Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kiukweli hawa jamaa wa jkt wameniboa balaa coz mi tayar nipo chuo mtwara ndan ya stella maris afu leo wao wanasema eti jkt....sijajua saaana kuwa itakuwaje ila mbele kwa mbele itakavyokuwa wacha na iwe jkt oyeeee!!
kiukweli hawa jamaa wa jkt wameniboa balaa coz mi tayar nipo chuo mtwara ndan ya stella maris afu leo wao wanasema eti jkt....sijajua saaana kuwa itakuwaje ila mbele kwa mbele itakavyokuwa wacha na iwe jkt oyeeee!!
Watoto wa mama wengi ni lazima wapinge hii program kwa kuwa wamelelewa kimayai mayai lakini siku zenu zinahesabika,tazameni yaliyotokea kwenye Mall huko Kenya,yumkini kama wengi wangekuwa na tackticks za kimilitia maafa yasingefika kiwango tajwa! Nadhani JKT siku hizi hadi bugger wana offer sio kipindi chetu cha yanga yanga na uji wa maembe!
Watoto wa mama wengi ni lazima wapinge hii program kwa kuwa wamelelewa kimayai mayai lakini siku zenu zinahesabika,tazameni yaliyotokea kwenye Mall huko Kenya,yumkini kama wengi wangekuwa na tackticks za kimilitia maafa yasingefika kiwango tajwa! Nadhani JKT siku hizi hadi bugger wana offer sio kipindi chetu cha yanga yanga na uji wa maembe!