Kwa waliomaliza form 4, kama una roho ndogo usiende kusoma special schools (shule za vipaji maalumu)

Kwa waliomaliza form 4, kama una roho ndogo usiende kusoma special schools (shule za vipaji maalumu)

Attachments

  • Screenshot_20240126-134439_WPS Office.jpg
    Screenshot_20240126-134439_WPS Office.jpg
    129.1 KB · Views: 18
Kuna jamaa tulisoma nae alipata division 3 ya point nne, jamaa alipiga A ya maths,A chem, B physics alafu Akala umeme(F) ya GS....

Ukipata F Gs automatically unakuwa na division three... Aisee niliangalia matokeo yake kwa uchungu sana... Uzuri chuo hawazingatii huu ujinga akapata kozi Kali tu udsm ila ndo hivo yaani cheti kinakua kimechafuka
 
WE NI MWONGO EI KAPIGA 100% we ndio ulisahihisha mtihani wake, kweli njia ya mwongo fupi. Kwanza Kisimiri siyo ya vipaji maalum
Walitangaza jamaa kavunja rekodi ya hesabu Hio mwaka 2010.... Alafu kama hujasoma ilboru habari za kisimiri huwezi kuzijua.... Kisimiri bila point 4 kwenye combi hunusi pua hapo
 
Sisi kuna mwalimu alikua anaonekana tarehe 22 mpaka 28 akipata mshahara ameenda shule yake ya private yaan alikua anatufundisha sisi kajamba nani halafu yuko private part time !!!!
 
Sisi kuna mwalimu alikua anaonekana tarehe 22 mpaka 28 akipata mshahara ameenda shule yake ya private yaan alikua anatufundisha sisi kajamba nani halafu yuko private part time !!!!
Walimu wengi serikalini advance hawafundishi, afu pia wanafunzi wa advance wengi walikua hawataki kupigwa pindi na walimu..walikua wanaona kama wanapotezewa muda
 
Sitaki hata kukumbuka ule mziki wa mkate wa physics....kwanza nilijilaumu kwanini nimeenda kusoma PCB..nawalaumu walimu kwa kunipa bichwa kuwa unaweza ww lazima uende PCB...nilochokua naweza ni Biology tuu....hayo mengine ni practical ndo zilikua zinanisaidia...Phyisics ngumu nyiee...mpk leo sijui hata kuunga balbu iwake...
Ww ni mmoja watu waliogeukwa na physics bila shaka!!!
 
Hizi shule(mzumbe,pugu,kisimiri,ilboru,kibaha and the likes) japokua siku izi nyingi zimepoteza sifa zake aisee kama una moyo mwepesi usiende huko unaweza kupata depression au pressure ukashindwa kusoma

Miaka Hio mwisho wa miaka ya 2000 niliripoti Moja ya shule tajwa hapo combination ya pcm... Kipindi hicho special school wamejaa watoto wa dar kutoka (kibaha, Azania, pugu) aisee Hawa madogo wana sifa kishenzi.... Mtu anakuja kuripoti form 5 ameshamaliza topic zote za form 5 anakaribia kumaliza za form 6

Sasa si matozi tulivyomaliza form 4 vitabu tukatupa Kule mpaka siku ya kuripoti hujawahi kupiga pindi lolote... Unakutana na vitoto vimesoma sijui mchikichini huko aisee wamefuta topic zote, aisee nilipata presha sana mpaka kuzoea ile Hali.... Nakuta madogo wanapiga integration kama hawana akili, ukikaa bwenini wanaulizana kwa nguvu reaction za organic. Chemistry huko....

Dah yaani mwezi wa kwanza form 5 watu wanasolve necta review nikasema hapa nimeyatimba... Aisee ile presha ya ku catch up nilipata shida Sana sio Siri... Ukiwa na roho nyepesi unaweza kukata tamaa Moja kwa Moja

Kuna dogo tumeingia form 5 alikua anaitwa T.O (Tanzania one) alitukimbiza wote form 4 aisee huyu Jamaa mpaka Leo hua namuogopa. Hua namwambia hata hii kazi ya u engineer unayofanya unastahili kua somewhere else una potential kubwa sana, picha linaanza tumeingia form 5 hapo.... Sasa form 6 walikua wanafanya fitness tests (hii anatokea mwanafunzi mmoja au wawili wanatunga mtihani alafu wengine wanafanya japo sio lazima)

Ujinga wa hii mitihani wanafunzi wanajua kukomoana yaani maswali yote unakuta ya kibabe... Kuzungusha 0 huku ni kawaida tu ndo maana wengi walikua hawataki huu ujinga, dogo bana tunafika form 5 kaskia form 6 wanafanya fitness test ya physics dogo akazamia akapiga Pepa... Matokeo yanatoka form 6 karibu wote wamefeli dogo kawakimbiza.... Wote wanaulizana hili jina nani mbona hatumjui... Kuja kuulizia wakaja kugundua ni dogo wa form 5 aisee jamaa walimind kinoma akapigwa marufuku kabisa kusogeza pua kwenye fitness tests za form 6

Huyu dogo tulipofika form 6 sidhani kama aliwahi kukaa akasoma, jamaa alikua anakaa zake class watu wamepanga foleni na maswali Yao yaliowashinda dogo anapiga yote tu hajali kama ni ya physics, chemistry, pure au bam ye anasolve tu. Alikuja kua Tanzania one tena form 6 jamaa walimtangaza hesabu paper 1 na 2 zote alipiga 100%.

Huku kama una roho ndogo sio pa kwenda mi nusura panishinde nilitaka nirudishe mpira kwa kipa(kuhamia private)
Acha uoga dogolasi.
 
Haha ndo huyo nimesoma nae mkuu, alikua na jamaa yake anaitwa shaka wanafatana muda wote, japo shaka hakuingia top 10 ila alipiga one ya tatu safi kabisa.... Japhet ni shida sana.... Jamaa hajawahi kukaa kusoma yeye alikua analetewa maswali tu anasolve
walkuja telecom hawa enzi hizo telecom haishikiki na bado japhe aliongoz (first class honours) ila michael shaka alkuw wakawaida sana
 
Umenikumbusha kijana mmoja anaitwa Rajabu ndegeulaya.

Tuna report advance Azania yeye alipitisha tangazo la kuwa anafundisha tuition Kwa WANACHUKUA PHYSICS, CHEMISTRY NA PURE MATHEMATICS.

WATU walizani ni form six kumbe ni form five alishamaliza topic zote mpaka za six basi ikabidi tuendelee kupiga mapindi kwa Ndegeulaya.
Babuuu
 
Haha ndo huyo nimesoma nae mkuu, alikua na jamaa yake anaitwa shaka wanafatana muda wote, japo shaka hakuingia top 10 ila alipiga one ya tatu safi kabisa.... Japhet ni shida sana.... Jamaa hajawahi kukaa kusoma yeye alikua analetewa maswali tu anasolve
Jamaa ni programmer mzuri sana.
Yuko vyedi kwenye hili soko la software development.
 
Back
Top Bottom