Kwa waliomaliza form 4, kama una roho ndogo usiende kusoma special schools (shule za vipaji maalumu)

Kwa waliomaliza form 4, kama una roho ndogo usiende kusoma special schools (shule za vipaji maalumu)

Huko mwaka NECTA walikua na hasira na sisi. One za masomo yote zilikua hazizidi 350 Tanzania yote aisee.
Zilikuwa 286 TZ nzima na zingekuwa chini ya hapo.
Marian girls wengi walipata division one kupitia somo la divinity, utakuta .tu amepata F ya Phys lakini ana A ya divinity anawekewa Ile A ya divinity

Ila Cha ajabu zaidi eti Islamic Knowledge na Computer zilikuwa hazihesabiki kuhesabu division kwenye combination husika na huo ndio ukawa mwisho wa divinity kuhesabiwa kwenye kupata division.
 
Hiyo D ya Physics hawezi pata comb ya PCB.
Kama ana Div 1, na kwenye combination za sayansi kama PCM au PCB Somo moja ana D na mawili ana C anaruhusiwa kwenda advance kwa kozi hizo nilizotaja provided ana Div One.
 
Umenikumbusha kijana mmoja anaitwa Rajabu ndegeulaya.

Tuna report advance Azania yeye alipitisha tangazo la kuwa anafundisha tuition Kwa WANACHUKUA PHYSICS, CHEMISTRY NA PURE MATHEMATICS.

WATU walizani ni form six kumbe ni form five alishamaliza topic zote mpaka za six basi ikabidi tuendelee kupiga mapindi kwa Ndegeulaya.
Dah nampata huyooo kipnd yupo form five me nipo zang form two azaboy apo
 
Umenikumbusha kijana mmoja anaitwa Rajabu ndegeulaya.

Tuna report advance Azania yeye alipitisha tangazo la kuwa anafundisha tuition Kwa WANACHUKUA PHYSICS, CHEMISTRY NA PURE MATHEMATICS.

WATU walizani ni form six kumbe ni form five alishamaliza topic zote mpaka za six basi ikabidi tuendelee kupiga mapindi kwa Ndegeulaya.
Sema alipga kawaida sn necta ya six
 
Sa ivi Kuna shule nilikuta karibia darasa zima Lina 1.3 pcm na pcb .. nikasema hii sasa ishakua dharau
Necta wanazingua sana aisee.. imagine kuna dogo nlkua namkimbizia phyz na namba dogo alkua shallow sn mwisho wa cku necta kapga one ya nne.. nkabaki nashangaa japo nmempka mwnywe
 
Umenikumbusha kijana mmoja anaitwa Rajabu ndegeulaya.

Tuna report advance Azania yeye alipitisha tangazo la kuwa anafundisha tuition Kwa WANACHUKUA PHYSICS, CHEMISTRY NA PURE MATHEMATICS.

WATU walizani ni form six kumbe ni form five alishamaliza topic zote mpaka za six basi ikabidi tuendelee kupiga mapindi kwa Ndegeulaya.
Dah bila shaka dogo kaajiliwa local government...ni engineer somewhere...
 
Sa ivi Kuna shule nilikuta karibia darasa zima Lina 1.3 pcm na pcb .. nikasema hii sasa ishakua dharau
Halafu hao waliopata hizo alama ni weupe tu...Nina shemeji yangu alikimbia shule PCB baada ya kutoka na Saba olevel...zamani mtu anayepiga Saba olevel na tatu advance wanakuwa smart kweli kweli..sio sasa..ni almshaka..labda kwa government.... lakini private wengi ni almshakaaa Sanaa
 
Elimu ya kukariri maswali na kujibu, but ukimleta uraiani ana chemka vibaya sana life linampiga
 
Hata upewe miaka 20 ya kukaririr na unalipwa unaweza usiwe Tz one, to be Tz one there a kind of bless kutoka kwa Mungu kwanza...Don't underrate.
I'm not trying to underrate brother don't quote me wrong I'm just stating how to improve and make it more better than it is.
 
Hizi shule(mzumbe,pugu,kisimiri,ilboru,kibaha and the likes) japokua siku izi nyingi zimepoteza sifa zake aisee kama una moyo mwepesi usiende huko unaweza kupata depression au pressure ukashindwa kusoma

Miaka Hio mwisho wa miaka ya 2000 niliripoti Moja ya shule tajwa hapo combination ya pcm... Kipindi hicho special school wamejaa watoto wa dar kutoka (kibaha, Azania, pugu) aisee Hawa madogo wana sifa kishenzi.... Mtu anakuja kuripoti form 5 ameshamaliza topic zote za form 5 anakaribia kumaliza za form 6

Sasa si matozi tulivyomaliza form 4 vitabu tukatupa Kule mpaka siku ya kuripoti hujawahi kupiga pindi lolote... Unakutana na vitoto vimesoma sijui mchikichini huko aisee wamefuta topic zote, aisee nilipata presha sana mpaka kuzoea ile Hali.... Nakuta madogo wanapiga integration kama hawana akili, ukikaa bwenini wanaulizana kwa nguvu reaction za organic. Chemistry huko....

