Kwa wale wenye "MAJINI" vichwani au pembeni yao

Vema sana kama unamtegemea mungu lakini bado hujawajua vema majini endelea na utabib
 
[emoji2] Mbona yule uliyesema anakuja jana sijamwona, nilimsubiri kwa hamu
Hata kama umemuona huwezi kusema mradi umeanza kwa kupinga huta jua ulifanyalo huyu huja kila siku kukusalimia na hukupa maelekezo fulani fulani lakini vile unamasihiri yako mwilini siku zingine hukumbuki hata ndoto unazoota, taja jina lako na la mama nikwambie tu kwa msaada vitu ulivyo navyo,
 
Haya unakomalia ubishi, haya litaje lina la mama yangu
 
Umeweza jua hayo ambayo hayajanipata si bure walijua pia, nitajie basi. Si uniulize mimi,
 
 
Mzee ni add kweny hilo group namba zang hizo 0768174787
 
Nime yatafuta sana tangu 2001 nikapata shetani sio maruhani kwa sababu ilikua nikiomba kitu yana hitaji ujira japo nikidogo nikawa na vumilia nilikuja kuchoka yalipo omba dam ya njiwa
 
Nime yatafuta sana tangu 2001 nikapata shetani sio maruhani kwa sababu ilikua nikiomba kitu yana hitaji ujira japo nikidogo nikawa na vumilia nilikuja kuchoka yalipo omba dam ya njiwa
Mkuu ruhan ukimwambia kitu anafanya kisha anaondoka zake ila pale anapoanza kukwambia nichinjie jua sio ruhani ni shetani, na wengi wana mashetani hawana ruhani wanashindwa kutofautisha maana, ruhani huyo huyo ndio wakristo huita roho takatifu

Rakims

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majini wazuri?! Hamna jini mzuri katika ukristo labda uislamu, katika ukristo, mungu kaumba malaika, hao majini walihasi
kwa hhiyo majini waliumbwa na nani? au walijiumba wenyewe naomba unieleweshe mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…