Kwa wale wenye "MAJINI" vichwani au pembeni yao

Kwa wale wenye "MAJINI" vichwani au pembeni yao

kiukweli kwenye biblia hakuna somo la majini wazuri wala wabaya wote ni mapepo sasa usilazimishe watu

na katika biblia baada ya Mungu kuiumba dunia kulikuwa hamna chochote chenye mfano wa binadam ndipo akaiona dunia imekuwa ukiwa akaamua amuumbe Adam avitawale viumbe na vitu vyote vilivyopo na malaika wazur wanaishi mbingun ila wabaya wanazurura dunian kutafuta washirik wa ule moto siku ya mwisho
 
Karibu TICHA tupo pamoja unajua watu niwagumu sana kuelewa mpaka wa pate mitihani. Je kwa wa kristo mliopo kwenye jukwaa hili roho mtakatifu ni nani naomba majibu then nitaeleza uelewa wangu.
 
Hiyo 14, 15 na 17 ni kichekesho. Yaani wajasiriamali wote wana majini? Hiyo ni 14 na je kuwa na msukumo wa kusali ni lazima uwe na majini?
Mungu akuhurumie maana haya maelezo yameandikwa na majini uliyo nayo. Unasifu majini?
 
Kwani nani anatoa ruhusa ya kula kitu?
Hivi kuendesha gari kumeruhusiwa na nani?

Acha kubabaisha. ruhusa ya kuendesha gari inapatikana hata ktk katiba ya jamuhuri ya muungano wa TZ ya mwaka 1984. na hata dini hazijakataza kuendesha gari.

kama unajibu ni wapi umepata ruhusa ya kula kitimoto wewe niambie ili nami niijue, kama hujui kitu poteaaaaaa! usijaze sava hapa. na naamini wote walao kitimoto kwa tiketi ya ukiristo ni fool.s maana hakuna hiyo ruhusa. na kama ipo naihitaji.
 
na katika biblia baada ya Mungu kuiumba dunia kulikuwa hamna chochote chenye mfano wa binadam ndipo akaiona dunia imekuwa ukiwa akaamua amuumbe Adam avitawale viumbe na vitu vyote vilivyopo na malaika wazur wanaishi mbingun ila wabaya wanazurura dunian kutafuta washirik wa ule moto siku ya mwisho

Kulikuwa na viumbe hata kabla ya Adam na Hawa kuumbwa.
 
Mkuu Rakims nna maswali mengi ya kuuliza kwa kuzingatia topic hapo. naamini una majibu yakutosha but ili tuende vizuri ningependa nikuulize moja ujibu moja then tuendelee.

SWALI LA KWANZA.

Umesema kuna majini aina mbili, 1 majini wema/wazuri na hapo umesema maruhani ndio wazuri na waliobaki ndio jini wabaya.

Je, hao majini wabaya (ambao sio maruhani) wanataka nini hasa kwa watu? maana kuna friend wangu anao wanne na wote wanamlinda but walimtaka rafiki awe anafanya dawa (uganga) ila kutokana na wazazi wa rafiki walikataa hilo na hatimaye walimtaka rafiki aoe na amesha oa. jee unafikiri ni nini kitafuata? do you think kwa vile walimtaka aowe na amesha owa ndio itaishia hapo?

kutii amri ya jinni ni shirki.
 

vile wanaruka na kwenda wanakotaka au kupita wanakotaka bila kutumia chombo chochote.
Taifa la Majini limegawanyika katika makabila Milioni Sabini na mbili (72,000,000) na wana uwezo wa kujifunza lugha yeyote wanaoitaka.

Idadi ya Majini ni kila Binadamu mmoja kuna Majini 300 na wanaishi katika Majumba yetu, kwenye Miti, Majangwani, Kwenye Mapango na Sehemu zenye Misitu Mikubwa.

#Rakims
Kwahiyo, alipo kuwa Adam peke yake hapa duniani, idadi ya Majini ilikuwa mia tatu [300]!! Hivi kwanini huwa unapenda ku mislead watu?

Sasa hao Majini 300 walio kuwepo wakati wa Adam waliwezaje kugawanyika katika makabila Milioni 72? Hakika uongo unapozidi, unashindwa hata kufanya hesabu za Chekechea.

cc Eiyer Mkuu wa chuo 2013 Lisa Valentine
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Rakims nna maswali mengi ya kuuliza kwa kuzingatia topic hapo. naamini una majibu yakutosha but ili tuende vizuri ningependa nikuulize moja ujibu moja then tuendelee.

SWALI LA KWANZA.

Umesema kuna majini aina mbili, 1 majini wema/wazuri na hapo umesema maruhani ndio wazuri na waliobaki ndio jini wabaya.

kwa uelewa wangu maruhani ni majini waislamu. jee jini wote wanaowaingia wakiristo ni majini wabaya?

na jee hao majini wabaya (ambao sio maruhani) wanataka nini hasa kwa watu? maana kuna friend wangu anao wanne na wote wanamlinda but walimtaka rafiki awe anafanya dawa (uganga) ila kutokana na wazazi wa rafiki walikataa hilo na hatimaye walimtaka rafiki aoe na amesha oa. jee unafikiri ni nini kitafuata? do you think kwa vile walimtaka aowe na amesha owa ndio itaishia hapo?

Majini wote ni Wabaya na ni Maislam na ni Machafu na YOOTE yanamswalia Muhammad mtume wao. Hakika Jahannam ipo kwa ajili yenu mnao fuga majini.

 
Last edited by a moderator:
Alafu uniambie ruhusa ya kula kitimoto umeipata wapi!!!!



Ruhusa ya kula mbuzi katoliki umeitowa wapi?
Pata elimu ya bure hapa:

WAISLAM WAMERUHUSIWA KULA MIZOGA NA DAMU NA NYAMA YA NGURUWE
====================================================
Surah Al Baqara 173.Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi kula Mzoga na damu na nyama ya Nguruwe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
 
Uongo mtupu....jini ni shetani na ndio maana likaitwa jini...yaani 'Malaika walioasi pamoja na Lusifa'...so in really sense hakuna shetani mzuri wote ni wabaya..
Utakubali vpi kuongozwa na Maruhani badala ya Mungu?
Na kwa nini yakae ndani yako wakat Mungu alivyomuumba binadam alimuumba kama free soul?
Kwa nini yakutawale wakati binadamu aliambiwa kutawala viumbe vyote?

Mungu awape macho ya Rohoni ili muone....
 
Uongo mtupu....jini ni shetani na ndio maana likaitwa jini...yaani 'Malaika walioasi pamoja na Lusifa'...so in really sense hakuna shetani mzuri wote ni wabaya..
Utakubali vpi kuongozwa na Maruhani badala ya Mungu?
Na kwa nini yakae ndani yako wakat Mungu alivyomuumba binadam alimuumba kama free soul?
Kwa nini yakutawale wakati binadamu aliambiwa kutawala viumbe vyote?

Mungu awape macho ya Rohoni ili muone....

mkuu kumbe hujui hata maana ya Jinn?
 
Nimesema hii ni maalumu kwa wahanga wa hivyo vitu we huna mwili wako basi kaa mbali.. halafu wengi wakikuskia una hivi vitu wanakushambulia sana, karibuni p.m tujue somo letu linaenda vipi kwa wale wanaohisi wanavyo na vinawasumbua au vimekaa tu havieleweki.

kama unapinga sema hivi; mm hapo sijaelewa kuhusu hili na hili lakini pia kuna hiki na hiki halafu ninaswali hili na hili...

#Rakims
 
Back
Top Bottom