Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua degree kwa sasa ni Tsh 589,000 kama basic salary,baada ya makato inabaki 47 na impurities. Hapo kama wazee wa Loan board hawajaweka mkasi wao kukata salio. Wakikata nao kama 32000 utajua utabakiwa na ngapi kwenye 470000.
Apo nimewapa wadau ila iyo ya loan wakianza kukata kimeo nasikia ni 30,000 ya kweli ayo
Najua degree kwa sasa ni Tsh 589,000 kama basic salary,baada ya makato inabaki 47 na impurities. Hapo kama wazee wa Loan board hawajaweka mkasi wao kukata salio. Wakikata nao kama 32000 utajua utabakiwa na ngapi kwenye 470000.
huo ni mshahara au posho?
huo ni mshahara au posho?