Kwa wale wenye "MAJINI" vichwani au pembeni yao

Kwa wale wenye "MAJINI" vichwani au pembeni yao

Unasema nini kuhusu nabii Suleiman?
Unalipi kuhusu hadithi ya mtume aliposema nyie wote mnaqareen kasoro wangu kasilimu?

Rakims
Nakujibu kwa urahisi kwa jinsi nitakavyojaliwa inshaallah ipo hivi.

Kwanza jua yule ni mtume wa mwenyezi mungu na kila mtume alikuja na maajabu yake nabii suleiman alipewa maajabu ya kuamrisha upepo na ukamtii lakini pia aliomba dua kwa mwenyezi mungu aweze kupatiwa ufalme ambao hatoupata yeyote baada yake .

Naye Allah( subhanna huwata'allah) akampatia milki zote za dunia ikiwemo majini ,wanyama ,wadudu na viumbe vyote vikamtii nabii suleiman hii tunaipata kwenye surat naml (27:17).

Kama tunavyoona hapo ni mwenyezi mungu ndiyo alimpatia uweza huo nabii suleiman (A.S) .

Ni sawa na nabii muhammad (swalallah aleih wa salam) alikuwa na wake 11 ila sisi tumeruhusiwa kuoa 4 na ukiowa zaidi ya hapo (bila kutokea dharura mfano mke kufa n.k) basi utakuwa ni mwenye dhambi.

N.b
Usijifananishe na mitume mkuu .
 
Bado nazidi kuona madhaifu yako ya uelewa kwa kila quote unayofanya.

Unahisi majini wana dunia yai ambayo wewe huioni na wewe una ya kwako? Tofauti na wao?

Rakims
Haujanielewa labda nikuelekeze kiurahisi hakuna sehemu nimesema wana dunia yao kama ipo nionyeshe .

Majini wanaishi hapa hapa duniani kama sisi tunavyoishi ila wana exist kwenye ulimwengu wao au ( Different plane of existance) ambayo sisi hatuwezi kuwaona ila wao wana uwezo wa kutuona vizuri ndiyo maana yangu haswa na sio kwamba wana dunia yao ambayo ni tofauti na sisi .
 
Hapa pia ninaweza kuona ufinyu wako wa idea vile vile maana nahisi hata ghaibu na uwezekano hujui kutofautisha nyota zinazungumzia uwezekano, wakati ghaibu inazungumzia yajayo sasa hii kama ni quote ya kuthibitisha mimi mshirikina kama unavyodai bado mkuu leta nyingine

Rakims
Uwezekano = probability na propability ni kukadiria kile kitakachotokea mbeleni na ghaibu ni mambo yajayo hivyo unaona kwamba kukadiria kile chenye uwezekano wa kutokea mbeleni ni kazi yako wewe binadamu pamoja na masheitani ambayo yanakusaidia?

Kuna hadithi nyingi tu zinakataza kusoma nyota hizo nazo hauzioni?

Hadithi mojawapo hii hapa

Amehadithia ‘Abdullaah bin ‘Abaas (Radhwiya Allaahu 'anhumaa) kwamba Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Atakayejichumia tawi katika ujuzi wa unajimu, atakuwa amejichumia tawi katika sihri, na itaendelea kuzidi na kuzidi.” [Abuu Daawuwd kwa Isnaad Swahiyh]
 
Habari,
Pole kwa kuchelewa kukujibu unachotakiwa kuelewa ni kuwa sio kila unachoambiwa ni kweli hivyo kama umeambiwa na mtu hayo mambo jaribu kusoma katika vitabu sahihi hakuna kitabu kimezuia kuchangamana na majini ni akili tu za kuambiwa na kuchanganya na zako hoja ya kwanza ya shirki hujaimaliza unaruka ruka tu.

Niongeshe kitabu kilichosema hakuna kuchangamana na majini takuonyesha kilichohhusu kuchangamana nao


Rakims
Mkuu umesoma kweli qur-an ? Maana naona hata surat jinni haujaielewa? Maaana naona unajibu bila hoja yaani unajiandikia tu.

Mwenyezi mungu alishawatambua watu kama ninyi mnaotafuta hifadhi kwa wanaume wa kijini badala yake na matokeo yake ni majini wakazidi kuwazidishia madhambi hili tunaona kwenye qur-an surat jinni (72:6) inayosema.

"Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi."

Na Allah anajua zaidi.
 
Nakujibu kwa urahisi kwa jinsi nitakavyojaliwa inshaallah ipo hivi.

