Kwa walio Dar es Salaam tu: Hili ndilo suluhisho la uhakika kukabiliana na gharama zilizopanda za internet

Kwa walio Dar es Salaam tu: Hili ndilo suluhisho la uhakika kukabiliana na gharama zilizopanda za internet

Ishu sio kutoa hio hela sababu kama majirani mpo karibu lets say 4 houses mna share that connection from the router kwa speed hio mbona mtainjoy tu na uzuri hamna limit, uneza ukawa una stream netflix muda wote kwa wenye smart tv's!
Ukitoka nyumbani?! Ushatoa 70k then ukitoka nyumbani unafanyaje? Majirani inategemea ndugu yangu. Halafu wanaolalamika ni wale wa bundle za 3000 zimekuwa 10,000/- sasa mtu kama huyu umwambie atoe 70k?
 
Dunia pia inaondoka kwenye HDD inaelekea kwenye SSD. Lakini tunaotumia NAS hundreds of TBs tunatumia HDD. Kwa sababu kwa use case yetu kuweka kika kitu SSD si oractical. Si cist effective.

Miwaya mbona hata Marekani tunatumia. Ulaya wanatumia.

Joe Biden rais wa Marekani kaanzisha mpango wa ku update internet, broadband, wanatumia miwaya (mind you, kusema wanatumia miwaya haumaanishi wanatumia miwaya tu).

South Korea walikuwa na fastest internet last time I checked. Wanatumia miwaya.

Hiyo internet ya wireless unayoitumia kwenye simu nayo mostly imetoka kwenye miwaya iliyopita chini ya bahari.

Ni hivi, hiyo waya inatumika kuleta internet ndani ya nyumba halafu internet ikifika nyumbani unaweka wireless router anayetaka kutumia wireless kwenye simu au laptop anaweza. Ila inakuwa fast na ya gharama nafuu ukilinganisha na internet ya simu.

Mtoa mada amekupa hii kama solution ya kukupa internet kwa gharama nafuu, kama wewe unapenda kupigwa ma bundle ya internet ya simu kuendelea kupigwa hivyo ni haki yako ya kikatiba pia.
Jamaa mpuuzi, sasa kuna internet bila infrastructures!? Sababu hizo waya ndio zinatumika kusafirisha signals ila endpoit ndio unaweza apply wifi devices
 
Mkuu ttcl internet kwa njia fiber ni bei gani kwa arusha?
 
Ndio maana wameyataja maeneo kabisa ambayo hio huduma inapatikana, Sie wa Tegeta kwa Ndevu hatuhusiki!
Ndio maana wameyataja maeneo kabisa ambayo hio huduma inapatikana, Sie wa Tegeta kwa Ndevu hatuhusiki!
Wa katikati ya mji watanufaika na fibers za mkongo wa taifa wa tegeta kwa ndevu mtanufaika na fiber za mkonge
 
Malalamiko ya wengi ni bando za sh 1,000 kutoka kwenye GB 1 kuja kwenye MB 350; maximum kabisa ni sh 10,000 GB 10 au zaidi kuja kuwa GB 4.

Wale wa GB za mwezi kuanzia sh 50,000 na kuendelea hawako kwenye haya malalamiko.

Na yeyote mwenye kuweza kulipa 70,000/- kwa mwezi kwa internet ya nyumbani pekee, siyo mwathirika sana wa hili.
 
Solution ni kuifuta tu hii wizara na waziri wake asomewe albadri kama afande sele tuanze upya
Hii serikali inachekesha sana, yani njia nzuri ya kujipatia kodi kirahisi ni ku invest katika mambo ambayo watu wanayapenda, mfano sigara na bia ndio huwa zinaongoza kwa kodi miaka mingi tu! Hivyo vitu viwili ni kama chanzo cha burudani na hutasikia watu wakilalamikia huko sababu kodi zake zimeekwa in a manner hazileti sintofahamu!

