Kwa wale wenye "MAJINI" vichwani au pembeni yao

Kwa wale wenye "MAJINI" vichwani au pembeni yao

Pata elimu ya bure hapa:

WAISLAM WAMERUHUSIWA KULA MIZOGA NA DAMU NA NYAMA YA NGURUWE
====================================================
Surah Al Baqara 173.Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi kula Mzoga na damu na nyama ya Nguruwe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.

We jamaa punga kweli, kichwa zeroooo.... Umeambiwa ukifikwa na DHARURA, mbona mwanzo wa aya hujaweka bold? Mpu.mba.vu sana mtoto wa kijakazi wewe, naamini unachukia kuitwa Ishmael, unatamani ungeitwa Is-haq.... Yaani ubongo wako ovyooo....
 
We jamaa punga kweli, kichwa zeroooo.... Umeambiwa ukifikwa na DHARURA, mbona mwanzo wa aya hujaweka bold? Mpu.mba.vu sana mtoto wa kijakazi wewe, naamini unachukia kuitwa Ishmael, unatamani ungeitwa Is-haq.... Yaani ubongo wako ovyooo....
Acha ujinga weye. Kula ni kula tu. Kwani wakati wa dharurah hiyo Nyama Ya Nguruwe inaingia wapi kama sio kwenye Tumbo lako wewe Quafir?
 
Toa vielelezo kama unaijua Suratil Baqra hakuna ulazima wa kuchangia mada kwa kukejel dini Mungu akusamehe.

Huyo kiumbe anajiita Ishmael nimemkalia kimya maana an a comment akiwa amekata center.

"Rakims"
 
Kuna ukweli juu ya hiliii…? Au wanakuzushia tu

alieanzisha uzi anaona ni kweli... lakini yeye hata whatsapp hakukanyaga na wanaomfata wanaona ni kweli lakini wanaojua ukweli ni waliokuwepo group ya kwanza watu 30 kina lameck,brown,latifa na wengineo!! na group la pili: kina anna,mshinyanga,barah na wengineo.... hii group ya tatu bado sijafunza kitu ndio tupo introduction watu wanafumka na kusema tapeli? hii ni elimu inahitaji muda Huwezi Kufundishwa O Level Hadi A level Kwa Mwezi Mmoja... Pole Kwao Waliotoka.... kwa kusadiki ya uongo... kama unawafahamu hao jamaa juu uliza wakufahamishe...

"Rakims"
 
Rakims haya nakushauri, fuata ule uzi au anzisha uzi. Safisha jina lako, jibu maswali yao kwa hoja kama kweli haya usemayo ni kweli. Watu wapate kusadiki
 
Last edited by a moderator:
haya nakushauri, fuata ule uzi au anzisha uzi. Safisha jina lako, jibu maswali yao kwa hoja kama kweli haya usemayo ni kweli. Watu wapate kusadiki

kazi kweli kweli...
 
alieanzisha uzi anaona ni kweli... lakini yeye hata whatsapp hakukanyaga na wanaomfata wanaona ni kweli lakini wanaojua ukweli ni waliokuwepo group ya kwanza watu 30 kina lameck,brown,latifa na wengineo!! na group la pili: kina anna,mshinyanga,barah na wengineo.... hii group ya tatu bado sijafunza kitu ndio tupo introduction watu wanafumka na kusema tapeli? hii ni elimu inahitaji muda Huwezi Kufundishwa O Level Hadi A level Kwa Mwezi Mmoja... Pole Kwao Waliotoka.... kwa kusadiki ya uongo... kama unawafahamu hao jamaa juu uliza wakufahamishe...

"Rakims"

Kwa hiyo unataka kusema kuwa wewe sio tapeli? Haha kazi kweli kweli, alafu kumbe we jamaa ndio muongo hivi? Kikubwa rudisha hela zetu full stop, ulikuwa mpaka unatufata inbox na ukichomolewa unamtoa mtu na sisi uliofanikiwa kutupiga hela zetu cha moto tulikiona aisee.
 
kazi kweli kweli...

Sio kazi kweli kweli, jamaa amekupa ushauri mzuri tu kuwa kama kwny ule uzi kule yale tuliyoyasema ni uongo basi njoo na upinge moja bda ya jingine, mwizi tu wewe bwana huna lolote unajaribu kujikosha tu ila kimsingi huna lolote nae wale wale tu.
 
Sio kazi kweli kweli, jamaa amekupa ushauri mzuri tu kuwa kama kwny ule uzi kule yale tuliyoyasema ni uongo basi njoo na upinge moja bda ya jingine, mwizi tu wewe bwana huna lolote unajaribu kujikosha tu ila kimsingi huna lolote nae wale wale tu.

we sema tuu ukichoka utakaa kimya....

"Rakims"
 
Back
Top Bottom