Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Mimi ujuzi wangu wa Kuzungusha shingo kwa haraka sana na kukusanya majibu ulinifikisha mbali sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nikweli unajua hata mimi nimepiga PGM [emoji23]Mkuu hapa watu wanakumbushana tu mambo waliopitia Wala sio kwa ubaya, umeona hapo juu Kuna watu kupitia huu uzi wamejuana....
Ko ni Kama channel 😄😂😂Kuna dogo alikua nyuma yetu mwaka mmoja walikua wanamuita CNN, kuja kuulizia kwanini naambiwa jamaa anapumzika mchana, usiku hajawahi kulala 😃
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ko ni Kama channel [emoji1][emoji23][emoji23]
Kuna dogo nyuma yetu alikua anasoma pcbm.... Yaani physics, chemistry, biology na pure mathematics.... Na bam juu nikawa namwambia ikifika necta utakataliwa kufanya mtihani wa pure mathematics maana hawawezi ruhusu usome masomo manne, aisee sijui ilikuaje nilikuja sikia aliruhusiwa kufanya mitihani yoteNa kuna Jamaa alikuwa anaitwa Ibrahim Jacob (RIP) alikuwa anasoma PCM Olevel lakini alikuwa anapiga Pindi la Advance Math Mchikichini 😂😂😂
Ni "advanced"Hakika sijawah kuelewa hii level[emoji23][emoji23][emoji23]
Alienda kusoma Chuo India aliporudi akagongwa na gari ndo akapatwa na umauti. Huyu Mwamba alikuwa ni Soma soma muda wote ana mikate ya Physics mkononi.
Practical rahisi kufoji ilikua hii, mi sikulishika hata Hilo dude... Afu Kuna g unachezesha kidogo usije weka 9.8 kamili😃😃Nikifanya paper ya physics ila pendulum in swing nusu kamba nzima nusu inaishia njiani.
Nilitengeneza graph haina kosa hata moja mpka mzimamizi akacheka. Nilichofanya ni kuunga vile vifaa then nkaiacha pendulum inatembea me najaza data tu. Mpka nkapata g=9.812.
Mkuu shukrani sana kwa ushauri naufanyia kazi once wakipanga shule au hata akipata chuo cha kati Afya tutapambana tuKwa ufaulo huo mwambie aache kulazimisha pcb aisee.... Kuna watu waliingia pcb na point 4 A,A,B baada ya miezi miwili mtu anaomba poo anataka kuhama combi..... Aisee sisemi kwa ubaya ila Kama o level phys anapata D, aisee advance si ata struggle sana mkuu
Ujinga wa kuchezesha sikuwa nao aiseew niliweka kama ilivyo nahisi ile prac nilipata zote😄Practical rahisi kufoji ilikua hii, mi sikulishika hata Hilo dude... Afu Kuna g unachezesha kidogo usije weka 9.8 kamili😃😃
Ile Ndiyo ilikuwa elimu sasa ila hii ya sasa hivi eti watoto wanapata div one kama njugu basi nacheka huki napata uchungu nikikumbuka enzi zetu .Zamani kulikua na spirit sana unakuta wababe wote wa hesabu, au labda physics wanajulika kwa majina hata kama husomi nae habari utazipata tu
Bongo ujinga haukuanza leo , yaani hiyo ni necta na makemichal yameletwa yasiyo [emoji848]Yaani mi nilikua nikishapata pilot test natupa mavifaa Yao Huko yaani hapo practical imeisha.....
Mwaka wetu kemia practical ya titration tulifanya mpaka jasho likatoka, ngoma haibadiliki Wala Nini... Mpaka jamaa mmoja akaropoka 'huu ni ujinga' watu wakacheka, msimamizi anauliza Nini watu wakamwambia mbona hii practical Kila mtu inamgomea, wakamtafuta teacher wa kemia kaja kujaribu ikamshinda... Kumbe Hawa kenge walileta chemical sijui za wapi bana, ikabidi msimamizi aandike ripoti kuhusu Hilo swala tukaambiwa tuachane na Hilo swali... Wajinga sijui kama walitupa marks zetu
Walizingua sana Kuna wale waliokua wanatafuta u Tanzania one nusu roho iwatoke... Mi nilikua naangalia naona Kila mtu anahangaika nikawa nacheka kimoyo moyo nasema Leo kazi tunayo😃Bongo ujinga haukuanza leo , yaani hiyo ni necta na makemichal yameletwa yasiyo [emoji848]
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Sio kweli wengine tumesoma shule binafsi ila hawa majamaa wa uboyzini na tulikuwa tunameet nao kitaa hasa kwenye kutatua matatizo maalumu maana wao ndiyo walikuwa madaktari maalumRah ya huu Uzi watu wote wamesoma PCM PCB na wamesoma izo shule Maalum [emoji23]
Sa ivi ukipiga 1.5 pcb muhimbili huwezi pata intake, kwa ufaulu huu nadhani muhimbili wanachota 1 za tatu tu...Ile Ndiyo ilikuwa elimu sasa ila hii ya sasa hivi eti watoto wanapata div one kama njugu basi nacheka huki napata uchungu nikikumbuka enzi zetu .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Daa aisee story inasikitisha sanaAlienda kusoma Chuo India aliporudi akagongwa na gari ndo akapatwa na umauti. Huyu Mwamba alikuwa ni Soma soma muda wote ana mikate ya Physics mkononi.
Wanasema sasa hivi wanapata sana div one kwakuwa Wana akili sanaIle Ndiyo ilikuwa elimu sasa ila hii ya sasa hivi eti watoto wanapata div one kama njugu basi nacheka huki napata uchungu nikikumbuka enzi zetu .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Hivi huyu jamaa siku hizi yupo wapi?Umenikumbusha kijana mmoja anaitwa Rajabu ndegeulaya.
Tuna report advance Azania yeye alipitisha tangazo la kuwa anafundisha tuition Kwa WANACHUKUA PHYSICS, CHEMISTRY NA PURE MATHEMATICS.
WATU walizani ni form six kumbe ni form five alishamaliza topic zote mpaka za six basi ikabidi tuendelee kupiga mapindi kwa Ndegeulaya.