Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
In shaa AllahWalotangulia Moula-karim awarehemu nasi tulobaki mgongoni mwa ardhi hii tuwe chini ya Rehemza zake!! (nakushukuru kwa taarifa muhimu)
"Pijo" 504, 506, VW- mgongo wa chura na Combi, pamoja na Morris ndio zilikuwa nyingi, Landrover 109 ndio zilikuwa gari za serikali, polisi wao walikuwa sana kwenye "Pijo" familyaiseee Bito ndizo zilitawala mji sio hayo ma-VX ya sasa
aiseee Bito ndizo zilitawala mji sio hayo ma-VX ya sasa
Na sisi makabwela usafiri wetu ulikwa DMT.
Asante Mzaramo, bahati yako ni mtani wangu leo ningekunyea mitusi balaaaaUmetupeleka mbali sana.
Hiyo ndiyo Dar yetu. Sasa imechafuliwa sana na wakuja.
Bar ya Gateways sio![]()
Hapo ni mnazi mmoja ghorofa linalooneka upande wa kulia opposite kuna mnara wa mashuja watoto wa mji nani anakumbuka Bar maarufu iliyokuwa kwenye ghorofa hilo?
MziziMkavu
Zamiluni Zamiluni
Nafikiri pijo 403 ndizo zilikuwapo miaka hiyo,504 zimekuja late 70s kama sikosei"Pijo" 504, 506, VW- mgongo wa chura na Combi, pamoja na Morris ndio zilikuwa nyingi, Landrover 109 ndio zilikuwa gari za serikali, polisi wao walikuwa sana kwenye "Pijo" family
Jamani mmenikumbusha class mate wangu Mussa Simba tulisoma wote Tambaza nae akiichezea Congo United miaka hiyo.Mwenye taarifa zake tafadhali anicheki inbox.Natanguliza shukrani.Kumbe unafahamiana na kina Bobeya,Mussa Simba na Eddie Manji ndugu yake Machismo? na Congo united ulicheza na kina Leny Simba (Obua) na Feruzi? Red Star kiongozi akiwa Mzee Lumelezi au Kesi Mjinga? Pan Africa unanitia wasiwasi kama ulikuja kwa sababu wee Abijo! [emoji13] [emoji12] maana Mzee Mangara Tabu asingekuku
bali
Mkuu umemaliza kila kitu yaani hayo ndio yalikuwa Mapito yetu haswa.Nimekumbuka mbali sana mkuuMkuu Zamiluni mi nimesoma St Joseph Mwalimu wangu mkuu alikuwa Mrs Simkoko! Snow cream na Fish and Chips maeneo ya Shesh Mahal na Topaaz ndiyo anga zangu. Beano,Dandy,Topaaz ndiyo Comic zangu. Unataka ni kwambie kitu! sikukuu ya Idd nilikuwa natembelea wapi utotoni? Mji umeharibiwa! kidongo chekundu ndiyo maeneo yetu! Mnazi mmoja garden pamevurugwa hata chemchem hazirushi maji na samaki hakuna kwenye ile sanamu inatoka maji! Viatu nilivyokuwa navaa ni Prefect za Bata![emoji23] mi nilikuwa hodari wa kutengeneza kishada/tiara[emoji324]
Lakini klabu yangu ni ile ya mitaa ya Mafia na Nyamwezi [emoji460]
Mi ni kama Robinson cruise
Namshukuru Mwenyezi Mungu nimeona mengi alhamdulillahi.
Asante Mzaramo, bahati yako ni mtani wangu leo ningekunyea mitusi balaaaa
Usafi na heshima kwenye mazingira wakati huo unawezekana ulikuwa sawa na Ulaya.
Toka zako uko waswahili ndio mwenye mji..mme kuja kuja sasa mnajiona mmeota mapembe.Tusingekuja dar ingekuwa kama Tanga, waswahili kwa uvivu hakuna Mfano...
Ngoja ni cross check kwenye kumbukumbu kama ulikubalika kote kote if you don't mind unipe hint Pan ulicheza na kina nani please?
Zamiluni Zamiluni
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] " kama unavuta bangi acha maramojaKumbe huyo sanamu alikuwaga mdogo hivyoooo...amekuwa sana.
Toka zako uko waswahili ndio mwenye mji..mme kuja kuja sasa mnajiona mmeota mapembe.
Wakati huo si unaona Barabara hata vumbi wala kipande cha sigara hukuti. Ni hivyo hivyo hata mitaa yetu ya Kariakoo kwa siku hizo. 1967 ndiyo kila kitu kikaanza kuvurugika.