Kwa wale wenye "MAJINI" vichwani au pembeni yao

Kwa wale wenye "MAJINI" vichwani au pembeni yao

"Different Is Danger"

Hii ni Power Katika Aina Ya Psychic Powers Nguvu Za Ziada kila mtu alizojaaliwa mtu na mola wake hii humuwezesha mtu yule kufanya mawasiliano na roho yoyote ambayo ni tofauti na binaadamu mfano jini,malaika,wanyama au wadudu....

mtu mwenye power hii huweza kuota mambo mbalimbali ya kiroho zaidi mfano akikuhadithia waweza kujiuliza how is this make sense.. baadhi ya watu wenye power hii huweza kuruhusu pepo kumtoka mtu likaenda zake lakini pia huweza kumfukuza mnyama kwa kumuangalia tu kihisia na akaondoka au akafanya kile mwenye nguvu hii alichowaza

matumizi ya nguvu hizi yanapotumika kufanya mema huitwa muujiza au roho mtakatifu kafanya mambo... mwenyezi mungu alishakupa uwezo huo zamani sana sema kuutumia ukawa hujui mungu anashukuliwa muda wote na kuabudiwa iwe ametenda muujiza au laa! kwa maana alishaumba vyote na kuvipa uwezo wa yote na kujaalia yote na kuweka njia mbili za kupita na binaadamu akampata free wills kuchagua apite wapi lakini hakuishia hapo akaamua kumpa na matokeo ya mwisho wa njia anayopita......

matumizi ya nguvu hizi yanapotumika kufanya uovu huitwa roho chafu au kazi ya shetani hali ya kuwa hakushiki mikono kufanya lile jambo bali ni your own free wills....

sasa mtu anapokuwa na power hii majini humuingia kwa kugombea humo huingia wema na wabaya...

ndio maana kwa wale wenye power hii hutolewa kwanza wachafu na kuachiwa wazuri ili waweze kufanya mema ndio hapa unakuja kuona kwamba wengi wa wakemea mapepo wao pia walishatolewa hii ni kwa wote na kuachiwa waliowema hii ndio wenzetu huita roho takatifu... yaani huisi wametolewa roho chafu na kuachiwa safi
.. hakuna malaika anaemuingia mtu hata siku moja... roho hiyo unayoita wewe takatifu ni jini anaekuwa na wewe katika maombi pamoja ili mola akusaidie kuwezekana lile uliloomba......

wanapokuwepo roho chafu ndio hapa sasa unakutana na wapiga ramli waganga wa kienyeji n.k

sasa lengo la uzi huu ni kutaka kuwasaidia wenye power hii ya mediumship kujitambua na kuitumia vema kaa mbalii wewe usiejua maana hutapata maana....

#Rakims
 
kutii amri ya jinni ni shirki.

Lakini si inategemea kama anachokuamrisha ni cha haram mkuu je kama anakuamrisha jambo ambalo ni la halali na unaona wazi kuwa lina manufaa ndani yake shirki inakujaje hapo kiongozi wangu nifumbue macho kiduchu,karibu.
 
ninayo sala ya zeus ya kuondoa hayo matakataka/ naiza kwa laki 1, ni balaa ukiizungumza ukamshika mwenye hayo matakataka lazima atadondoka na yatatimua mbio za ajabu
 
Last edited by a moderator:
Ishmael

Mkuu hayo maandiko yanamaanisha tofauti kabisa na unavyofikiri kiongozi kama unavyoona kuwa imesemwa kama una dharura hapa ina maana gani ;

i ).Mungu amekataza kuua nafsi na ndio mana hiyo AYA inaeleza kuwa kama umepatwa na dharura ikimaanishwa kuwa kama upo sehem ambayo unajua hakuna chakula isipokuwa hivyo vilivyotajwa tu na ukaona nispokula utakufa njaa unaruhusiwa kula lakini sio kula tu eti kwa sababu umetamani na ndio maana AYA ilivyoanza imeanza kwa kukataza then ikasema baada lakini kwa mwenye dharura tu ambapo umeshikwa na njaa ya kufa na hakuna chakula zaidi ya hiko.

