Kwa waliokojoa kitandani tu!!

Kwa waliokojoa kitandani tu!!

SIKU NILIYOMPAGA BABA YANGU MTIHANI MKUBWA YA KUKWEPA AIBU KWA WAKWE


Nilienda kijijini na mzee kwenye msiba upande wa mama, ikabidi nilale nae kitanda kimoja, Si Nikampigia bomba usiku, usiku saa tisa akashtuka, pale ndo kwa mara ya kwanza kumuona mzee akikasirika bila kunipiga, maana akinipiga n msala ugenini, na mimi ilikua ukinigusa tu n mayowe, alibaki anang'ata meno na kusunya, sikupata picha ningekua nyumbani, Mimi wala yeye hatukua na ngua ya kubadili, Asa Mimi si mtoto hilo sio tatzo, kumbuka yeye n kwa Wakwe na hata hajulikani zaid ya babamkwe, akafikiria sana kuna wengne wangemsaidia kwa ku mpa nguo zao ila akahs wasingemtunzia siri. Akajiwa na wazo, nje kulikua kumewashwa moto na watu wengne washalala ikabidi akaote moto zikauke, japo nao ulikua n uamuzi mgumu mtu kama yy na nimgeni umepewa kitanda unakutwa nje unaota moto peke yako usiku? Kwa kibongo bongo hasa kijijini ingetengeneza maswali mengi sana, ilipofika asubuhi akatoka kimya kimya barabarani akaona Boda akaulizia anapoweza nunua nguo , ilibidi asafiri umbali wa zaid ya 30 km kuzifuata dukan hapo mimi ashaniambia ole wangu akirud godoro halijakauka au mtu yeyeto kajua. Bahat nzuri akarud bila mtu yyt kushtukizia ameulamba vizuri na Mimi kanibebea, kwa hasira nakumbuka alifanya kunitupia, Mimi nikabadili akamuita Mother akazifua, kwa bahat hakuna aliyejua ile inshu zaid ya mimi, baba na mama tu, Ile ndo ilikua siku yangu ya mwisho kukojoa. Nina matukio mengi ya ukikojozi ila hilo ndo kubwa, Nilishawahi kukojoa mara mbili vitanda viwili tofaut Yan nimelala na kaka nikakojoa et kukwepa msala nikabadili nguo nikahamia kitanda cha pembeni nako nikapiga bomba. Yani asubuhi nyumba nzima baada ya kichapo wanaishia kucheka , magodoro mawili kaptula mbili mtu mmoja one night.
 
SIKU NILIYOMPAGA BABA YANGU MTIHANI MKUBWA YA KUKWEPA AIBU KWA WAKWE


Nilienda kijijini na mzee kwenye msiba upande wa mama, ikabidi nilale nae kitanda kimoja, Si Nikampigia bomba usiku, usiku saa tisa akashtuka, pale ndo kwa mara ya kwanza kumuona mzee akikasirika bila kunipiga, maana akinipiga n msala ugenini, na mimi ilikua ukinigusa tu n mayowe, alibaki anang'ata meno na kusunya, sikupata picha ningekua nyumbani, Mimi wala yeye hatukua na ngua ya kubadili, Asa Mimi si mtoto hilo sio tatzo, kumbuka yeye n kwa Wakwe na hata hajulikani zaid ya babamkwe, akafikiria sana kuna wengne wangemsaidia kwa ku mpa nguo zao ila akahs wasingemtunzia siri. Akajiwa na wazo, nje kulikua kumewashwa moto na watu wengne washalala ikabidi akaote moto zikauke, japo nao ulikua n uamuzi mgumu mtu kama yy na nimgeni umepewa kitanda unakutwa nje unaota moto peke yako usiku? Kwa kibongo bongo hasa kijijini ingetengeneza maswali mengi sana, ilipofika asubuhi akatoka kimya kimya barabarani akaona Boda akaulizia anapoweza nunua nguo , ilibidi asafiri umbali wa zaid ya 30 km kuzifuata dukan hapo mimi ashaniambia ole wangu akirud godoro halijakauka au mtu yeyeto kajua. Bahat nzuri akarud bila mtu yyt kushtukizia ameulamba vizuri na Mimi kanibebea, kwa hasira nakumbuka alifanya kunitupia, Mimi nikabadili akamuita Mother akazifua, kwa bahat hakuna aliyejua ile inshu zaid ya mimi, baba na mama tu, Ile ndo ilikua siku yangu ya mwisho kukojoa. Nina matukio mengi ya ukikojozi ila hilo ndo kubwa, Nilishawahi kukojoa mara mbili vitanda viwili tofaut Yan nimelala na kaka nikakojoa et kukwepa msala nikabadili nguo nikahamia kitanda cha pembeni nako nikapiga bomba. Yani asubuhi nyumba nzima baada ya kichapo wanaishia kucheka , magodoro mawili kaptula mbili mtu mmoja one night.
Nimecheka sana mkuu, mpaka nimepariwa
 