Kwanza jua yule ni mtume wa mwenyezi mungu na kila mtume alikuja na maajabu yake nabii suleiman alipewa maajabu ya kuamrisha upepo na ukamtii lakini pia aliomba dua kwa mwenyezi mungu aweze kupatiwa ufalme ambao hatoupata yeyote baada yake .

Naye Allah( subhanna huwata'allah) akampatia milki zote za dunia ikiwemo majini ,wanyama ,wadudu na viumbe vyote vikamtii nabii suleiman hii tunaipata kwenye surat naml (27:17).

Kama tunavyoona hapo ni mwenyezi mungu ndiyo alimpatia uweza huo nabii suleiman (A.S) .

Ni sawa na nabii muhammad (swalallah aleih wa salam) alikuwa na wake 11 ila sisi tumeruhusiwa kuoa 4 na ukiowa zaidi ya hapo (bila kutokea dharura mfano mke kufa n.k) basi utakuwa ni mwenye dhambi.

N.b
Usijifananishe na mitume mkuu .
Asante kwa ukumbusho mkuu na upo sahihi hapo sina cha kukupinga isipokuwa nikurejeshe kwenye mada yangu uelewe nilikuwa nazungumzia nini.

Rakims
 
Haujanielewa labda nikuelekeze kiurahisi hakuna sehemu nimesema wana dunia yao kama ipo nionyeshe .

Majini wanaishi hapa hapa duniani kama sisi tunavyoishi ila wana exist kwenye ulimwengu wao au ( Different plane of existance) ambayo sisi hatuwezi kuwaona ila wao wana uwezo wa kutuona vizuri ndiyo maana yangu haswa na sio kwamba wana dunia yao ambayo ni tofauti na sisi .
Ukisema dimension unakuwa sahihi kidogo anyway,
Kwenye wao kutuona na sisi kutokuwaona inarudi kwenye elimu ila wenye elimu ya kuwaona wanaweza kuwaona na kuwatumia vile vile.

Ukisema ni Nabii Suleiman pekee ambaye alipewa uwezo wa kuwaona na kuwatumia majini basi yawezekana hakijakulitia kisa cha Enos aliyefanya vita nao au hujasoma vizuri kisa cha Asif bin Barkhiya ambaye alikuwa ni moja kati ya Vizier wanne wa Suleiman mkuu.

Elimu ni bahari na Mwenyezi Mungu anampa amtakae na anamnyima amtakae,

Usisahau pia kisa cha Mussa pale alipomuuliza Mwenyezi Mungu kama kuna mtu katika utume wake amejaliwa kumzidi

Rakims
 
Mkuu umesoma kweli qur-an ? Maana naona hata surat jinni haujaielewa? Maaana naona unajibu bila hoja yaani unajiandikia tu.

Mwenyezi mungu alishawatambua watu kama ninyi mnaotafuta hifadhi kwa wanaume wa kijini badala yake na matokeo yake ni majini wakazidi kuwazidishia madhambi hili tunaona kwenye qur-an surat jinni (72:6) inayosema.

"Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi."

Na Allah anajua zaidi.
Hadi hapa mjadala unaoendelea mimi na wewe nikuombe tu usome surah al kafiroon itamaliza mjadala wetu maana sina cha kukufundisha wala sina cha kukueleza unahisi unaelimu imejitosheleza na msafi katika kupinga hoja zangu huku ukikumbuka mambo uliyoyafanya nyuma siku 3 zilizopita nafsi yako inakwambia acha UNAFIKI

Rakims
 
Ukisema dimension unakuwa sahihi kidogo anyway,
Kwenye wao kutuona na sisi kutokuwaona inarudi kwenye elimu ila wenye elimu ya kuwaona wanaweza kuwaona na kuwatumia vile vile.

Ukisema ni Nabii Suleiman pekee ambaye alipewa uwezo wa kuwaona na kuwatumia majini basi yawezekana hakijakulitia kisa cha Enos aliyefanya vita nao au hujasoma vizuri kisa cha Asif bin Barkhiya ambaye alikuwa ni moja kati ya Vizier wanne wa Suleiman mkuu.

Elimu ni bahari na Mwenyezi Mungu anampa amtakae na anamnyima amtakae,

Usisahau pia kisa cha Mussa pale alipomuuliza Mwenyezi Mungu kama kuna mtu katika utume wake amejaliwa kumzidi

Rakims
Hakuna sehemu nimesema nabii suleiman (Alleihi salam) kwamba ndiyo ana uwezo peke wa kuwaona kama ipo nionyeshe.

Na jua kuwa hao watu waliokuwa na elimu zaidi ya mitume waliletwa kama mtihani angalia nabii musa na nabii suleiman walipimwa ili mwenyezi mungu aone je watashukuru au watakufuru.

