Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Kawaida yake, mbwa ukimjua jina hakusumbi.Anakera sana auntie huyo mtoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida yake, mbwa ukimjua jina hakusumbi.Anakera sana auntie huyo mtoto
Kweli kabisaKawaida yake, mbwa ukimjua jina hakusumbi.
Aisee.Anakera sana auntie huyo mtoto
Aisee binti unanini na mimi ?Kawaida yake, mbwa ukimjua jina hakusumbi.
Babu alitupia samaki hapa tukamshambulia mapema tu, labda umuulize Sakayo huenda kabakisha japo mkiaYupi jaman Mwifwa
Huyo ni aina ya nyoka anapatikana Brazil[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41] ndio manini tena haya we na babu yako mnawekeana
Miaka miwili? Kweli unamaanisha mtoto akifikisha miaka miwili anaacha kujikojolea? Hivi pampers mwisho miaka mingapi na kwanini?Mkuu Shunie,
Ni kweli kila mtu amepitia hiyo hali ,lakini kitaalamu zaidi mwisho wa kukojoa inabidi iwe miaka miwili ikizidi sana mitatu ,sasa kama mpaka unaanza shule na bado unajikojolea aisee ni suala la ajabu sana.
Hapo kwa vyovyote lazima mara moja moja utakuwa unalimwaga kojo tu iwe isiwe.
Binti yangu wa kwanza aliacha kukojoa akiwa na miaka miwili na nusu.Miaka miwili? Kweli unamaanisha mtoto akifikisha miaka miwili anaacha kujikojolea? Hivi pampers mwisho miaka mingapi na kwanini?
Kwa kukufahamisha kujikojolea usingizini kwa watoto mara nyingi inasababishwa na uchovu, unalala hoi sana. Huoni kila mtu kisa chake ni ndoto?
Ndio huyu nyoka kipofuHuyo ni aina ya nyoka anapatikana Brazil
![]()
Nalala na Nguo swala LA Nguo nasema amekojoa hadi umenipata na mimiUlikua ulilala uchi hata wasione mikojo kwenye nguo ulizovaa?
Mimi wa kwangu aliacha na miezi sita.Binti yangu wa kwanza aliacha kukojoa akiwa na miaka miwili na nusu.
Yap na jina lake ni kama ulivyodhani ukashtuka (***** snakes)Ndio huyu nyoka kipofu
Kwanini unapenda kubishana na watoto?Nilikojoa nikiwa mtoto mpk darasa la sita. Sasa hilo suala linamuathiri vipi sasa hivi mimi nina miaka 40 na sikojoi tena kitandani?
Ni kama sikuelewi vile
Hata mimi najishangaa. Naacha kuanzia leo. Sometimes vitoto vinakera mno natamani kuvizaba vibao lkn ndo hivyo mkono mfupi haufiki hukoKwanini unapenda kubishana na watoto?