Kwa wale wenye "MAJINI" vichwani au pembeni yao

Kwa wale wenye "MAJINI" vichwani au pembeni yao

Fa Way Lun Yaumaidhin lil Muqaazibin// Ole Wao Wenye Kuikadhibisha dini... Kwa Hakika Wote Mlioleta Udin Humu Mmemtukana mola wenu while hii ni jukwaa la jamii intelligence kwa nini huu uzi usiukopi upeleke kwenye jukwaa la dini ili mkakutane muanze kutukaniana dini huko hakika sio vema kutukana dini ya mwenzio hali ya kuhisi ya kwako imekamilika.... allah anatuambia waislamu kupitia mtume wake (s.a.w) kwamba sema kuwaambia Waislamu laa illaha illa allah.. kwa hakika/tafsir Hapana mola apasaekuabudiwa kwa haki isipokuwa allah s.w........ muhamad rasuul allah na wewe muhamad ndio mjumbe wa allah...... hakika mmedhalilisha kalma hii basi nayo itawadhalilisha pia... hakika nyie makafir mnavipamba vitendo vyenu vyema mkijua wengine wote ni wabaya na mnahhukumu kabla ya mola wenu kwa kumwambia al muumin kwamba ni mchafu je, mlioleta udini hapa na kuhisi wachaafu wenzenu take your record Siku tatu zilizopita umemuasi kiasi gani huyo unaemuita mungu wako iwe allah au yesu au hata jiwe imaniyako na Balaa Zako Je Umeasi na Umeiasi Kiasi Gani Siku 3 Zilizopita! Sisi Sote Ni Wa Mola Na Kwake Tutarejea Na Hakika Kikweli \siku zote hushambulia hata kizuri pia ili kiharibiwe lakini mwenyezi mungu anasema waache wafanye watakayo lakini marejeo ni kwa mola wao mlezi tu..... na kwa yakini haata huyo mungu wenu mnaemuita yesu sidhani kama Alisha wahi kumwambia kiumbe yoyote kwamba mungu wako ni mjinga na kigeugeu... je umeyatoa wapi haya Basi kumbe hata afanyae mambo ambayo yesu hakuyafanya ni mpinga dini yake mwenyewe pia.... na je yesu alipokuwa anawaambia watu kuhusiana na dini yake au waliopotea alikuwa anawakemea na kuwafukuza au anawapa neno? kumbe yote makosea yabidi urudie kusoma biblia vema mwanzo hadi mwisho ndio ujiite mfia dini... na kwa nini ukiuliza maswali pointi kama haya unaambiwa una pepo wa maswali?? basi na kwa hakika dini mliopo pia ina mushkel... MwISHO KABISA NISEME: Qulllllllllllllllll sema ewe mjumbe wa mwenyezi mungu akiamrishwa mtume na wafuasi wake... yaa ayuhal kaafiruuun/enyi makafiri kuwaambia wote waliomkataa mwenyezi mungu mmoja tu na kumzushia ana mungu mwingine msaidizi na kupinga kauli zake.. laa aabudu maa taabudun/siamini mnachoamini.... wala antum abiduna maa angbudu/wala nyinyi hamuaamini ninachoamini... wala ana abidun maa abaditum/wala sita abudu mnachoabudu.. wala antum abiduuna maa aabudu/wala nyinyi hamtaabudu ninae abudu//////// lakum diinu kum wal yaadiin/nyinyi mna dini yenu na mimi ninadini yangu... kwa sura hii bakini hivyo hivyo na sisi mtuache hivi hivi enyi maaswi kama ma efreet,ghouls na shaitwaan wa kibinaadamu #Rakims
 
Huo ni uongo usio na mfano.
sadly nakumbuka ulisema unafanya karesearch juu ya uchawi na majini. kitendo cha kusema majini wanashauri Watanzania tu nadaut research yako!!!

Too hoojja.

Ina uhusiano gani na research yangu ?
 
Uongo mtupu....jini ni shetani na ndio maana likaitwa jini...yaani 'Malaika walioasi pamoja na Lusifa'...so in really sense hakuna shetani mzuri wote ni wabaya..
Utakubali vpi kuongozwa na Maruhani badala ya Mungu?
Na kwa nini yakae ndani yako wakat Mungu alivyomuumba binadam alimuumba kama free soul?
Kwa nini yakutawale wakati binadamu aliambiwa kutawala viumbe vyote?