SIKU NILIYOMPAGA BABA YANGU MTIHANI MKUBWA YA KUKWEPA AIBU KWA WAKWE


Nilienda kijijini na mzee kwenye msiba upande wa mama, ikabidi nilale nae kitanda kimoja, Si Nikampigia bomba usiku, usiku saa tisa akashtuka, pale ndo kwa mara ya kwanza kumuona mzee akikasirika bila kunipiga, maana akinipiga n msala ugenini, na mimi ilikua ukinigusa tu n mayowe, alibaki anang'ata meno na kusunya, sikupata picha ningekua nyumbani, Mimi wala yeye hatukua na ngua ya kubadili, Asa Mimi si mtoto hilo sio tatzo, kumbuka yeye n kwa Wakwe na hata hajulikani zaid ya babamkwe, akafikiria sana kuna wengne wangemsaidia kwa ku mpa nguo zao ila akahs wasingemtunzia siri. Akajiwa na wazo, nje kulikua kumewashwa moto na watu wengne washalala ikabidi akaote moto zikauke, japo nao ulikua n uamuzi mgumu mtu kama yy na nimgeni umepewa kitanda unakutwa nje unaota moto peke yako usiku? Kwa kibongo bongo hasa kijijini ingetengeneza maswali mengi sana, ilipofika asubuhi akatoka kimya kimya barabarani akaona Boda akaulizia anapoweza nunua nguo , ilibidi asafiri umbali wa zaid ya 30 km kuzifuata dukan hapo mimi ashaniambia ole wangu akirud godoro halijakauka au mtu yeyeto kajua. Bahat nzuri akarud bila mtu yyt kushtukizia ameulamba vizuri na Mimi kanibebea, kwa hasira nakumbuka alifanya kunitupia, Mimi nikabadili akamuita Mother akazifua, kwa bahat hakuna aliyejua ile inshu zaid ya mimi, baba na mama tu, Ile ndo ilikua siku yangu ya mwisho kukojoa. Nina matukio mengi ya ukikojozi ila hilo ndo kubwa, Nilishawahi kukojoa mara mbili vitanda viwili tofaut Yan nimelala na kaka nikakojoa et kukwepa msala nikabadili nguo nikahamia kitanda cha pembeni nako nikapiga bomba. Yani asubuhi nyumba nzima baada ya kichapo wanaishia kucheka , magodoro mawili kaptula mbili mtu mmoja one night
Aisee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
SIKU NILIYOMPAGA BABA YANGU MTIHANI MKUBWA YA KUKWEPA AIBU KWA WAKWE


