Kwa waliokojoa kitandani tu!!

Kwa waliokojoa kitandani tu!!

Me mpk nilipokuja kugundua haka kamtego ka kukiona Choo ndotoni nikukikimbia nikaacha kabisa kujikojolea nilikua nakikimbia choo cha ndotoni ili nikimbie na bakora za asubuh kukikucha asee
 
Mm sijatishiwa kupigwa
Nilitishiwa kuhusu kuimbiwa kindumbwe ndumbwe na kuwekwa kwenye godoro langu nililokojoa nianze kuimbiwa mtaanii kwanza halafu nipelekwe shule tena na godoro langu acha kabisa

Mbona nilikuwa silali vizuri yaani
Kuna ambao wakipigwa wanaacha.Siumeona hata Shunie alivyotishiwa akaacha.
 
Mm sijatishiwa kupigwa
Nilitishiwa kuhusu kuimbiwa kindumbwe ndumbwe na kuwekwa kwenye godoro langu nililokojoa nianze kuimbiwa mtaanii kwanza halafu nipelekwe shule tena na godoro langu acha kabisa

Mbona nilikuwa silali vizuri yaani
😀😀😀😀😀 wapo waliokiri kipigo ndio kilifanya kazi.
 
Back
Top Bottom