Mungu awape macho ya Rohoni ili muone....
Mkuu asante kwa kusema Ukweli wa Mungu wa Mbinguni. hapa ndipo wanasimamia.... Sahih muslim Juzuu 4/2618 hadithi namba 2814 kasema;

"Wala hakuna yeyote katika ninyi isipokuwa amepewa nguvu zinazotokana na majini. Wakasema (maswahaba) hata wewe mtume wa Allah? Akasema hata mimi isipokuwa Allah hunirahisishia juu yake hunyenyekea wala hayaniamrishi ila yaliyo mazuri."

imesimuliwa na Ibn Mas'ood.
 
Alafu uniambie ruhusa ya kula kitimoto umeipata wapi!!!!



Ruhusa ya kula mbuzi katoliki umeitowa wapi?
quote_icon.png
By Rakims

vile wanaruka na kwenda wanakotaka au kupita wanakotaka bila kutumia chombo chochote.
Taifa la Majini limegawanyika katika makabila Milioni Sabini na mbili (72,000,000) na wana uwezo wa kujifunza lugha yeyote wanaoitaka.

Idadi ya Majini ni kila Binadamu mmoja kuna Majini 300 na wanaishi katika Majumba yetu, kwenye Miti, Majangwani, Kwenye Mapango na Sehemu zenye Misitu Mikubwa.

#Rakims



Kwahiyo, alipo kuwa Adam peke yake hapa duniani, idadi ya Majini ilikuwa mia tatu [300]!! Hivi kwanini huwa unapenda ku mislead watu?

Sasa hao Majini 300 walio kuwepo wakati wa Adam waliwezaje kugawanyika katika makabila Milioni 72? Hakika uongo unapozidi, unashindwa hata kufanya hesabu za Chekechea.
 
1. Nani anafanya sensa ya majini hata kujua yako 300 kwa kila binadamu?
2. Je, majini hayo yana serikali au namna ya uongozi? Mambo ya ukoo au kabila au race yakoje hapa?
3. Ni sifa gani unatakiwa uwe nazo ili majini yaingie kwako?
4. Kama majini yanazaana je yanabeba mimba? Kwa muda gani? Ratio ya ke na me ikoje?
5. Katika hayo majini, kuna yenye ulemavu?? au kasoro inayoweza kuwafanya wasiwe effective kama wenzao?
6. Jini mwenye miaka say 200 na yule wa miaka 500 tofauti yao ni nini?
7. Ukiacha jina la pepo au maruhani je majini haya huwa na majina yake (individua names) kama binadamu?
8. Je majini haya yanaishi tu kwa binadamu au hata katika wanyama wengine? Na kwa nguruwe je??
9. Jini wa kike aweza kukaa kwa mtu mwenye jinsia ya me?? Na wa kiume je?
10. Ni majini mangapi yanaweza kuishi ndani ya binadamu mmoja kwa wakati mmoja? Je, yenye jinsia tofauti yaweza kuishi ndani ya mtu mmoja kwa wakati mmoja?
11. Jini watoto wanafundishwaje kuweza ku-qualify kuishi ndani ya mtu?
12.Jini aweza kuzaa mapacha??
13.
14.
15.

Nina maswali mengi, nitaendelea kuuliza mengine nikishapata majibu ya haya ya utangulizi.
 
Mkuu Rakims vp inawezekana kufuga majini wema shambani kwa ajili ya kudhibiti wezi? Naomba jibu jibu plz nimechoka kulima alaf wavunaji wengine. Je kuna madhara yoyote kwangu mwenye shamba.
 
MR... Adventure majini wema hawafanya kazi za hivyo... labda ukachukue wa wapiga ramli........
 
1. Nani anafanya sensa ya majini hata kujua yako 300 kwa kila binadamu?
2. Je, majini hayo yana serikali au namna ya uongozi? Mambo ya ukoo au kabila au race yakoje hapa?
3. Ni sifa gani unatakiwa uwe nazo ili majini yaingie kwako?
4. Kama majini yanazaana je yanabeba mimba? Kwa muda gani? Ratio ya ke na me ikoje?
5. Katika hayo majini, kuna yenye ulemavu?? au kasoro inayoweza kuwafanya wasiwe effective kama wenzao?
6. Jini mwenye miaka say 200 na yule wa miaka 500 tofauti yao ni nini?

