Rakims
JF-Expert Member
- Jun 4, 2014
- 5,002
- 4,571
- Thread starter
- #61
Fa Way Lun Yaumaidhin lil Muqaazibin// Ole Wao Wenye Kuikadhibisha dini... Kwa Hakika Wote Mlioleta Udin Humu Mmemtukana mola wenu while hii ni jukwaa la jamii intelligence kwa nini huu uzi usiukopi upeleke kwenye jukwaa la dini ili mkakutane muanze kutukaniana dini huko hakika sio vema kutukana dini ya mwenzio hali ya kuhisi ya kwako imekamilika.... allah anatuambia waislamu kupitia mtume wake (s.a.w) kwamba sema kuwaambia Waislamu laa illaha illa allah.. kwa hakika/tafsir Hapana mola apasaekuabudiwa kwa haki isipokuwa allah s.w........ muhamad rasuul allah na wewe muhamad ndio mjumbe wa allah...... hakika mmedhalilisha kalma hii basi nayo itawadhalilisha pia... hakika nyie makafir mnavipamba vitendo vyenu vyema mkijua wengine wote ni wabaya na mnahhukumu kabla ya mola wenu kwa kumwambia al muumin kwamba ni mchafu je, mlioleta udini hapa na kuhisi wachaafu wenzenu take your record Siku tatu zilizopita umemuasi kiasi gani huyo unaemuita mungu wako iwe allah au yesu au hata jiwe imaniyako na Balaa Zako Je Umeasi na Umeiasi Kiasi Gani Siku 3 Zilizopita! Sisi Sote Ni Wa Mola Na Kwake Tutarejea Na Hakika Kikweli \siku zote hushambulia hata kizuri pia ili kiharibiwe lakini mwenyezi mungu anasema waache wafanye watakayo lakini marejeo ni kwa mola wao mlezi tu..... na kwa yakini haata huyo mungu wenu mnaemuita yesu sidhani kama Alisha wahi kumwambia kiumbe yoyote kwamba mungu wako ni mjinga na kigeugeu... je umeyatoa wapi haya Basi kumbe hata afanyae mambo ambayo yesu hakuyafanya ni mpinga dini yake mwenyewe pia.... na je yesu alipokuwa anawaambia watu kuhusiana na dini yake au waliopotea alikuwa anawakemea na kuwafukuza au anawapa neno? kumbe yote makosea yabidi urudie kusoma biblia vema mwanzo hadi mwisho ndio ujiite mfia dini... na kwa nini ukiuliza maswali pointi kama haya unaambiwa una pepo wa maswali?? basi na kwa hakika dini mliopo pia ina mushkel... MwISHO KABISA NISEME: Qulllllllllllllllll sema ewe mjumbe wa mwenyezi mungu akiamrishwa mtume na wafuasi wake... yaa ayuhal kaafiruuun/enyi makafiri kuwaambia wote waliomkataa mwenyezi mungu mmoja tu na kumzushia ana mungu mwingine msaidizi na kupinga kauli zake.. laa aabudu maa taabudun/siamini mnachoamini.... wala antum abiduna maa angbudu/wala nyinyi hamuaamini ninachoamini... wala ana abidun maa abaditum/wala sita abudu mnachoabudu.. wala antum abiduuna maa aabudu/wala nyinyi hamtaabudu ninae abudu//////// lakum diinu kum wal yaadiin/nyinyi mna dini yenu na mimi ninadini yangu... kwa sura hii bakini hivyo hivyo na sisi mtuache hivi hivi enyi maaswi kama ma efreet,ghouls na shaitwaan wa kibinaadamu #Rakims