Mkuu sjui kwa mafundisho mliyofundishwa nyinyi ila kwa mafundisho ya QUR'AN inahitaji akili ya ziada kuweza kufkiri andiko na sio tu linavyokuja ukalichukua hivyo hivyo HAPANA MKUU na ndio maana kwenye UISLAM mtu unaweza ukamhoji swali SHEIKH akupe ufafanuzi wa jambo mpk pake utakaporidhika sjui labda kwa upande wa dini yenu kama mnalichukua tu ANDIKO kama lilivyo huwa mnafanya hivyo kiongozi...?.

Na pia kama hujaelewa vizuri hiyo AYA waweza tu kuuliza ni wapi hujaelewa nikakuelewesha japo kwa ufaham wangu nilionao pasina matusi kama ni kweli utahitaji kujifunza jambo,KARIBU SANA.
 
Last edited by a moderator:
Hamna jini zuri wewe mwangalie kwanza yaani unadanganya watu hapa wawe wachawi toka zako mfuga majini mkubwa we...nyie ndo mnawatumiaga watu majini yanawatesa watu mitaani bila makosa halafu mnataka muogopwe na watu kisa mnafuga majini...peleka kuzimu elimu yako ya uchawi
 
Hiyo 14, 15 na 17 ni kichekesho. Yaani wajasiriamali wote wana majini? Hiyo ni 14 na je kuwa na msukumo wa kusali ni lazima uwe na majini?
Mungu akuhurumie maana haya maelezo yameandikwa na majini uliyo nayo. Unasifu majini?

Umeona eeh hiki kijamaa kinaongea mambo ya uongo kabisa...huyu ni mfuga majini mzoefu.
 
Uongo mtupu....jini ni shetani na ndio maana likaitwa jini...yaani 'Malaika walioasi pamoja na Lusifa'...so in really sense hakuna shetani mzuri wote ni wabaya..
Utakubali vpi kuongozwa na Maruhani badala ya Mungu?
Na kwa nini yakae ndani yako wakat Mungu alivyomuumba binadam alimuumba kama free soul?
Kwa nini yakutawale wakati binadamu aliambiwa kutawala viumbe vyote?

Mungu awape macho ya Rohoni ili muone....

Wana matatizo makubwa sana hawa na kwa sababu wameyakubali basi ujue yatawatesa sana mpaka wakome.
 
hahhaha group whatsapp nafasi zipo acha hawa wapige tantalila hapa za kilokole hawajui wasemayo
 
Kimsingi mleta mada umeamua kufundisha ushetani kama kitabu cha dini yako kinavyoufundisha (HAUJAKOSEA).

Wanaoamini kitabu unachokitumia kufundisha wanakutetea na wanakuamini ila kwa muujibu wa Biblia "Warumi 8:14 Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu hao ndiyo wana wa Mungu."
Lakini wale wanaoongozwa/wanaoshauriwa na majini sehemu yao ni hii katika Biblia "Waefeso 2:1-3 roho yule atendaye kazi sasa katika wana wa kuasi."

Tena malizia na hili: Waefeso 6:12 Kwa maana kushindana kwetu si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.

Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru" (Luka 10:19).

Wote mnaosubuliwa na majini (yote ni mabaya/mashetani) karibuni kwa Yesu anawapenda kwa yeye peke yake ndiye alisema njoni kwangu niyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo mizito ya dhambi nami nitawapumzisha.
 
