Kwa wale wenye uzito wa kilo 90 kwenda juu tukutane hapa

Kwa wale wenye uzito wa kilo 90 kwenda juu tukutane hapa

sasa alipunguaje kwa kula wali ?
Alipungua kwa kua alikua anafanya na mazoezi mengine pia (yeye ni martial artist). Kuangalia ufanano wake mtazame kwenye Meals on Wheels na hiyo Eastern Condors.
 
Sipati picha kwenye huu uzi ingekuwa live nipo ndani ya hawa vibonge ingekuwa kichekesho kwa nilivyokimbaumbau.
 
kede ke
tukutane hapa tupeane maarifa ya kupunguza uzito ,kila siku tutaapdate kwa kila mmoja kuweka uzito wake ,pia tutapeana mlo wa siku .no cheating pls .kama unajijua wewwe ni muaminifu njoo nikuaadd tupeane maarifa
kupunguza uzito group
6 november 2016
members
1.miss natafuta 93kgs
2.Dimpo 96kgs
3.
4.
6.incubu 51kgs

updates
tips za kupunguza uzito
no moja.
Epuka sukari,na vyakula vya wanga especially usiku.ni marufuku kula chips,wali ,ugali makande ,tambi ,chapati usiku

no mbili kutoka kwa mdau@Castr
Kuna mdau nimeona kasema mtu ujinyime kula (siyo upunguze kula) hili wazo wakati litakuhakikishia kupungua lakini hapo hapo litakua linakumalizia virutubisho mwilini (na kuna uwezekano mtu akapata bulimia).
Badala yake kula vyakula vyenye virutubisho tu kwa kiasi na epuka junk food, mfano Sammo Hung ili kupunguza mwili ili ashiriki filamu ya Eastern Condors kwa miezi mitatu alikua akila wali mkavu na kuku wa kukaanga tu.
Na pia usikimbilie kukata tumbo, anza na jogging/ trotting na mazoezi ya kustrecth kwanza. Baada ya muda ndiyo uanze kutrain kivingine.


tatu.kunywa kikombe cha green tea bila sukari
asubuhi
mchana na usiku
pia kunywa maji mengi at least lita mbili kwa siku
kedekede 96kgs lakini uzito unaendana na height naskia!
 
Hadi unafikia 90kg's ulikuwa wapi?
Hizi shida nyingine mnajitakia tu aisee
 
Mi nashauri tuanzishe group watsap and tujadiliane uko naomba nianza kwa kutoa namba yangu 0769468965..nitumieni namba zenu nitafungua group kwa kushirikiana na miss natafuta ikiwezekana tutaanzisha na jonging club kwa wakazi wa Dar..karibu wote..namba mnitext namba msiandike hapa naweza nisione..text neno "Uzito" kuja kwenye namba yangu itstosha.!!
 
Japokuwa hii thread imekaa kimcharuko mcharuko,nimeipenda.
Mama,chukua gwara hizo.
 
Sipati picha kwenye huu uzi ingekuwa live nipo ndani ya hawa vibonge ingekuwa kichekesho kwa nilivyokimbaumbau.
ahahaa pole
Hadi unafikia 90kg's ulikuwa wapi?
Hizi shida nyingine mnajitakia tu aisee
acha tu mkuu najuta
Miss Natafuta kumbe wewe ni heavy weight creature. OK natamani sana nikuone
chura kaka chura
kede ke

kedekede 96kgs lakini uzito unaendana na height naskia!
ni kweli mkuu urefu wako upoje?
 
itagarimu hela ngapi mkuu ili nione kama nitaweza niombe uni add
Mi nashauri tuanzishe group watsap and tujadiliane uko naomba nianza kwa kutoa namba yangu 0769468965..nitumieni namba zenu nitafungua group kwa kushirikiana na miss natafuta ikiwezekana tutaanzisha na jonging club kwa wakazi wa Dar..karibu wote..namba mnitext namba msiandike hapa naweza nisione..text neno "Uzito" kuja kwenye namba yangu itstosha.!!
tatizo whatsup group kusumbuana inbox tena
 
Good luck wapendwa...tutawapa ushauri ..
 
Kira siku Nakimbia Fukwe za Bahalin Kuanzia Saa 12 Asubui Beacha Chadibwa mpaka kijiji Beach Kigambon kwenda na kurud

Asubui Na Jion

Wek End Asubui tu
 
Back
Top Bottom