Nilienda kijijini na mzee kwenye msiba upande wa mama, ikabidi nilale nae kitanda kimoja, Si Nikampigia bomba usiku, usiku saa tisa akashtuka, pale ndo kwa mara ya kwanza kumuona mzee akikasirika bila kunipiga, maana akinipiga n msala ugenini, na mimi ilikua ukinigusa tu n mayowe, alibaki anang'ata meno na kusunya, sikupata picha ningekua nyumbani, Mimi wala yeye hatukua na ngua ya kubadili, Asa Mimi si mtoto hilo sio tatzo, kumbuka yeye n kwa Wakwe na hata hajulikani zaid ya babamkwe, akafikiria sana kuna wengne wangemsaidia kwa ku mpa nguo zao ila akahs wasingemtunzia siri. Akajiwa na wazo, nje kulikua kumewashwa moto na watu wengne washalala ikabidi akaote moto zikauke, japo nao ulikua n uamuzi mgumu mtu kama yy na nimgeni umepewa kitanda unakutwa nje unaota moto peke yako usiku? Kwa kibongo bongo hasa kijijini ingetengeneza maswali mengi sana, ilipofika asubuhi akatoka kimya kimya barabarani akaona Boda akaulizia anapoweza nunua nguo , ilibidi asafiri umbali wa zaid ya 30 km kuzifuata dukan hapo mimi ashaniambia ole wangu akirud godoro halijakauka au mtu yeyeto kajua. Bahat nzuri akarud bila mtu yyt kushtukizia ameulamba vizuri na Mimi kanibebea, kwa hasira nakumbuka alifanya kunitupia, Mimi nikabadili akamuita Mother akazifua, kwa bahat hakuna aliyejua ile inshu zaid ya mimi, baba na mama tu, Ile ndo ilikua siku yangu ya mwisho kukojoa. Nina matukio mengi ya ukikojozi ila hilo ndo kubwa, Nilishawahi kukojoa mara mbili vitanda viwili tofaut Yan nimelala na kaka nikakojoa et kukwepa msala nikabadili nguo nikahamia kitanda cha pembeni nako nikapiga bomba. Yani asubuhi nyumba nzima baada ya kichapo wanaishia kucheka , magodoro mawili kaptula mbili mtu mmoja one night.
Duh we kiboko wa wote...
 
SIKU NILIYOMPAGA BABA YANGU MTIHANI MKUBWA YA KUKWEPA AIBU KWA WAKWE


Nilienda kijijini na mzee kwenye msiba upande wa mama, ikabidi nilale nae kitanda kimoja, Si Nikampigia bomba usiku, usiku saa tisa akashtuka, pale ndo kwa mara ya kwanza kumuona mzee akikasirika bila kunipiga, maana akinipiga n msala ugenini, na mimi ilikua ukinigusa tu n mayowe, alibaki anang'ata meno na kusunya, sikupata picha ningekua nyumbani, Mimi wala yeye hatukua na ngua ya kubadili, Asa Mimi si mtoto hilo sio tatzo, kumbuka yeye n kwa Wakwe na hata hajulikani zaid ya babamkwe, akafikiria sana kuna wengne wangemsaidia kwa ku mpa nguo zao ila akahs wasingemtunzia siri. Akajiwa na wazo, nje kulikua kumewashwa moto na watu wengne washalala ikabidi akaote moto zikauke, japo nao ulikua n uamuzi mgumu mtu kama yy na nimgeni umepewa kitanda unakutwa nje unaota moto peke yako usiku? Kwa kibongo bongo hasa kijijini ingetengeneza maswali mengi sana, ilipofika asubuhi akatoka kimya kimya barabarani akaona Boda akaulizia anapoweza nunua nguo , ilibidi asafiri umbali wa zaid ya 30 km kuzifuata dukan hapo mimi ashaniambia ole wangu akirud godoro halijakauka au mtu yeyeto kajua. Bahat nzuri akarud bila mtu yyt kushtukizia ameulamba vizuri na Mimi kanibebea, kwa hasira nakumbuka alifanya kunitupia, Mimi nikabadili akamuita Mother akazifua, kwa bahat hakuna aliyejua ile inshu zaid ya mimi, baba na mama tu, Ile ndo ilikua siku yangu ya mwisho kukojoa. Nina matukio mengi ya ukikojozi ila hilo ndo kubwa, Nilishawahi kukojoa mara mbili vitanda viwili tofaut Yan nimelala na kaka nikakojoa et kukwepa msala nikabadili nguo nikahamia kitanda cha pembeni nako nikapiga bomba. Yani asubuhi nyumba nzima baada ya kichapo wanaishia kucheka , magodoro mawili kaptula mbili mtu mmoja one night.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kinachinishangaza kwanini ilikuwa lazima tuote? Yaani kama sio mgonjwa lazima uote unakojoa tu ukojoe kitandani. Watoto wote kesi hio hio unaota.