Mkuu wewe si mtume wala si nabii wala si mtu aliyepewa ilmu na mwenyezi mungu maana dini imekamilika hii (uislamu) na hamna mtume wala nabii baada ya muhammad (swalallah alleyhi salam) .

Wewe unachofanya ni kutetea upande wako kwa maana ilmu ambayo unaitumia kumiliki hao majini ni ilmu ambayo ina kufru ndani yake tumeshaonywa kwenye sura al-jinni .

Majini wa baharini, angani, maporini ,kwenye mapango n.k wanatakiwa wabaki huko huko maana wao wamepewa quran kama muongozo wao na sheria zao moja ikiwa kutokuingiliana na binadamu .

Jinni atakayeingiliana na maisha ya binadamu basi anaangukia kuwa shaitwani na mwisho wake ni jehannam bi idhini llah.

Na allah anajua zaidi.
 
Hadi hapa mjadala unaoendelea mimi na wewe nikuombe tu usome surah al kafiroon itamaliza mjadala wetu maana sina cha kukufundisha wala sina cha kukueleza unahisi unaelimu imejitosheleza na msafi katika kupinga hoja zangu huku ukikumbuka mambo uliyoyafanya nyuma siku 3 zilizopita nafsi yako inakwambia acha UNAFIKI

Rakims
Hauna uhakika kipi ninefanya siku tatu nyuma na siwezi kukwambia ila kwenye ukweli lazima tuambiane mkuu hauwezi kutangaza shirki hadharani na kuisifia kama ni kitu kizuri ,ama kweli ni moja ya dalili za kiama "vitu vya haramu vinapewa majina mazuri mazuri".

Nikuukize swali moja " siku za mwezi wa ramadhani huwa unaweza kuyaita hayo majini yako?"
 
Hadi hapa mjadala unaoendelea mimi na wewe nikuombe tu usome surah al kafiroon itamaliza mjadala wetu maana sina cha kukufundisha wala sina cha kukueleza unahisi unaelimu imejitosheleza na msafi katika kupinga hoja zangu huku ukikumbuka mambo uliyoyafanya nyuma siku 3 zilizopita nafsi yako inakwambia acha UNAFIKI

Rakims
Afu mi sio mnafiki maana nimekukumbusha uachane na mashetwani hayo mrudie Allah na kumtegemea yeye pekee
 
Hakuna sehemu nimesema nabii suleiman (Alleihi salam) kwamba ndiyo ana uwezo peke wa kuwaona kama ipo nionyeshe.

Na jua kuwa hao watu waliokuwa na elimu zaidi ya mitume waliletwa kama mtihani angalia nabii musa na nabii suleiman walipimwa ili mwenyezi mungu aone je watashukuru au watakufuru.

Mkuu wewe si mtume wala si nabii wala si mtu aliyepewa ilmu na mwenyezi mungu maana dini imekamilika hii (uislamu) na hamna mtume wala nabii baada ya muhammad (swalallah alleyhi salam) .

Wewe unachofanya ni kutetea upande wako kwa maana ilmu ambayo unaitumia kumiliki hao majini ni ilmu ambayo ina kufru ndani yake tumeshaonywa kwenye sura al-jinni .

Majini wa baharini, angani, maporini ,kwenye mapango n.k wanatakiwa wabaki huko huko maana wao wamepewa quran kama muongozo wao na sheria zao moja ikiwa kutokuingiliana na binadamu .

Jinni atakayeingiliana na maisha ya binadamu basi anaangukia kuwa shaitwani na mwisho wake ni jehannam bi idhini llah.

Na allah anajua zaidi.
Nikushauri tu elimu ni pana sana na ukihisi kile ulichojifunza wewe kimetosha still bado you have a lot to learn sometimes mtu anaweza kuona napuuza hoja zako lakini kumuelewesha mjinga ni kazi ya walimu wa shule nao vile vile walishashindwa na kuwaacha na ujinga wao sasa ili nisiendelee kukuita mjinga embu soma tena vizuri pale ulipoishia huwezi kuwa na busara kwa kusoma kitabu kimoja au viwili soma zaidi.
Maana hata mtume wako aliambiwa kauli ya kwanza ni kusoma lakini kwa jina la mola wake.
Sasa wewe unapohisi ninafuga majini au ninatumia majini akili yako bado ni changa sana mimi ninafuga elimu na ninatumia elimu ndio maana tangu mwanzo naona ujinga na madhaifu yako ambayo yananipelekea kukupa ushindi maana nikiendelea kubishana na wewe hata topic yenyewe ulioanzisha inapotea na kuja vita vya kidini hapa.

