Kwa waliokosa mkopo

Kwa waliokosa mkopo

Kuna watu wa me chaguliwa koz za non priority na wamepata mkopo na wengn wamechaguliwa koz za priority hawana. mm sijaelewa bado labda mkopo ni bahati tu.

mimi coz yangu non priority na kuna wtu was priority nmewazid percent.. mkopo ni Bahat mkuu
 
Umasikini jeuri ni msemo tu usiuweke kwenye akili...ushaambiwa course ni non priority kwenye mkopo..halafu we unaiomba na unajua huna hata hela ya kulipia direct cost chuoni...

Haya kajilipie basi...masikini hawi jeuri, mtakufa kwa stress na presha za utotoni...kuna priority na wmekosa Tena education.. na kuna non priority kam mim na tumekula pesa ndefu tu..kikubwa serkali ni lazma kumpa kila mwanafunz mkopo regardless anasoma coz priority au non
 
Nimefunguka akili nimejua saivi ni.kwanini wanafunzi wa kike wa chuo.huwa wanajiuza na wanaume wanajiingiza kwenye uhusiano.wa kimapenzi.na wamama watu wazima wenye pesa zao embu fikiria maisha ya chuo na gharama za maisha kwa ujumla zilivo juu alafu unamnyima mtoto wa masikini.mkopo unategemea ataishi vipi pasipo kujiingiza katika vitendo viovu il aweze kupata hela ya kujikimu sio kua natetea maovu au namaanixha huwez kujikimu mpaka ufanye maovu upate hela la hasha ila nina imani.kua mtu huwez kusoma chuo tena course ngumu.inayotaka muda mwingi kuisoma kwa nguvu zote uende kutafuta hela kwa kufanya kazi.mahal kama tempo then ukapata hela za kukidhi mahitaji yote ya chuo coz kuna wanafunzi wengne hujilipia hadi ada kisa umasikin sasa utaweza kwel kupata kaz ya kukupa hela ya ada chakula malaz mavaz vocha cafe nauli na mambo.mengne na bado.uku.masomo.yanakutinga darasan? huu.ni.upuuz serikal haiwez kukosa hela ya kuwakopesha wanafunzi ikapata hela za posho za vikao visivyo na manufaa yeyote ambavyo vinakaliwa tokea mwaka 70 serikal hiyohiyo ina hela za kusafirixha viongoz nje kila siku na kujilipa mixhahara ya kufuru pia hii bodi ya mikopo cjui imetumia vigezo gani kutoa hii mikopo koz kuna course zilikua ni.loan priorities but tuliozijaza hatujapata ata mia na kuna course zilikua non priority but waliojaza wana mikopo adi.100% je apo wametumia vigezo gani?? huu ni.ubabaishaj usio na mantik yeyote inakuaje mtu anapata mkopo 98% kasoma private skulz from kindergarten to form six particulars za wazaz wake ni nzur baba doctor muhimbil mama professor udsm na ana division 3 alafu course hiyohiyo mtu mwenye dv 1 kasoma kayumba kuanzia chekechea had kidato cha sita particulars za wazaz wake mama ni.mama wa nyumban na baba ni.mkulima anakosa mkopo kabisa hapa helsb mwaka huu ndio wametumia mfumo gani au sadakalawe? nimeumia sana kukosa mkopo cjui ntafanyaje lakin tutakutana mwakani kwenye uchaguzi :'( :'( :'(.:'(.asanteni wajumbe unaeza ukanipa pole au tukapeana pole kwa hili janga 0656879668

ila na nyie fresh mnajisahau mno hadi wazazi mnawapiga vizinga tena sio wewe lakin wenye tabia kama hii waache
 
Moja ya viongoz wa loan board amehojiwa kwann wanafunzi wengi mwaka huu wamekosa mkopo?
Akajibu kuwa wengi wao wamesomea shule za private zenye ada kubwa hivyo wazaz wao wanaweza kuwalipia ada na mahitaji mengine pindi wawapo chuon.Bora pesa iliyopo tuwapatie ambao wana uwezo wa chini kabisa.
MWISHO WA KUNUKUU
 
Namuunga mkono, mzazi aliyelipa Ada milioni tatu sekondari hastahili hata kujaza form ya kuomba mkopo. Nakumbuka yule mtoto wa Kikwete alikuwa anasoma muhimbili alipata mkopo asilimia mia
 
Namuunga mkono, mzazi aliyelipa Ada milioni tatu sekondari hastahili hata kujaza form ya kuomba mkopo. Nakumbuka yule mtoto wa Kikwete alikuwa anasoma muhimbili alipata mkopo asilimia mia

Mmhhh! Hyo ela itakuwa alikuwa anaitumia kwa ajili ya kununulia mafuta ya gar tu.
 
wapo wengi wamesoma kata wamefaulu vizur kozi waloomba ni priority na wamekosa
 
Mimi nimesoma St. KAYUMBA Course niliyochaguliwa ni priority Bsc Education ila nimenyimwa mkopo.
 
mimi coz yangu non priority na kuna wtu was priority nmewazid percent.. mkopo ni Bahat mkuu

priority ni kigezo ila ili kubalance huwezi wanyima wote Wa non priority but waliopata wengi ni wale wa priority.
 
Umasikini jeuri ni msemo tu usiuweke kwenye akili...ushaambiwa course ni non priority kwenye mkopo..halafu we unaiomba na unajua huna hata hela ya kulipia direct cost chuoni...

Haya kajilipie basi...masikini hawi jeuri, mtakufa kwa stress na presha za utotoni...kuna priority na wmekosa Tena education.. na kuna non priority kam mim na tumekula pesa ndefu tu..kikubwa serkali ni lazma kumpa kila mwanafunz mkopo regardless anasoma coz priority au non
kaa pembeni fresher ........
 
Habari wakuu...!
Bodi ya mikopo imeendelea kujipambanua kwa kuonyesha kuwa haipo kwaajili ya kuwasaidia wale wasio na uwezo wa kujisomesha.Kwani wengi waliokosa mikopo ni watoto wa walala hoi,waliosoma shule za kata.Pia imewatenga yatima wakati walitegemea kupata ukombozi kutoka kwao.Hii inathibitisha kuwa watoto wa masikini na yatima hawastahili kupata elimu ya juu.
 
Mimi sisemi mkuu, hii ni zaidi ya ugaidi, ujangili na unyang'anyi, tumebaki kama samaki machozi yake hayaonekani yote yanaenda na maji, hata alie kutwa nzima! duuuuh! tanzania kiboko!
 
Poleni vijana katika hili wanasiasa wote wapo kimya just because suala hili haliwahusu.
 
Yaan am an orphan sina baba wala mama nimeomba mkopo hii mara ya pili nimenyimwa sijui vigezo vyakupata mkopo ni nin ,seariously am hurting...am staying with my aunt anasomesha watu wa nne wote vyuo vikuu...hii ni fair kwel nime wapa 60000....na12000,yakutumia hii sikutuibia....kama vipi wawe wana list watu wao wanaotakiwa kuomba nakupewa mkopo
 
Back
Top Bottom