Mrs Besyige
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 1,040
- 2,923
🙌🙌🙌Organic chemistry shikamoo, Kuna dogo aisee alimeza organic yaani akawa kama kichaa anatembea anaongea mwenyewe maswala ya chemical reactions tu😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙌🙌🙌Organic chemistry shikamoo, Kuna dogo aisee alimeza organic yaani akawa kama kichaa anatembea anaongea mwenyewe maswala ya chemical reactions tu😃
Mkuu pugu hapo nimewaweka kwa makosa, ila waliosoma ilboru wanajua mziki wa kisimiri... Hiki kishule kilikua Kijijini huko ila miaka yetu for ten consecutive years hawakuwahi kutoka top 10 kitaifa Hawa....Miaka ya tisini tulikuwa tunazungumzia Mzumbe, Ilboru, Kibaha na Tabora Boys (kwa wavulana), na Kilakala, Tabora girls na Msalato (kwa wasichana). Kumbe wenzetu mkaja kuongezewa na "pugu, kisimiri, and the likes"!!! No wonder bado najiuliza hii kauli ya "Miaka Hio mwisho wa miaka ya 2000 niliripoti..." inamaanisha nyakati zipi!!
[emoji16][emoji16]Sa ivi Kuna shule nilikuta karibia darasa zima Lina 1.3 pcm na pcb .. nikasema hii sasa ishakua dharau
Daa hatimaye ndoto zake zimetimiaKuna watu walienda shule kusomea kijiji...yani kuna dada namkumbuka alikua anasoma mpk akapinda mgongo kila ukikutana nae yuko speed..kula anakula kama anafukuzwa awahi kusoma..siku hizi ni daktari wa macho...
Inatokea mara chache, ni kawaidayupo dogo alirudi advance ya alipomalizia 4 , na alitoka na A zote 11 olevel ila palimshinda special schools
Hili tatizo lilikuwa pale Azania, yaani unakuta Mwalimu wa Book keeping tena ni Mwanaume yuko busy na kuuza Maandazi 😂😂😂Tatzo la walimu wa specials schools hawafundishi, wanapiga lecture TU,
Na wako bize na miradi yao mbalimbali mitaani, hawana njaa njaa sana ndo maana uchagua wanafunzi cream.
Kama ulizoea spoon-feeding lazma uteseke
Nj kweli kbsa huyo ndegeulaya nilimsikia Kuna Danny kitalika ,Kuna James ijumba mwitondi wakali hao hata kama huwajui lakini majina unasikiaZamani kulikua na spirit sana unakuta wababe wote wa hesabu, au labda physics wanajulika kwa majina hata kama husomi nae habari utazipata tu
IPO nami nilibance nikaona hiyo imetiki sasa yeye anadai PCB nikamwambia haiwezekani kwa Sie wahenga A level 90s huko nikashangaa kuwa tcha wake amemwambia possibleCBG au siku hizi haipo?
Na kuna Jamaa alikuwa anaitwa Ibrahim Jacob (RIP) alikuwa anasoma PCM Olevel lakini alikuwa anapiga Pindi la Advance Math Mchikichini 😂😂😂Rajabu juma ndegeulaya ,o'level alipiga na additional mathematics aisee alisoma azania na akarudi hapo hapo
NI wengi sana mkuu, na walishangazwa sana ilikuwaje nkapata div 1 maana sikuwa mtu wa kusoma muda mrefu sana ukizingatia na pesa ya tuition ilikuwa chenga, mara nyingi washikaji tu walinifundsha na kiukweli nawashukuru mpaka leo.Hilo la kufaulu tena div 1 ndiyo la muhimu, hao wenye mikwara huenda kuna ambao hata uliwazidi.
Hgk hamna sio!!Rah ya huu Uzi watu wote wamesoma PCM PCB na wamesoma izo shule Maalum [emoji23]
Huyo alifariki akiwa form five mwanzoni au?Na kuna Jamaa alikuwa anaitwa Ibrahim Jacob (RIP) alikuwa anasoma PCM Olevel lakini alikuwa anapiga Pindi la Advance Math Mchikichini [emoji23][emoji23][emoji23]
we soma comments 😂 JF Raha sanaHgk hamna sio!!
Kwa ufaulo huo mwambie aache kulazimisha pcb aisee.... Kuna watu waliingia pcb na point 4 A,A,B baada ya miezi miwili mtu anaomba poo anataka kuhama combi..... Aisee sisemi kwa ubaya ila Kama o level phys anapata D, aisee advance si ata struggle sana mkuuIPO nami nilibance nikaona hiyo imetiki sasa yeye anadai PCB nikamwambia haiwezekani kwa Sie wahenga A level 90s huko nikashangaa kuwa tcha wake amemwambia possible
Nikifanya paper ya physics ila pendulum in swing nusu kamba nzima nusu inaishia njiani.Pcb ilikua mziki sana ukizingatia bam nayo sio ya kitoto
Practical nilikua bingwa wa kufoji practical aisee, necta nilipangiwa sehemu ya kuanza kufanya practical ya umeme yule msimamizi alinichek mpaka akacheka, yaani sikuunga kitu chochote jamaa anakuja kuniambia muda unaenda mbona hufanyi practical anakuta ndo namalizia kuchora graph nishamaliza saa nyingi...
Akaishia kucheka tu ananiuliza sasa we hizi data umezipataje