Rakims
 
Hauna uhakika kipi ninefanya siku tatu nyuma na siwezi kukwambia ila kwenye ukweli lazima tuambiane mkuu hauwezi kutangaza shirki hadharani na kuisifia kama ni kitu kizuri ,ama kweli ni moja ya dalili za kiama "vitu vya haramu vinapewa majina mazuri mazuri".

Nikuukize swali moja " siku za mwezi wa ramadhani huwa unaweza kuyaita hayo majini yako?"
Bado sana mkuu huna hoja. Unanikumbusha mzinzi mmoja alikuwa anawaambia wenzie ni dhambi kutongoza mwanamke hali ya kuwa yeye anawazini kwa kutumia nyuso mbili kama hapa unavyochacharika kuniambia nafanya shirki kwa username ya tungo.
wakati huo huo una uchafu unaoufanya nyuma ya pazia ni mekushauri kusoma hivyo SOMA!
wachawi wa kiganga peke yake ndio hufunga vikoba mwezi mtukufu wa ramadhani na hivyo hivyo wapumbavu hufanya ibada na kujipinda zaidi mwezi wa ramadhani na baada ya hapo hurudi katika maasi yao kwa swali lako hili tu linaonyesha unaunafiki hata wa imani kwa maana yawezekana ni mmoja kati ya watu wanaoabudu mwezi bila kujua.

Ingekuwa kiumbe ninachotumia ni shetani basi mwezi huu mimi na wewe na waislamu wengine tunaamini kuwa shetani yupo kifungoni lakini kwa sisi watu wa maarifa mkuu Mwenyezi Mungu yupo kila siku na kila saa na thamani yake haishuki hata sekunde moja na ukubwa wake na kumtii hatuoni kama ni sehemu specific peke yake kama ndani ya ramadhan kipindi cha eid au sala za ijumaa pekee sisi Mwenyezi Mungu yupo pia katika kila inch ya sekunde na anaona na anafanya anayoyataka na tunamuhofia kila siku,sekunde na saa.

Bila kwenda mbali na swali lako la kwamba "siku za ramadhani huwa unaweza kuyaita hayo majini yako?

JIBU NI KWAMBA:
Majini sio yangu ni viumbe vilivyoumbwa na yule aliyekuumba wewe navyo vina machaguo huru ya kuamini na kutoamini navyo popote ulipo katika mazingira yako vipo chooni chumbani sitting room mpirani na kila kona ya ulimwengu wapo nao wapo kanisani(roho safi/chafu) wapo misikitini(Maruhani/majini) wapo katika temple (budhas spirits) wapo kwenye majengo ya mashetani na kila sehemu ambazo wamepewa uwezo wa kufika.
Wapo ndani ya mwezi mtukufu wa ramadhani(kasoro shetani mpotoshaji na wafuasi wake)

sasa labda kama umenithibitisha ninachotumia ni shetani/mashetani kama wale unaoenda wakufanyie maombi mwezi huu na wanakwambia hawafanyi maana yake hakuna wanachotegemea isipokuwa ni shetani nao hufungua vilinge baada ya ramadhani kuisha na wanakuwa hawajafanya kitu ila kutii mwezi.

Nami sio mmoja wao wewe huwezi kunielewa ila tu kama ungekuwa ni mtu wa maarifa nisingepoteza muda kujielezea.

Rakims
 
Nikushauri tu elimu ni pana sana na ukihisi kile ulichojifunza wewe kimetosha still bado you have a lot to learn sometimes mtu anaweza kuona napuuza hoja zako lakini kumuelewesha mjinga ni kazi ya walimu wa shule nao vile vile walishashindwa na kuwaacha na ujinga wao sasa ili nisiendelee kukuita mjinga embu soma tena vizuri pale ulipoishia huwezi kuwa na busara kwa kusoma kitabu kimoja au viwili soma zaidi.
Maana hata mtume wako aliambiwa kauli ya kwanza ni kusoma lakini kwa jina la mola wake.
Sasa wewe unapohisi ninafuga majini au ninatumia majini akili yako bado ni changa sana mimi ninafuga elimu na ninatumia elimu ndio maana tangu mwanzo naona ujinga na madhaifu yako ambayo yananipelekea kukupa ushindi maana nikiendelea kubishana na wewe hata topic yenyewe ulioanzisha inapotea na kuja vita vya kidini hapa.

Rakims
Unazidi kutetea upande wako anyway, kila mtu anajua anachokifanya nimeshakukumbusha na kwa ushahidi ulio dhahiri.
 
