unaona wazi kuwa lina manufaa ndani yake shirki inakujaje hapo kiongozi wangu nifumbue macho kiduchu,karibu.
Majini wote ni Wabaya na ni Maislam na ni Machafu na YOOTE yanamswalia Muhammad mtume wao. Hakika Jahannam ipo kwa ajili yenu mnao fuga majini.
Come out of the box young man. There is freedom in Jesus.Imbecile at her own work!
Pole.
Only in Tanzania, majini wanashauri watu...
Umeona eeh hiki kijamaa kinaongea mambo ya uongo kabisa...huyu ni mfuga majini mzoefu.
Mbona uamechagua kutishia watu kuliko kuelezea uganga wako?ktk hii mistari tuu umeandika contradictions kibao..pengine kinachokuzengua ni huu ushairi.Mungu wa kweli hayupo ktk kambi yako,ahta km fikra zako zinakupa picture yake...unafanya uhsirikina tuu kumhusisha na hiyo miungu yako na hizo roho za matambiko na za kupotosha unazoziapia...Fa Way Lun Yaumaidhin lil Muqaazibin// Ole Wao Wenye Kuikadhibisha dini... Kwa Hakika Wote Mlioleta Udin Humu Mmemtukana mola wenu while hii ni jukwaa la jamii intelligence kwa nini huu uzi usiukopi upeleke kwenye jukwaa la dini ili mkakutane muanze kutukaniana dini huko hakika sio vema kutukana dini ya mwenzio hali ya kuhisi ya kwako imekamilika.... allah anatuambia waislamu kupitia mtume wake (s.a.w) kwamba sema kuwaambia Waislamu laa illaha illa allah.. kwa hakika/tafsir Hapana mola apasaekuabudiwa kwa haki isipokuwa allah s.w........ muhamad rasuul allah na wewe muhamad ndio mjumbe wa allah...... hakika mmedhalilisha kalma hii basi nayo itawadhalilisha pia... hakika nyie makafir mnavipamba vitendo vyenu vyema mkijua wengine wote ni wabaya na mnahhukumu kabla ya mola wenu kwa kumwambia al muumin kwamba ni mchafu je, mlioleta udini hapa na kuhisi wachaafu wenzenu take your record Siku tatu zilizopita umemuasi kiasi gani huyo unaemuita mungu wako iwe allah au yesu au hata jiwe imaniyako na Balaa Zako Je Umeasi na Umeiasi Kiasi Gani Siku 3 Zilizopita! Sisi Sote Ni Wa Mola Na Kwake Tutarejea Na Hakika Kikweli \siku zote hushambulia hata kizuri pia ili kiharibiwe lakini mwenyezi mungu anasema waache wafanye watakayo lakini marejeo ni kwa mola wao mlezi tu..... na kwa yakini haata huyo mungu wenu mnaemuita yesu sidhani kama Alisha wahi kumwambia kiumbe yoyote kwamba mungu wako ni mjinga na kigeugeu... je umeyatoa wapi haya Basi kumbe hata afanyae mambo ambayo yesu hakuyafanya ni mpinga dini yake mwenyewe pia.... na je yesu alipokuwa anawaambia watu kuhusiana na dini yake au waliopotea alikuwa anawakemea na kuwafukuza au anawapa neno? kumbe yote makosea yabidi urudie kusoma biblia vema mwanzo hadi mwisho ndio ujiite mfia dini... na kwa nini ukiuliza maswali pointi kama haya unaambiwa una pepo wa maswali?? basi na kwa hakika dini mliopo pia ina mushkel... MwISHO KABISA NISEME: Qulllllllllllllllll sema ewe mjumbe wa mwenyezi mungu akiamrishwa mtume na wafuasi wake... yaa ayuhal kaafiruuun/enyi makafiri kuwaambia wote waliomkataa mwenyezi mungu mmoja tu na kumzushia ana mungu mwingine msaidizi na kupinga kauli zake.. laa aabudu maa taabudun/siamini mnachoamini.... wala antum abiduna maa angbudu/wala nyinyi hamuaamini ninachoamini... wala ana abidun maa abaditum/wala sita abudu mnachoabudu.. wala antum abiduuna maa aabudu/wala nyinyi hamtaabudu ninae abudu//////// lakum diinu kum wal yaadiin/nyinyi mna dini yenu na mimi ninadini yangu... kwa sura hii bakini hivyo hivyo na sisi mtuache hivi hivi enyi maaswi kama ma efreet,ghouls na shaitwaan wa kibinaadamu #Rakims
Alafu uniambie ruhusa ya kula kitimoto umeipata wapi!!!!
Ruhusa ya kula mbuzi katoliki umeitowa wapi?
ndio kinachotokea hiki point zako zikikosa mashiko....
Pata elimu ya bure hapa:
WAISLAM WAMERUHUSIWA KULA MIZOGA NA DAMU NA NYAMA YA NGURUWE
====================================================
Surah Al Baqara 173.Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi kula Mzoga na damu na nyama ya Nguruwe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.