kwa walio na ndoa tu......!!!!!!!

umeandika ushauri uliojaa maneno ya busara,hongera sana,i liked that
 
Kila mmoja awe tayari kuyavumilia mapungufu ya mwenzi wake... By the way mbona hujatuambia huyo bi dada ni nani nae tumpe hongera zake? Kila la heri mkuu..
asante kwa ushari wako. huyu bii dada yeye hakuwa amejisajiri bali yeye alikuwa akipitia tu post za wanao tafuta wachumba. ila tarehe 19 nitaweka pc zetu kwenye fb yangu.
 
asante mungu awe nawe! ili mawazo yako yatusaidie wengi tunao hitaji, asante.
 
 

asante nitazigatia!
 
Ishini vile inavywapendeza kuishi, msiige maisha ya ndoa za wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…