Mkuu hayo maandiko yanamaanisha tofauti kabisa na unavyofikiri kiongozi kama unavyoona kuwa imesemwa kama una dharura hapa ina maana gani ;
Kula kwa dharura na kula kwa kawaida kuna tofauti yeyote ile? Hivi chakula unacho kula wakati wa dharura si unatumia mdomo huo huo au kuna sehemu nyingine unalia hicho chakula na haki ingii kwenye tumbo lako?


i ).Mungu amekataza kuua nafsi na ndio mana hiyo AYA inaeleza kuwa kama umepatwa na dharura ikimaanishwa kuwa kama upo sehem ambayo unajua hakuna chakula isipokuwa hivyo vilivyotajwa tu na ukaona nispokula utakufa njaa unaruhusiwa kula lakini sio kula tu eti kwa sababu umetamani na ndio maana AYA ilivyoanza imeanza kwa kukataza then ikasema baada lakini kwa mwenye dharura tu ambapo umeshikwa na njaa ya kufa na hakuna chakula zaidi ya hiko.
TUJIFUNZE LOGIC KIDOGO:
Allah's First Pork Law:
Thou shalt eat not pork:
1. KITO MOTO NI HARAM. Asema Allah

Allah's Second Pork Law:
Thou shalt eat pork in time of trials:
2. KITI MOTO SIO HARAM WAKATI WA DHARURA. Asema Allah.

Hivi mtu mwenye akili unaweza fuata Allah mwenye kigeugeu namna hii?
Why is Allah breaking his own laws?


Mkuu sjui kwa mafundisho mliyofundishwa nyinyi ila kwa mafundisho ya QUR'AN inahitaji akili ya ziada kuweza kufkiri andiko na sio tu linavyokuja ukalichukua hivyo hivyo HAPANA MKUU na ndio maana kwenye UISLAM mtu unaweza ukamhoji swali SHEIKH akupe ufafanuzi wa jambo mpk pake utakaporidhika sjui labda kwa upande wa dini yenu kama mnalichukua tu ANDIKO kama lilivyo huwa mnafanya hivyo kiongozi...?.
Mafundisho yetu sisi yapo wazi kabisa na Mungu wetu hana kigeugeu kama Allah wenu ambaye anapinga uwepo wa Mungu kwa kusema "LA ILAHA ILA ALLAH" Haya ndio matatizo ya ALLAH.
Huwezi sema kuwa hakuna Mungu halafu udai Allah ni Mungu. Something is weird here. Is Allah God? If, your answer is yes, why is then Allah saying THERE IS NO GOD?


Na pia kama hujaelewa vizuri hiyo AYA waweza tu kuuliza ni wapi hujaelewa nikakuelewesha japo kwa ufaham wangu nilionao pasina matusi kama ni kweli utahitaji kujifunza jambo,KARIBU SANA.
Mimi siwezi ielewa hiyo aya ambayo inakataza kula Nguruwe na wakati huohuo inaruhusu kula Nguruwe.
Hivi si Allah anaye sema you should die for him, sasa kivipi kwenye NGURUWE TU anatakaza kufa kwa ajili ya ALLAH. If you can blew yourself for the cause of ALLAH, kwanini wakati wa ULAJI WA NGURUWE ISIWE HIVYO, kuwa I am not going to eat PORK till death take you apart, I will die for Allah?
 
kiukweli kwenye biblia hakuna somo la majini wazuri wala wabaya wote ni mapepo sasa usilazimishe watu

wakuu nendeni google alafu andika [shekh paul hussein] mjionee wenyewe na msikie kwa masikio yenu wenyewe. juu ya uislam.nadhani waislam wengi watampokea YESU kwa ushuhuda wa huyo aliekua shekh kajioneeni wenyewe jamani.
 
hiyo 14, 15 na 17 ni kichekesho. Yaani wajasiriamali wote wana majini? Hiyo ni 14 na je kuwa na msukumo wa kusali ni lazima uwe na majini?
Mungu akuhurumie maana haya maelezo yameandikwa na majini uliyo nayo. Unasifu majini?

mkuu, muangalie shekh paul hussein hapo juu usikie mambo mazito ya hawa jamaa ndio utaelewa kwanini wanasema hata kuswali nimpaka uwe na majini.
 