7. Ukiacha jina la pepo au maruhani je majini haya huwa na majina yake (individua names) kama binadamu?
8. Je majini haya yanaishi tu kwa binadamu au hata katika wanyama wengine? Na kwa nguruwe je??
9. Jini wa kike aweza kukaa kwa mtu mwenye jinsia ya me?? Na wa kiume je?
10. Ni majini mangapi yanaweza kuishi ndani ya binadamu mmoja kwa wakati mmoja? Je, yenye jinsia tofauti yaweza kuishi ndani ya mtu mmoja kwa wakati mmoja?

11. Jini watoto wanafundishwaje kuweza ku-qualify kuishi ndani ya mtu?
12.Jini aweza kuzaa mapacha??
13.
14.
15.

Nina maswali mengi, nitaendelea kuuliza mengine nikishapata majibu ya haya ya utangulizi.
these are not mortal, .......you need to think beyond that...........
 
Majini wazuri?! Hamna jini mzuri katika ukristo labda uislamu, katika ukristo, mungu kaumba malaika, hao majini walihasi
Nenda kwenye Bible yako soma kitabu cha "Enoch" kwa maana mafundisho tulikuwa tunakitaja taja kuwa kipo. Kama bible yako ni new edition wamekichomoa basi kigoogle tu utakipata halafu soma kwa makini kisha konecti doti mbali mbali.
 
Only in Tanzania, majini wanashauri watu...
Sio tanzania tu nasikia hata huko ughaibuni majini yanatumika sana kimaendeleo, nasikia hawa wanaoitwa 'Iluminati' kama lady Gaga, Maddona, Beyonce etc wanauwezo wa moja kwa moja wa kuwasiliana na majini waasi ambao Rakeem anawaita mapepo wachafu katika kukamilisha "NEW WORLD ORDER"
 
Sio tanzania tu nasikia hata huko ughaibuni majini yanatumika sana kimaendeleo, nasikia hawa wanaoitwa 'Iluminati' kama lady Gaga, Maddona, Beyonce etc wanauwezo wa moja kwa moja wa kuwasiliana na majini waasi ambao Rakeem anawaita mapepo wachafu katika kukamilisha "NEW WORLD ORDER"

Hakuna kitu kama hicho. Illuminati are so smart to believe in things like jinns
 
Hakuna kitu kama hicho. Illuminati are so smart to believe in things like jinns
Naomba ufafanuzi hapo mkuu, sijaelewa si unajua lugha za watu hizi kiongozi wangu kuuliza si ujinga.
Au inawezzekana ukawa umeandika sahihi ila mimi sijui maana ya Iluminati
 
Nenda kwenye Bible yako soma kitabu cha "Enoch" kwa maana mafundisho tulikuwa tunakitaja taja kuwa kipo. Kama bible yako ni new edition wamekichomoa basi kigoogle tu utakipata halafu soma kwa makini kisha konecti doti mbali mbali.
Dot zipi sasa ,wakati Solomoni alimuush Mungu kwa kuoa wanawake kutoka mashariki waliokuwa wakifanya ibada na miungo yao.Majinni yametembea bara Arabia karne na karne,waarabu wakiyapa dmu kwa kafara wa binadamu na wanyama kabla ya uislam.Na leo vita ndio nguzo yao na wafuasi wao duniani. Majinn ni chukizo kwa Mungu wa Israeli.
 
Hapana dawa yao Mbuzi katoliki na ukiona watu wanachukia sana huyu mnyama ujue tayari majini yameshakuingia.majini yote hayapendi kukaa karibu na Mbuzi katoliki.

Mengine yanakula hiyo kitu aisee. Kuna MTU alipagawa na pepo yalipo ulizwa majina yao yalitaja majina yanayotumiwa na wakristo.
 
Acha kubabaisha. ruhusa ya kuendesha gari inapatikana hata ktk katiba ya jamuhuri ya muungano wa TZ ya mwaka 1984. na hata dini hazijakataza kuendesha gari.

kama unajibu ni wapi umepata ruhusa ya kula kitimoto wewe niambie ili nami niijue, kama hujui kitu poteaaaaaa! usijaze sava hapa. na naamini wote walao kitimoto kwa tiketi ya ukiristo ni fool.s maana hakuna hiyo ruhusa. na kama ipo naihitaji.
soma waraka wa kwanza wa thimotheo 4:1 na kuendelea pia matendo ya mitume 10:15na kuendelea.
 
Back
Top Bottom