Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu Matumbo....ufuta unalipa sana mwaka huu tumeuza kilo moja sh. elfu mbili mia tisa......ufuta ni dhahabu iliyojificha
WAKUU MIMI NINATAFUTA WATU WA 8 TUWEZI KUSHIRIKIANA KWENYE KUSINDIKA MAZAO NA KILIMO CHA MAHINDI, MAHARGE, ALIZETI, MBAZI NA UFUTA . WATU HAO (8) TUTACHANGA MTAJI WA KUNUNUWA TRECTA JIPYA AINA SWARAJ 744, TUTAKODI WOTE MASHAMBA YA KULIMA HAYO MAZAO. GHARAMA ZA KUNUNUWA TRECTA 28MILIONI, MAHINDI NA MBAZI TUNACHANGANYA KWENYE SHAMBA MOJA ALIZETI NA MAHARGE TUNALIMA TOFAUTI Eg Mahindi ekari 300 alizeti ekari 150 na maharge kama ekari 50. BAADA YA KUVUNA TUNAKOBOA SEMBE, KUKAMUWA MAUTA YA ALIZETI SISI WENYEWE, HUKU TUKIWA NA MALENGO YA MUDA MREFU KUWA SIKU MOJA TUTAMILIKI VIWANDA VYA KUSINDIKA MAZAO MBALI MBALI. TUNAWEZA KUSAJILI KIKUNDI OR TUSAJILI LTD CO. YETU . WADAU TUFUNGUKE KUTOA MAWAZO AMBAYO YATABORESHA. NAPATIKANA KUPITIA NAMBA HII 0765616178. (NAFAHAMU MAENEO MAZURI SANA KWA KILIMO NA MAENEO AMBAYO TUNAWEZA KUKODI MASHAMBA KWA URAHISI) TUNAWEZA FANYA FEASIBILITY STUDY YA HAYO MAENEO BEFORE
WAKUU MIMI NINATAFUTA WATU WA 8 TUWEZI KUSHIRIKIANA KWENYE KUSINDIKA MAZAO NA KILIMO CHA MAHINDI, MAHARGE, ALIZETI, MBAZI NA UFUTA . WATU HAO (8) TUTACHANGA MTAJI WA KUNUNUWA TRECTA JIPYA AINA SWARAJ 744, TUTAKODI WOTE MASHAMBA YA KULIMA HAYO MAZAO. GHARAMA ZA KUNUNUWA TRECTA 28MILIONI, MAHINDI NA MBAZI TUNACHANGANYA KWENYE SHAMBA MOJA ALIZETI NA MAHARGE TUNALIMA TOFAUTI Eg Mahindi ekari 300 alizeti ekari 150 na maharge kama ekari 50. BAADA YA KUVUNA TUNAKOBOA SEMBE, KUKAMUWA MAUTA YA ALIZETI SISI WENYEWE, HUKU TUKIWA NA MALENGO YA MUDA MREFU KUWA SIKU MOJA TUTAMILIKI VIWANDA VYA KUSINDIKA MAZAO MBALI MBALI. TUNAWEZA KUSAJILI KIKUNDI OR TUSAJILI LTD CO. YETU . WADAU TUFUNGUKE KUTOA MAWAZO AMBAYO YATABORESHA. NAPATIKANA KUPITIA NAMBA HII 0765616178. (NAFAHAMU MAENEO MAZURI SANA KWA KILIMO NA MAENEO AMBAYO TUNAWEZA KUKODI MASHAMBA KWA URAHISI) TUNAWEZA FANYA FEASIBILITY STUDY YA HAYO MAENEO BEFORE
Eeeeh,kumbe Kalubandka wa KIZAZ KIPYAKwa taarifa zenu wana - jamii forum, huyu jamaa anayejiita Wilshere, ni TAPELI wa kutupa, nikuwa na interest ya kununua mashamba na tulime wote, mashamba yalikuwa ni Rufiji na kwa vile ninayo trector nikamwamini kuwa ni mtu anania njema, imagine nilimtumia 1.5 Milion kwa ajili ya shughuli za mashamba / kilimo!! Guess what happened thereafter!! Aliingia mtini na akabadili namba ya simu na hata huku kwenye forum akawa hajibu kabisa ujumbe.
Pls pls kuweni macho na watu kama hawa. Hata alipokuwa anafanya kazi TANZANIA WOMEN BANK, aliliza watu kama wawili kabla ya kufukuzwa kazi.
Ndugu Matumbo....
Naomba nisaidie mchanganuo kuhusu ufuta....
Leo ndo naiona hii sridi,me mwaka huu nna project ya heka 5 za ufuta huko Lindi.Haya mawazo yalinijia nikiwa Hapa JF baada ya kuwepo kwa mjadala wa kilimo cha UFUTO
Binafsi sikununua wala kukodi,ila nilipatiwa pori na kulipa watu wa kulisafisha na kuanza mchakatohivi mashamba huko ni bei gani kwa heka?
Wana- JF, Mkitaka kupata ukweli, baada ya kutapeli hiyo 1.5Mil, akabadili jina la AVATA yake, badala ya kutumia WELSHERE, sasa hivi anatumia "TABU KUISHI"
Namba ya simu aliyokuwa anatumia siku hizo akijiita Welshere ni 0765616178, baada ya kufanya wizi wa kitapeli na wa kitoto na namba ya simu akabadili.
Baada ya kumfuatilia kwa watu wa karibu aliokuwa anafanya kazi nao Bank ya Wanawke, kumbe hata malazi yake alihama.
Pls!!! Naomba muwe macho sana na watu wa namna hii!!! Dunia ya sasa 1.5M itakupeleka wapi kama sio kuendeleza umasilini kwa kutokuaminika na watu!!! Je hiyo pesa anayo hadi sasa?
Wana- JF, Mkitaka kupata ukweli, baada ya kutapeli hiyo 1.5Mil, akabadili jina la AVATA yake, badala ya kutumia WELSHERE, sasa hivi anatumia "TABU KUISHI"
Namba ya simu aliyokuwa anatumia siku hizo akijiita Welshere ni 0765616178, baada ya kufanya wizi wa kitapeli na wa kitoto na namba ya simu akabadili.
Baada ya kumfuatilia kwa watu wa karibu aliokuwa anafanya kazi nao Bank ya Wanawke, kumbe hata malazi yake alihama.
Pls!!! Naomba muwe macho sana na watu wa namna hii!!! Dunia ya sasa 1.5M itakupeleka wapi kama sio kuendeleza umasilini kwa kutokuaminika na watu!!! Je hiyo pesa anayo hadi sasa?
Binafsi sikununua wala kukodi,ila nilipatiwa pori na kulipa watu wa kulisafisha na kuanza mchakato