Kula kwa dharura na kula kwa kawaida kuna tofauti yeyote ile? Hivi chakula unacho kula wakati wa dharura si unatumia mdomo huo huo au kuna sehemu nyingine unalia hicho chakula na haki ingii kwenye tumbo lako?



TUJIFUNZE LOGIC KIDOGO:
Allah's First Pork Law:
Thou shalt eat not pork:
1. KITO MOTO NI HARAM. Asema Allah

Allah's Second Pork Law:
Thou shalt eat pork in time of trials:
2. KITI MOTO SIO HARAM WAKATI WA DHARURA. Asema Allah.

Hivi mtu mwenye akili unaweza fuata Allah mwenye kigeugeu namna hii?
Why is Allah breaking his own laws?



Mafundisho yetu sisi yapo wazi kabisa na Mungu wetu hana kigeugeu kama Allah wenu ambaye anapinga uwepo wa Mungu kwa kusema "LA ILAHA ILA ALLAH" Haya ndio matatizo ya ALLAH.
Huwezi sema kuwa hakuna Mungu halafu udai Allah ni Mungu. Something is weird here. Is Allah God? If, your answer is yes, why is then Allah saying THERE IS NO GOD?



Mimi siwezi ielewa hiyo aya ambayo inakataza kula Nguruwe na wakati huohuo inaruhusu kula Nguruwe.
Hivi si Allah anaye sema you should die for him, sasa kivipi kwenye NGURUWE TU anatakaza kufa kwa ajili ya ALLAH. If you can blew yourself for the cause of ALLAH, kwanini wakati wa ULAJI WA NGURUWE ISIWE HIVYO, kuwa I am not going to eat PORK till death take you apart, I will die for Allah?

Ahsante kwa majibu yako mazuri nilisema mkuu kuwa usitokwe povu kiongozi lakini umeshindwa kusema na hisia zako sasa hisia zako zitasema baada yako kama utashindwa kujijibu hiki ulichouliza hapo umeuliza halaf umejijibu mwenyewe lakini kwa kuwa huwezi juwa kitabu cha mwenzako kabla ya kukijuwa kitabu chako ndo umefeli juu ya hoja ndogo kabisa uliyoitoa isiyo na mashiko.

Nilisema usitoe matusi wala kashfa lakini ukaanza kusema oooooh mnamfataje MUNGU KIGEUGEU haya asante kwa hilo ila kwa kuwa hujui ANDIKO nakusaidia kitu kimoja kuwa BIBLE inasema kabla ya kutoa kibanzi kwenye jicho la mwenzako kwanza toa boriti kwenye jicho lako nikiwa na maana gani;

MUNGU wetu ni kigeugeu kwa nini tunamfata eti kisa umetafsiri QUR'AN ujuavyo wewe ingalikuwa umeeleweshwa lkn bado ukaja na ubishi sasa swala langu ni dogo tu kuwa MBONA KITABU CHENU KIMEBADILISHWA MAANDIKO YAKE NA NDICHO MNACHOKIFATA JE?,MUNGU WENU NA NYINYI PIA NI KIGEUGEU AU UNA MAANA GANI kwa sababu ukikataa baadhi ya maandiko na ukakubali itakuwa MUNGU wenu ana MASHAKA ndo maana mengine kakosea akabadilisha baadhi ya maandiko naomba majibu yaliyo mazuri wangu jitahidi yasiwe kama uliyojibu mwanzo jifunze kuelimika kidogo pindi unapopata elimu,KARIBU SANA.

NB: MFANO MZURI NI HUYO HUYO MNYAMA KWENYE ANDIKO LENU LILIVYO ULIVYOSEMA KUWA NI KIGEUGEU NAOMBA UNIJIBU KWA UZURI TU NDUGU JE HIVI NI KWELI KWA HALI HIYO YA MAANDIKO KUBADILIKA AU KUYATAFSIRI UJUAVYO WEWE UNAWEZA KUMWITA MUNGU KIGEUGEU KWELI?,KARIBU.
 
