Kwa wale wenye ndoto za kuowa tukutane hapa!

Kwa wale wenye ndoto za kuowa tukutane hapa!

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,074
Narudia tena kwa wale wenzangu na Mimi wenye ndoto za kuoa mabinamu zetu tukutane hapa!
Unajua raha ya kuoa binamu Mali haendi mbali na hakuna tatizo lolote la kuzulumiwa mtoto hata kama utasafiri miaka 25 bila kurudi
 
Mkuu naulizia Bei ya simu zifuatazo.. tecno spark 2,tecno camon x camon 11 na tecno pavour..samahani lakini kwa kutoka nje ya maada bado tuko pamoja Sana Kuna binamu yangu anataka simu
 
Unataka wadada wawe wanauchungulia huu uzi 24/7 na kuu-subscribe kabisa
 
jamaa kaniacha hoi kweli eti mali haiendi mbali na huwezi kudhulumiwa mtoto mbona hujafikiria kuhusu genetic diseases
 
Back
Top Bottom