Kwa waliofaulu kidato cha nne

Kwa waliofaulu kidato cha nne

Mshobaa

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2013
Posts
1,714
Reaction score
677
Heko kwako mdau, nilikua naomba kwa anayejua proses nzima kwa liyefaulu kuendelea na kidato cha tano ni hatua zipi zinafanyika jee kuna barua yeyote labda mhusika huletewa ili kujulishwa shule atakayopangiwa? Ama kuna sehemu yeyote ya kwenda kupata maelekezo zaidi? Kwa wenye uelewa juu ya hili suala naomba jibu tafadhali
 
Back
Top Bottom