Ahsante kwa majibu yako mazuri nilisema mkuu kuwa usitokwe povu kiongozi lakini umeshindwa kusema na hisia zako sasa hisia zako zitasema baada yako kama utashindwa kujijibu hiki ulichouliza hapo umeuliza halaf umejijibu mwenyewe lakini kwa kuwa huwezi juwa kitabu cha mwenzako kabla ya kukijuwa kitabu chako ndo umefeli juu ya hoja ndogo kabisa uliyoitoa isiyo na mashiko. Nilisema usitoe matusi wala kashfa lakini ukaanza kusema oooooh mnamfataje MUNGU KIGEUGEU haya asante kwa hilo ila kwa kuwa hujui ANDIKO nakusaidia kitu kimoja kuwa BIBLE inasema kabla ya kutoa kibanzi kwenye jicho la mwenzako kwanza toa boriti kwenye jicho lako nikiwa na maana gani; MUNGU wetu ni kigeugeu kwa nini tunamfata eti kisa umetafsiri QUR'AN ujuavyo wewe ingalikuwa umeeleweshwa lkn bado ukaja na ubishi sasa swala langu ni dogo tu kuwa MBONA KITABU CHENU KIMEBADILISHWA MAANDIKO YAKE NA NDICHO MNACHOKIFATA JE?,MUNGU WENU NA NYINYI PIA NI KIGEUGEU AU UNA MAANA GANI kwa sababu ukikataa baadhi ya maandiko na ukakubali itakuwa MUNGU wenu ana MASHAKA ndo maana mengine kakosea akabadilisha baadhi ya maandiko naomba majibu yaliyo mazuri wangu jitahidi yasiwe kama uliyojibu mwanzo jifunze kuelimika kidogo pindi unapopata elimu,KARIBU SANA. NB: MFANO MZURI NI HUYO HUYO MNYAMA KWENYE ANDIKO LENU LILIVYO ULIVYOSEMA KUWA NI KIGEUGEU NAOMBA UNIJIBU KWA UZURI TU NDUGU JE HIVI NI KWELI KWA HALI HIYO YA MAANDIKO KUBADILIKA AU KUYATAFSIRI UJUAVYO WEWE UNAWEZA KUMWITA MUNGU KIGEUGEU KWELI?,KARIBU.
kumbe na wewe mjinga hivyo.Unaaminishwa kitabu kibedalishwa..kilitoka nini kikawekwa nini?na lini?Na nani alishughudia?Km ilikuwa mwanzo ni neno la Mungu,na Quran inasema Neno la Mungu halifutiki leo hii mbona mnaikana na kudai Injili imebadilishwa?Hii logic inawatosha nyie tuu mliochagua njia potofu by default
 
Ahsante kwa majibu yako mazuri nilisema mkuu kuwa usitokwe povu kiongozi lakini umeshindwa kusema na hisia zako sasa hisia zako zitasema baada yako kama utashindwa kujijibu hiki ulichouliza hapo umeuliza halaf umejijibu mwenyewe lakini kwa kuwa huwezi juwa kitabu cha mwenzako kabla ya kukijuwa kitabu chako ndo umefeli juu ya hoja ndogo kabisa uliyoitoa isiyo na mashiko.
Nimeamua kukupa jibu maana wewe umeogopa kutoa jibu na ukabakia kunitukana na kuniita majina ya ajabuajabu. Hivi kukiwa na Sheria ya kuto kula Nguruwe, kwanini iwepo na sheria nyingine ya kula Nguruwe. Hicho ndicho alicho fanya mungu wako.
Allah kasema don't eat port, it is haram. Baada ya massa kupita, Allah kageuza mawazo na kasema kula Nguruwe. Sasa lipi tufuate? Kula Nguruwe au kuto kula Nguruwe?