Nafikiri kizazi chetu hatutawachapa hovyo watoto wakikojoa kwasababu tunaelewa kinachowasibu.
Ni michezo mingi Mchana Usiku lazima uote
 
Kuna mchizi tulisoma nae secondary tena alituzidi kidato ila Mshkaji kila siku ya Mungu lazima amwage kojo basi dom zima harufu godoro lake lilioza vibaya ila cha ajabu Mchizi nje alikuwa smart Sana ila Huwezi amini anapolala sasa sijui ilikuwa ugonjwa ila jamaa naye alikuwa mayai Sana kifamilia
 
SIKU NILIYOMPAGA BABA YANGU MTIHANI MKUBWA YA KUKWEPA AIBU KWA WAKWE


Nilienda kijijini na mzee kwenye msiba upande wa mama, ikabidi nilale nae kitanda kimoja, Si Nikampigia bomba usiku, usiku saa tisa akashtuka, pale ndo kwa mara ya kwanza kumuona mzee akikasirika bila kunipiga, maana akinipiga n msala ugenini, na mimi ilikua ukinigusa tu n mayowe, alibaki anang'ata meno na kusunya, sikupata picha ningekua nyumbani, Mimi wala yeye hatukua na ngua ya kubadili, Asa Mimi si mtoto hilo sio tatzo, kumbuka yeye n kwa Wakwe na hata hajulikani zaid ya babamkwe, akafikiria sana kuna wengne wangemsaidia kwa ku mpa nguo zao ila akahs wasingemtunzia siri. Akajiwa na wazo, nje kulikua kumewashwa moto na watu wengne washalala ikabidi akaote moto zikauke, japo nao ulikua n uamuzi mgumu mtu kama yy na nimgeni umepewa kitanda unakutwa nje unaota moto peke yako usiku? Kwa kibongo bongo hasa kijijini ingetengeneza maswali mengi sana, ilipofika asubuhi akatoka kimya kimya barabarani akaona Boda akaulizia anapoweza nunua nguo , ilibidi asafiri umbali wa zaid ya 30 km kuzifuata dukan hapo mimi ashaniambia ole wangu akirud godoro halijakauka au mtu yeyeto kajua. Bahat nzuri akarud bila mtu yyt kushtukizia ameulamba vizuri na Mimi kanibebea, kwa hasira nakumbuka alifanya kunitupia, Mimi nikabadili akamuita Mother akazifua, kwa bahat hakuna aliyejua ile inshu zaid ya mimi, baba na mama tu, Ile ndo ilikua siku yangu ya mwisho kukojoa. Nina matukio mengi ya ukikojozi ila hilo ndo kubwa, Nilishawahi kukojoa mara mbili vitanda viwili tofaut Yan nimelala na kaka nikakojoa et kukwepa msala nikabadili nguo nikahamia kitanda cha pembeni nako nikapiga bomba. Yani asubuhi nyumba nzima baada ya kichapo wanaishia kucheka , magodoro mawili kaptula mbili mtu mmoja one night.
Malamaaaee Umetisher inabidi tukupe vyeo vyote vya ukikojozi
 
Hahaaaa nimecheka ile mbaya
Kwenye tatizo hilo nilipitia na sipendi hata kukumbuka maana ilifikia kipindi nilijichukia kwa kuona nazidi kufululiza kumwaga kojo na asubuhi mwili huwasha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vikojozi katika ubora wao, kukumbushia enzi co mbaya cku moja moja mnalitililisha tena vitandan
 
Aisee nakumbuka kuna siku nimelimwaga kojo si la kitoto,kitandani nilikuwa peke yangu hakuna wa kumsingizia,nilichofanya baada ya kustuka saa kumi na moja asubuhi ni kujaza nguo kavu pale kitandani na kusepa mapemaa,nilikuwa darsa la kwanza lakin siku hiyo niliwahi mpaka namba,narudi home nakuta godoro lipo nje,nikajua hakuna siri tena,bi mkubwa akaniambia pole mwanangu,najua bahati mbaya na kweli hilo ndio tukio pekee la mkojo ninalolikumbuka ktk maisha yangu.
 
kukjoa ktandan hakukuwai kumuacha mtu salama. mi nlkjoa ugenini nlpstuka ckjua ni saa ngap ila ckulal tena mpk asubuhi nltamn kua mchawi ili niukaushe mkojo kichawi.[emoji56][emoji56]
Aiseee noma,


Nimecheka kishenzi!

Ilinitokea tumetoka sfr na jamaa zangu,tulipoomba kambi,uck nikaota kichan majamaa wananisbiri,,,kuelekea kumaliza ndo naskia pameloa tayar,,,.
Nambie umexhamaliza form4 ndo inakutokea,nilitamsn bora nife cku hiyo,,,,,[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom