Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Daah [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]Mimi ni binamu ila sina mpango wa kuoa!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]Mimi ni binamu ila sina mpango wa kuoa!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kwani lazima uolewe?Daah [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Kwani lazima uolewe?
Basi usifadhaike.Sio lazima
Basi usifadhaike.
Hebu tuma CV yako mabinamu tujue tunakusaidia vipi.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mbona mwepesi kususa, ndoa utaiweza kweli binamu?Daah
Nimeghairi
Kwa kweli siiweziMbona mwepesi kususa, ndoa utaiweza kweli binamu?
Haya, karibu chama la bachelor!Kwa kweli siiwezi
Haya, karibu chama la bachelor!
HahahhaaaNgoja waje wataalamu wenzio
Unataka wadada wawe wanauchungulia huu uzi 24/7 na kuu-subscribe kabisa
TeheheeeNimekuja mbio kweli, kumbe mabinamu?
Nimekuja mbio nikajua nitajipatia muoaji huku kumbe mnataka binamu zenu..! Nimekuwa mpole ghafla
HahaaaWe badili heading bwana, kidogo nipige mueleka nikikimbia kufungua huu uzi nikasema sasa mume nimepata kumbe nehiii[emoji134][emoji134][emoji134]
Sina walahKwani huna binamu mkuu?
jamaa kaniacha hoi kweli eti mali haiendi mbali na huwezi kudhulumiwa mtoto mbona hujafikiria kuhusu genetic diseases
Huu uzi uwe maalum kwa tunaotaka kuoa, hili la kuoa mabinamu nalo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]