Nilisema usitoe matusi wala kashfa lakini ukaanza kusema oooooh mnamfataje MUNGU KIGEUGEU haya asante kwa hilo ila kwa kuwa hujui ANDIKO nakusaidia kitu kimoja kuwa BIBLE inasema kabla ya kutoa kibanzi kwenye jicho la mwenzako kwanza toa boriti kwenye jicho lako nikiwa na maana gani;
Kigeugeu hiyo ni sifa ya kiumbe chechote kile kisicho fahamu nini kinataka. Kama kula Nguruwe ni haram, basi hakuna jinsia, bali kubakia hivyo hivyo. Lakini, Allah kawaonea huruma na kuwaruhusu nyie wafanyakazi wake Kula Nguruwe. Sasa huo si Msiba na kizungumkutu?


MUNGU wetu ni kigeugeu kwa nini tunamfata eti kisa umetafsiri QUR'AN ujuavyo wewe ingalikuwa umeeleweshwa lkn bado ukaja na ubishi sasa swala langu ni dogo tu kuwa MBONA KITABU CHENU KIMEBADILISHWA MAANDIKO YAKE NA NDICHO MNACHOKIFATA JE?,MUNGU WENU NA NYINYI PIA NI KIGEUGEU AU UNA MAANA GANI kwa sababu ukikataa baadhi ya maandiko na ukakubali itakuwa MUNGU wenu ana MASHAKA ndo maana mengine kakosea akabadilisha baadhi ya maandiko naomba majibu yaliyo mazuri wangu jitahidi yasiwe kama uliyojibu mwanzo jifunze kuelimika kidogo pindi unapopata elimu,KARIBU SANA.
Hebu soma hii sahih hadith:
Sahihi Muslim 3753:'' Sisi tulikuwa pamoja na Mtume wa Allah, na Yeye Mtume wa Allah alikuwa na kiu na mtu mmoja akasema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, Je, unataka kunywa mvinyo? Mtume Muhammad akasema: Ndio. Basiyule Mtu alikwenda kuleta mvinyo. Mtume wa Allah akamwambia: LeteMvinyo ulio mkali ili ninywe; Basi Mtume wa Allah alipo kunywa uleMvinyo Mkali alilewa"
Unaona jinsi unavyo kuwa kwenye hali mbaya kila kukicha. Yaani wewe ni kujitetea tu. Pole sana kijana wa Muhammad.

IN RED: Biblia haijabarisha kitu chechote kile. Nyie ndio mnatunga Biblia zenu siku hizi ili kuwadanganya watu.

NB: MFANO MZURI NI HUYO HUYO MNYAMA KWENYE ANDIKO LENU LILIVYO ULIVYOSEMA KUWA NI KIGEUGEU NAOMBA UNIJIBU KWA UZURI TU NDUGU JE HIVI NI KWELI KWA HALI HIYO YA MAANDIKO KUBADILIKA AU KUYATAFSIRI UJUAVYO WEWE UNAWEZA KUMWITA MUNGU KIGEUGEU KWELI?,KARIBU.

QURAN SUURAT AN NAH'L (16:116).
Wala msiseme uwongo, kwa kuropokwa nandimi zenu: Hichi halali, na hichi haramu - mkimzulia uwongo MwenyeziMungu. Hakika wanao mzulia uwongo Mwenyezi Mungu hawatafanikiwa.


ALLAH KASEMA UKISEMA HIKI SI HALAL(HARAM) Kumbe huko ni kumzulia Mwenyezi Mungu UONGO.
 
kula nguruwe wakati unakaribia kufa ni kuitukuza nguruwe kuwa mwokozi wako.Wengine Last call yao ni Mungu wao na si Nguruwe.Sijui hi mikitu akili zao imejazwa nini?Au ndio ile akili kuwa glass ya wine duniani ni haramu ila mito huto ahera kwao ni sahihi.Hizi akili za gansters hazikosi kujenga fikra za ganster paradise
 
Back
Top Bottom