BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Wajanja au mafisadi. Hii ilikuwa Tanzania njema iliyojaa upendo miongoni mwa raia wake na siyo hii ya leo ambapo baadhi ya raia wana chuki za kutisha dhidi ya raia wenzao.
Wajanja walikuwa bado kuingia mjini. Uzazi wa mpango ulikuwepo sio sasa tumekuwa wengi isipo Wahindi walikuwa wengi sana mjini miaka ya late 70s na 80s Wengine tulikuwa shule za awali