Mdogo wangu kama ulivyoambiwa mwanzo ndoa hhuwa haina formular. mimi ndoa yangu ina miaka minne nilianza kwa kufuata formular kutokana na kwamba nilikuwa nasoma sana makala za shaluwa kwenye web ya shigongo. nikawa nafuatilizia kila kitu. tulikuwa tunagombana sana na ke wangu coz kila nilichokisoma nuilienda kukifanyiia kazi kwa mke wangu.
jambo la maana kwako jaribu kujiweka katika nafasi nyuma ya mkeo. yaani kila jambo mpe mkeo kipaumbele, msifie kila mara hata pale ambapo unajua hakufanya vizuri tafuta tu pointi moja umsifie ili ajiione anapendwa na anakubalika. jambo lingine ambalo ndilo la muhimu kuliko yoote jenga uhusiano na MUNGU wako kama wewe ni mkristo kama mimi jitahidi usali pamoja na mkeo, na kuwa mstari wa mbele kwenda kanisani, kama wewe ni mwislamu vilevile. mleteee zawadi mkeo kila mara mara 2 ama 3 kwa wiki hivi. sio lazima zawadi kubwa hata kama ni pipi, chokolate ama chochote ili mraddi tu ajue kuwa unapokuwa mbali na yeye huwa unamkumbuka. kama wewe ni mfanyakazi ukisafiri usirudi bila zawadi ya kueleweka kama nguo, kitambaa, viatu ,mkoba na chochote kile utakachoone. katika siku yako tenga muda wa kukaa na mkeo mkiwa wawili kabla ya kulala. na wanawake maranyingi wanapenda kufanya mapenzi mchana na asubuhi kuliko usiku maana usiku wanakuwa wamechoka kwa kazi nyingi za mchana kutwa na wanahitaji pumnziko so epuka kudai unyumba muda mfupi tu baada ya kwenda kulala. pia muone mkeo ndo mwanamke pekeee mzuri duniani tena msifie mara kwa mara kwa uzuri alionao na ukiwa unasema hayo mwangalie usoni usiseme ukiwa umeficha uso ataona unamdanganya. pia wakati wa mamboz wanaume wengi akimaliza tu anageukia upande wa pili, hiyo ni sumu ya penzi mwanamke anapenda kukumbatiwa mara mmalizapo mambo yenu kwani hujiihisi kuwa hana thamani tena baada ya kukupa uroda so kulifuta hilo just endelea kumkumbatia kwa dakika 15 hivi baada ya kuwa mmemaliza kupeana shughuli. nawatakia ndoa njema