Bado sana mkuu huna hoja. Unanikumbusha mzinzi mmoja alikuwa anawaambia wenzie ni dhambi kutongoza mwanamke hali ya kuwa yeye anawazini kwa kutumia nyuso mbili kama hapa unavyochacharika kuniambia nafanya shirki kwa username ya tungo.
wakati huo huo una uchafu unaoufanya nyuma ya pazia ni mekushauri kusoma hivyo SOMA!
wachawi wa kiganga peke yake ndio hufunga vikoba mwezi mtukufu wa ramadhani na hivyo hivyo wapumbavu hufanya ibada na kujipinda zaidi mwezi wa ramadhani na baada ya hapo hurudi katika maasi yao kwa swali lako hili tu linaonyesha unaunafiki hata wa imani kwa maana yawezekana ni mmoja kati ya watu wanaoabudu mwezi bila kujua.

Ingekuwa kiumbe ninachotumia ni shetani basi mwezi huu mimi na wewe na waislamu wengine tunaamini kuwa shetani yupo kifungoni lakini kwa sisi watu wa maarifa mkuu Mwenyezi Mungu yupo kila siku na kila saa na thamani yake haishuki hata sekunde moja na ukubwa wake na kumtii hatuoni kama ni sehemu specific peke yake kama ndani ya ramadhan kipindi cha eid au sala za ijumaa pekee sisi Mwenyezi Mungu yupo pia katika kila inch ya sekunde na anaona na anafanya anayoyataka na tunamuhofia kila siku,sekunde na saa.

Bila kwenda mbali na swali lako la kwamba "siku za ramadhani huwa unaweza kuyaita hayo majini yako?

JIBU NI KWAMBA:
Majini sio yangu ni viumbe vilivyoumbwa na yule aliyekuumba wewe navyo vina machaguo huru ya kuamini na kutoamini navyo popote ulipo katika mazingira yako vipo chooni chumbani sitting room mpirani na kila kona ya ulimwengu wapo nao wapo kanisani(roho safi/chafu) wapo misikitini(Maruhani/majini) wapo katika temple (budhas spirits) wapo kwenye majengo ya mashetani na kila sehemu ambazo wamepewa uwezo wa kufika.
Wapo ndani ya mwezi mtukufu wa ramadhani(kasoro shetani mpotoshaji na wafuasi wake)

sasa labda kama umenithibitisha ninachotumia ni shetani/mashetani kama wale unaoenda wakufanyie maombi mwezi huu na wanakwambia hawafanyi maana yake hakuna wanachotegemea isipokuwa ni shetani nao hufungua vilinge baada ya ramadhani kuisha na wanakuwa hawajafanya kitu ila kutii mwezi.

Nami sio mmoja wao wewe huwezi kunielewa ila tu kama ungekuwa ni mtu wa maarifa nisingepoteza muda kujielezea.

Rakims
Ujinha ni pale unapomshutumu mtu kwa kauli zisizo na ukweli ndani yake , nime ku judge kutokana na nyuzi zako za zenye kufundisha ilmu zenye shirki ndani yake ikiwemo hii , nimekupa hoja kutoka kitabu kitakatifu nimekupa sheria walizopewa majini .

Kati ya yoote hakuna sehemu hata moja uliyonijibu points zangu sana sana umejitahidi kufanya personal attack ambayo hata na hivyo imefeli , umebaki ku assume tu.

Anyway mkuu baki na unachokiamini fanya unachofanya ila jua ilmu unayoifundisha na kuifanya haina mwisho mzuri .

Allah anajua zaidi.
 
Ujinha ni pale unapomshutumu mtu kwa kauli zisizo na ukweli ndani yake , nime ku judge kutokana na nyuzi zako za zenye kufundisha ilmu zenye shirki ndani yake ikiwemo hii , nimekupa hoja kutoka kitabu kitakatifu nimekupa sheria walizopewa majini .

Kati ya yoote hakuna sehemu hata moja uliyonijibu points zangu sana sana umejitahidi kufanya personal attack ambayo hata na hivyo imefeli , umebaki ku assume tu.

Anyway mkuu baki na unachokiamini fanya unachofanya ila jua ilmu unayoifundisha na kuifanya haina mwisho mzuri .

Allah anajua zaidi.
Huo ni mtizamo wako na uelewa wako siwezi kukushangaa wala kuendelea kuzalisha hoja na wewe kwa maana kila mtu ana mipaka ya kutumia akili yake na anaelimu yake aliyokadiriwa sasa kama wewe huna bora unyamaze au uulize ueleweshwe kuliko kuchangia usichokijua ukaitwa mjinga

Rakims
 
Back
Top Bottom