Dah yaani mwezi wa kwanza form 5 watu wanasolve necta review nikasema hapa nimeyatimba... Aisee ile presha ya ku catch up nilipata shida Sana sio Siri... Ukiwa na roho nyepesi unaweza kukata tamaa Moja kwa Moja

Kuna dogo tumeingia form 5 alikua anaitwa T.O (Tanzania one) alitukimbiza wote form 4 aisee huyu Jamaa mpaka Leo hua namuogopa. Hua namwambia hata hii kazi ya u engineer unayofanya unastahili kua somewhere else una potential kubwa sana, picha linaanza tumeingia form 5 hapo.... Sasa form 6 walikua wanafanya fitness tests (hii anatokea mwanafunzi mmoja au wawili wanatunga mtihani alafu wengine wanafanya japo sio lazima)

Ujinga wa hii mitihani wanafunzi wanajua kukomoana yaani maswali yote unakuta ya kibabe... Kuzungusha 0 huku ni kawaida tu ndo maana wengi walikua hawataki huu ujinga, dogo bana tunafika form 5 kaskia form 6 wanafanya fitness test ya physics dogo akazamia akapiga Pepa... Matokeo yanatoka form 6 karibu wote wamefeli dogo kawakimbiza.... Wote wanaulizana hili jina nani mbona hatumjui... Kuja kuulizia wakaja kugundua ni dogo wa form 5 aisee jamaa walimind kinoma akapigwa marufuku kabisa kusogeza pua kwenye fitness tests za form 6

Huyu dogo tulipofika form 6 sidhani kama aliwahi kukaa akasoma, jamaa alikua anakaa zake class watu wamepanga foleni na maswali Yao yaliowashinda dogo anapiga yote tu hajali kama ni ya physics, chemistry, pure au bam ye anasolve tu. Alikuja kua Tanzania one tena form 6 jamaa walimtangaza hesabu paper 1 na 2 zote alipiga 100%.

Huku kama una roho ndogo sio pa kwenda mi nusura panishinde nilitaka nirudishe mpira kwa kipa(kuhamia private)
Yana mwisho haya mkuu. Lakini cha muhimu shukuru Mungu ulimaliza vizuri na sasa mkono unaenda kinywani. Hizi ndizo elimu zetu za bongo.
 
Wahanga wakubwa wa nacte ni 2012 4m 4 na 2013 4m 6, lilipita gharika ikabidi warudie rudie kupachika pachika tu, wapo waliobahatika na wengine walilalia kuti kavu. Ndio ikaletwa BRN baada ya hapo ufaulu ni kupaa tu toka hapo mpka leo.
 
Mimi nakumbuka miaka ya 2005 mimi na washkaji wangu wawili tumetokea shuke moja ya kata tukaenda Ilboru kufanya discussion hapo tupo form 4..

Tukaanza kusolve maswali tunapiga paper nzima discussion.. kwenye vipengele vya multiple choice bwana nilijifunza kitu sana kwao na kilinisaidia sana.

Tulisove paper moja tukafika kwenye kipgele hicho cha multiple choice tukakutana na swali ambalo majibu yake yanatuchanganya jamaa wa ilboru akamtuma mwenzake kwenda kufuata kitabu ili tupate jibu lake.. kitabu kililetwa akamwamvia fungua ukurasa flani tukasoma ukurasa huo mpaka tukapata jibu sahihi.

Wakati huo kule kwetu katani kama swali halieleweki tunatafuta jibu kwa kura au kufumba macho kisha unapandisha mkono unashusha taratibu kuelekea eneo la swali kidole ikiangua A tunahitimisha kuwa ndiyo jibu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].

Ila kuanzia pale nilijifunza kitu na ilinisaidia sana na nikafaulu bhana
 
Pcb ilikua mziki sana ukizingatia bam nayo sio ya kitoto

Practical nilikua bingwa wa kufoji practical aisee, necta nilipangiwa sehemu ya kuanza kufanya practical ya umeme yule msimamizi alinichek mpaka akacheka, yaani sikuunga kitu chochote jamaa anakuja kuniambia muda unaenda mbona hufanyi practical anakuta ndo namalizia kuchora graph nishamaliza saa nyingi...

Akaishia kucheka tu ananiuliza sasa we hizi data umezipataje
Mimi aliniulizaga hivyo hivyo nikamwambia Mambo magumu sijui chochote akanambia pole huku Mimi nishatafuta data siku nyingi kwa kifoji
 
Wahanga wakubwa wa nacte ni 2012 4m 4 na 2013 4m 6, lilipita gharika ikabidi warudie rudie kupachika pachika tu, wapo waliobahatika na wengine walilalia kuti kavu. Ndio ikaletwa BRN baada ya hapo ufaulu ni kupaa tu toka hapo mpka leo.
Form six 2007 ulikuwa Bado hujazaliwa?
 
Back
Top Bottom