Kwa waliomaliza form 4, kama una roho ndogo usiende kusoma special schools (shule za vipaji maalumu)

Kwa waliomaliza form 4, kama una roho ndogo usiende kusoma special schools (shule za vipaji maalumu)

Alikua headboy wangu MKUU nimesoma nae O level na Na advance nimepiga nae yeye alipiga PCM Mimi nilikua napiga EGM tulikua tunakutana kwenye Pure mathematics.
Nina washkaji zangu wakali wa mathematics mwaka huo waliondoka na C ,hata ndegeulaya alipiga C ,ule mtihani wa mwaka 2013 ulikuwa wa laana aisee , Tanzania nzima A za advance mathematics zilikuwa 12

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Nina washkaji zangu wakali wa mathematics mwaka huo waliondoka na C ,hata ndegeulaya alipiga C ,ule mtihani wa mwaka 2013 ulikuwa wa laana aisee , Tanzania nzima A za advance mathematics zilikuwa 12

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Sa ivi Kuna shule nilikuta karibia darasa zima Lina 1.3 pcm na pcb .. nikasema hii sasa ishakua dharau
 
Kwa namna ulivyoandika sidhani kama kweli umesoma Kibaha, Mzumbe au Umenyeni Ilboru...(sorry)

Umeandika uzi kwa uoga sana, tabia ambazo waliosoma hizo shule hawakuwa nazo atleast kwa miaka hiyo...
Haha jamaa umenikumbusha jina mmenye..... Vipi ulipita hapo nikupe 1,2,3 za hapo?

Afu usikariri, si mwaka wetu Kuna watu wawili walipata div 4... Sio kwamba special school Kila mtu anatoboa chief
 
Sitaki hata kukumbuka ule mziki wa mkate wa physics....kwanza nilijilaumu kwanini nimeenda kusoma PCB..nawalaumu walimu kwa kunipa bichwa kuwa unaweza ww lazima uende PCB...nilochokua naweza ni Biology tuu....hayo mengine ni practical ndo zilikua zinanisaidia...Phyisics ngumu nyiee...mpk leo sijui hata kuunga balbu iwake...
 
Siku Moja nilienda kibaha kujisomea maana nilikua na mshikaji pale, aisee saa 5 naenda kulala watu wananishangaa, nikasema hii elimu siyo mateso,
Kuna dogo alikua nyuma yetu mwaka mmoja walikua wanamuita CNN, kuja kuulizia kwanini naambiwa jamaa anapumzika mchana, usiku hajawahi kulala 😃
 
Dah mzee umenikumbusha mbali sana, me nilienda nimesoma subtopics 3 tu za mechanics.

Aisee kuna majamaa wana mikwara sana. Sema huwa namshukuru mchizi wangu mmoja hivi dah alinisema sana nilipotaka kuhama shule.
Halafu mwisho wa siku nkatoka na div 1 ya mwisho kwa sasa nipo kwenye waya wa mama kizimkazi.
 
Siku Moja nilienda kibaha kujisomea maana nilikua na mshikaji pale, aisee saa 5 naenda kulala watu wananishangaa, nikasema hii elimu siyo mateso,
Kuna watu walienda shule kusomea kijiji...yani kuna dada namkumbuka alikua anasoma mpk akapinda mgongo kila ukikutana nae yuko speed..kula anakula kama anafukuzwa awahi kusoma..siku hizi ni daktari wa macho...
 
Dah mzee umenikumbusha mbali sana, me nilienda nimesoma subtopics 3 tu za mechanics.

Aisee kuna majamaa wana mikwara sana. Sema huwa namshukuru mchizi wangu mmoja hivi dah alinisema sana nilipotaka kuhama shule.
Halafu mwisho wa siku nkatoka na div 1 ya mwisho kwa sasa nipo kwenye waya wa mama kizimkazi.
Hilo la kufaulu tena div 1 ndiyo la muhimu, hao wenye mikwara huenda kuna ambao hata uliwazidi.
 
Sitaki hata kukumbuka ule mziki wa mkate wa physics....kwanza nilijilaumu kwanini nimeenda kusoma PCB..nawalaumu walimu kwa kunipa bichwa kuwa unaweza ww lazima uende PCB...nilochokua naweza ni Biology tuu....hayo mengine ni practical ndo zilikua zinanisaidia...Phyisics ngumu nyiee...mpk leo sijui hata kuunga balbu iwake...
Pcb ilikua mziki sana ukizingatia bam nayo sio ya kitoto

Practical nilikua bingwa wa kufoji practical aisee, necta nilipangiwa sehemu ya kuanza kufanya practical ya umeme yule msimamizi alinichek mpaka akacheka, yaani sikuunga kitu chochote jamaa anakuja kuniambia muda unaenda mbona hufanyi practical anakuta ndo namalizia kuchora graph nishamaliza saa nyingi...

Akaishia kucheka tu ananiuliza sasa we hizi data umezipataje
 
Dah mzee umenikumbusha mbali sana, me nilienda nimesoma subtopics 3 tu za mechanics.

Aisee kuna majamaa wana mikwara sana. Sema huwa namshukuru mchizi wangu mmoja hivi dah alinisema sana nilipotaka kuhama shule.
Halafu mwisho wa siku nkatoka na div 1 ya mwisho kwa sasa nipo kwenye waya wa mama kizimkazi.
Yaani mi nilikua naulizia naambiwa physics topic 3 tu form 5, chemistry topic 2 tu nikasema hii elimu kitonga sana.... Aisee kufika nilichoka... Hio mechanics mpaka uimalize
 
Umenikumbusha kijana mmoja anaitwa Rajabu ndegeulaya.

Tuna report advance Azania yeye alipitisha tangazo la kuwa anafundisha tuition Kwa WANACHUKUA PHYSICS, CHEMISTRY NA PURE MATHEMATICS.

WATU walizani ni form six kumbe ni form five alishamaliza topic zote mpaka za six basi ikabidi tuendelee kupiga mapindi kwa Ndegeulaya.
Nafurahi kugundua kuwa nakujua na vile ulisema wewe ni ngumi mkononi basi mpaka hapa wewe mimi nakujua vilivyo ndugu yangu .

Mwenzio mbali na kurukaruka ila nilienda Muhimbili na badae huko nje vipi mwanangu ulitobolea wapi mzee baba ?

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom