Kwa waliokojoa kitandani tu!!

Kwa waliokojoa kitandani tu!!

Mm naomba uniache kabisa yaan kama haujaniona msijifanye watakatifu hapa huyo hali hakuna mtoto yeyote ambaye hajapitia si wa kike wala wa kiume
Mkuu Shunie,

Ni kweli kila mtu amepitia hiyo hali ,lakini kitaalamu zaidi mwisho wa kukojoa inabidi iwe miaka miwili ikizidi sana mitatu ,sasa kama mpaka unaanza shule na bado unajikojolea aisee ni suala la ajabu sana.

Hapo kwa vyovyote lazima mara moja moja utakuwa unalimwaga kojo tu iwe isiwe.
 
Mkuu Shunie,

Ni kweli kila mtu amepitia hiyo hali ,lakini kitaalamu zaidi mwisho wa kukojoa inabidi iwe miaka miwili ikizidi sana mitatu ,sasa kama mpaka unaanza shule na bado unajikojolea aisee ni suala la ajabu sana.

Hapo kwa vyovyote lazima mara moja moja utakuwa unalimwaga kojo tu iwe isiwe.
Hayo unasema wewe hapo sasa ukiambiwa shule unajua shule ipiiii kwa mfano we mtu mzima usipende kujibishana vitu vidogo watu tuna familiar zetu na hayo mambo ni utotoni huko usiniquote tena ujinga hujaona kila mtu katoa ushuhuda wake au uzi unasemaje kujifanya watakatifu tu watu mnafake maisha mpaka kero ebu niache mie
 
SIKU NILIYOMPAGA BABA YANGU MTIHANI MKUBWA YA KUKWEPA AIBU KWA WAKWE


Ilipofika asubuhi akatoka kimya kimya barabarani akaona Boda akaulizia anapoweza nunua nguo , ilibidi asafiri umbali wa zaid ya 30 km kuzifuata dukan hapo mimi ashaniambia ole wangu akirud godoro halijakauka au mtu yeyeto kajua.

Mkuu nikifikiria kipindi ambacho boda boda zimeanza kupiga mzigo hapa nchini, nahisi wewe mpaka sasa bado ni dogo na ukute bado unakojoa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ujue sitaki kukumbuka yaan nilikua naota naenda kukojoa kumbe nalimwaga woiiii siku ya siku Mama akaniambia kesho ukikojoa nakubeba na godoro lako nakutoa nje watoto wenzieo wakuimbie kindumbwe halaf tunaenda shule na huko ukaimbiwe toka siku huyo sijakojoa tena unafanya mchezo na kuimbiwa na kindumbwe ndumbwe chaliya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Mm naomba uniache kabisa yaan kama haujaniona msijifanye watakatifu hapa hiyo hali hakuna mtoto yeyote ambaye hajapitia si wa kike wala wa kiume
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Auntie acha tu sitaki kukumbuka chezea kuimbiwa kikojozi na nguo kaitia moto huyoooo sijui ndio hivyo unabaki kuzomewa na kutiwa masingiii [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] mwanangu simchapii hata nitakua naenda nae taratibu kwa kumuamsha mpaka azoee
 
Hayo unasema wewe hapo sasa ukiambiwa shule unajua shule ipiiii kwa mfano we mtu mzima usipende kujibishana vitu vidogo watu tuna familiar zetu na hayo mambo ni utotoni huko usiniquote tena ujinga hujaona kila mtu katoa ushuhuda wake au uzi unasemaje kujifanya watakatifu tu watu mnafake maisha mpaka kero ebu niache mie
Achana nae huyo auntie yangu, utoto unamsumbua.
 
Auntie acha tu sitaki kukumbuka chezea kuimbiwa kikojozi na nguo kaitia moto huyoooo sijui ndio hivyo unabaki kuzomewa na kutiwa masingiii [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] mwanangu simchapii hata nitakua naenda nae taratibu kwa kumuamsha mpaka azoee
Sijui kwanini tu wazazi walikuwa wanawachapa watoto,utadhani wao hawakupitia hali hiyo!!
 
Watu walifungwa na mpira govi linavutwa lipigwa mpira ukikojoa maumivu lazima usikie
 
Back
Top Bottom