Wangeweza kulifanyia hili kazi wangesambaza internet kwa watu na kuwauzia kama ilivyo maji au umeme hakika wangepata hela sana ila wao wamekazana kuvuruga vifurushi kwenye mitandao, yani wangeweza ku regulate soko bila kuumiza watu hata hawa wenye mitandao wasingekuwa na nguvu kama ilivyo sasa
 
Malalamiko ya wengi ni bando za sh 1,000 kutoka kwenye GB 1 kuja kwenye MB 350; maximum kabisa ni sh 10,000 GB 10 au zaidi kuja kuwa GB 4.

Wale wa GB za mwezi kuanzia sh 50,000 na kuendelea hawako kwenye haya malalamiko.

Na yeyote mwenye kuweza kulipa 70,000/- kwa mwezi kwa internet ya nyumbani pekee, siyo mwathirika sana wa hili.
We huoni kama huo ni uhuni, na ukizungumzia hao wenye kipato cha ku support manunuzi ya 50,000 je wako wangapi compared na hawa wa 10k-1k bundles?
 
Niliwahi soma sehemu kuwa watu wa eneo fulani wanaweza kujenga miundombinu ya kupokea intarnet na kuinunua kwa bei cheap kutoka kwa wauzaji.

Hili tatizo la kupanda kwa bei chanzo chake siyo gharama za uendeshaji, bali ni serikali ina regulate upatikanaji wa taarifa mtandaoni kupitia kwenye bei.

Hivyo hata mkifanya hivyo, watakupandishieni bei kwa kadri wamavyoona inawafaa
 
Jamaa mpuuzi, sasa kuna internet bila infrastructures!? Sababu hizo waya ndio zinatumika kusafirisha signals ila endpoit ndio unaweza apply wifi devices
Tatizo wengi wanapenda kuponda vitu, lakini uelewa ni mdogo.

Ponda unavyotaka, lakini angalau jielimishe kwanza kabla ya kuponda.
 
Hii serikali inachekesha sana, yani njia nzuri ya kujipatia kodi kirahisi ni ku invest katika mambo ambayo watu wanayapenda, mfano sigara na bia ndio huwa zinaongoza kwa kodi miaka mingi tu! Hivyo vitu viwili ni kama chanzo cha burudani na hutasikia watu wakilalamikia huko sababu kodi zake zimeekwa in a manner hazileti sintofahamu!

Wangeweza kulifanyia hili kazi wangesambaza internet kwa watu na kuwauzia kama ilivyo maji au umeme hakika wangepata hela sana ila wao wamekazana kuvuruga vifurushi kwenye mitandao, yani wangeweza ku regulate soko bila kuumiza watu hata hawa wenye mitandao wasingekuwa na nguvu kama ilivyo sasa
Tatizo ubunifu zero wanaishia ku politicize kila kitu
 
Hii serikali inachekesha sana, yani njia nzuri ya kujipatia kodi kirahisi ni ku invest katika mambo ambayo watu wanayapenda, mfano sigara na bia ndio huwa zinaongoza kwa kodi miaka mingi tu! Hivyo vitu viwili ni kama chanzo cha burudani na hutasikia watu wakilalamikia huko sababu kodi zake zimeekwa in a manner hazileti sintofahamu!

Wangeweza kulifanyia hili kazi wangesambaza internet kwa watu na kuwauzia kama ilivyo maji au umeme hakika wangepata hela sana ila wao wamekazana kuvuruga vifurushi kwenye mitandao, yani wangeweza ku regulate soko bila kuumiza watu hata hawa wenye mitandao wasingekuwa na nguvu kama ilivyo sasa

Naona wana CCM hili suala la bando halitawaumiza.?hahahah

Wapinzani walikua wameanza kumsifia mama Samia oooh ni mama wa huruma,upendo na blsh blah kibao wanasemaje sa hivi?
 
Back
Top Bottom