Sijui Kwa combination zingine Ila Kwangu Mimi PCM elimu ya advance ni muhimu kuliko kila kitu...Elimu ya kidato cha tano na Sita ni ya kupoteza muda tu. Binafsi nimeipitia kwa sababu sikuwa na taarifa sahihi za kujitosheleza.
Muhimbili kipindi hicho kuwa selected pale basi wewe ni kichwa .Sa ivi ukipiga 1.5 pcb muhimbili huwezi pata intake, kwa ufaulu huu nadhani muhimbili wanachota 1 za tatu tu...
Au pale udsm pcm hata 1.4 tele communication eng wanaweza wakakutema maana 1.3 ni za kumwaga.... Kuna mwaka T.0 mwenyewe alikua na 1.4 enzi zile Kuna somo Tanzania nzima hakuna aliyenusa A dadeki
Daa nimecheka sana eti tuko nao payroll za kizimkaziSio kweli wengine tumesoma shule binafsi ila hawa majamaa wa uboyzini na tulikuwa tunameet nao kitaa hasa kwenye kutatua matatizo maalumu maana wao ndiyo walikuwa madaktari maalum
Hivi miaka hiyo uwe mtabe wa maths alafu usijulikane mtaani aaaagh haikuwezekana kaka , hawa tuliwajua kwa kuwasikia na daily tulitamani kukutana nao yaani kiufupi walikuwa maarufu na pia walikuwa wanatafutwa na sisi wa akili za kuegesha japo all in all wengi wao tuko nao kwenye hizi hizi payroll za kizimkazi na tunakula keki pamoja .
Lakini lakufurahisha zaidi wao ni walevi kuliko sisi hivyo tunawacheka kwa hilo[emoji3]
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Hata miaka yetu 2013 physics ilikua haina A nchi nzima NI hatari aiseeSa ivi ukipiga 1.5 pcb muhimbili huwezi pata intake, kwa ufaulu huu nadhani muhimbili wanachota 1 za tatu tu...
Au pale udsm pcm hata 1.4 tele communication eng wanaweza wakakutema maana 1.3 ni za kumwaga.... Kuna mwaka T.0 mwenyewe alikua na 1.4 enzi zile Kuna somo Tanzania nzima hakuna aliyenusa A dadeki
Watuache kwanza , hiki kizazi cha sasa hakuna cha wana akili ni hamna kitu .Wanasema sasa hivi wanapata sana div one kwakuwa Wana akili sana
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kuna mwenzake alikuwa anaitwa Jamal Juma Babu, huyu jamaa alikuwa kiboko😂Rajabu juma ndegeulaya ,o'level alipiga na additional mathematics aisee alisoma azania na akarudi hapo hapo
Mpaka Leo wanachukua cream tuMuhimbili kipindi hicho kuwa selected pale basi wewe ni kichwa .
Nakumbuka kuna mwamba baada ya kuchaguliwa muhimbili alibadilisha mpaka mwendo alikuwa anatembea kama anataka kupaa .
Nilikuja kumkuta kigoma ni DMO wa kiwilaya kimoja huko ila hajaacha ule mwendo wa kimuhimbilimuhimbili[emoji3][emoji3]
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Mwaka wangu niliomaliza 2013 watu wenye div II.10 walikuwa admitted medicine muhimbiliSa ivi ukipiga 1.5 pcb muhimbili huwezi pata intake, kwa ufaulu huu nadhani muhimbili wanachota 1 za tatu tu...
Au pale udsm pcm hata 1.4 tele communication eng wanaweza wakakutema maana 1.3 ni za kumwaga.... Kuna mwaka T.0 mwenyewe alikua na 1.4 enzi zile Kuna somo Tanzania nzima hakuna aliyenusa A dadeki
Huyo Jamal juma alimaliza mwaka wa nyuma yake na alikuwa T.O advance yake chuo akaenda uturukiKuna mwenzake alikuwa anaitwa Jamal Juma Babu, huyu jamaa alikuwa kiboko[emoji23]
HehehehehWatuache kwanza , hiki kizazi cha sasa hakuna cha wana akili ni hamna kitu .
Daily wanaruka na ngoma za honey honey hizo akili wazitolee wapi boss
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Aliingia tatu bora, hakuwa T.O. Kuna kipindi alikuwa anafundisha Feza boys pale!Huyo Jamal juma alimaliza mwaka wa nyuma yake na alikuwa T.O advance yake chuo akaenda uturuki
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Mwaka upi huo?T.O wa mwaka wetu jamaa nilibahatika kusoma nae alikua kiboko sana yule dogo afu Hana tambo.... Jamaa nilishawahi kumpelekea swali la physics akalisolve alipomaliza akaniambia haya maswali achana nayo ni magumu mno hata necta hawawezi kulileta [emoji2][emoji2]
Ofcourse ni macream tu ndiyo yako pale hata siku hizi.Mpaka Leo wanachukua cream tu
Hii inaitwa usijione kichwa bado haujakutana na vichwaHizi shule(mzumbe,pugu,kisimiri,ilboru,kibaha and the likes) japokua siku izi nyingi zimepoteza sifa zake aisee kama una moyo mwepesi usiende huko unaweza kupata depression au pressure ukashindwa kusoma
Miaka Hio mwisho wa miaka ya 2000 niliripoti Moja ya shule tajwa hapo combination ya pcm... Kipindi hicho special school wamejaa watoto wa dar kutoka (kibaha, Azania, pugu) aisee Hawa madogo wana sifa kishenzi.... Mtu anakuja kuripoti form 5 ameshamaliza topic zote za form 5 anakaribia kumaliza za form 6
Sasa si matozi tulivyomaliza form 4 vitabu tukatupa Kule mpaka siku ya kuripoti hujawahi kupiga pindi lolote... Unakutana na vitoto vimesoma sijui mchikichini huko aisee wamefuta topic zote, aisee nilipata presha sana mpaka kuzoea ile Hali.... Nakuta madogo wanapiga integration kama hawana akili, ukikaa bwenini wanaulizana kwa nguvu reaction za organic. Chemistry huko....
Dah yaani mwezi wa kwanza form 5 watu wanasolve necta review nikasema hapa nimeyatimba... Aisee ile presha ya ku catch up nilipata shida Sana sio Siri... Ukiwa na roho nyepesi unaweza kukata tamaa Moja kwa Moja
Kuna dogo tumeingia form 5 alikua anaitwa T.O (Tanzania one) alitukimbiza wote form 4 aisee huyu Jamaa mpaka Leo hua namuogopa. Hua namwambia hata hii kazi ya u engineer unayofanya unastahili kua somewhere else una potential kubwa sana, picha linaanza tumeingia form 5 hapo.... Sasa form 6 walikua wanafanya fitness tests (hii anatokea mwanafunzi mmoja au wawili wanatunga mtihani alafu wengine wanafanya japo sio lazima)
Ujinga wa hii mitihani wanafunzi wanajua kukomoana yaani maswali yote unakuta ya kibabe... Kuzungusha 0 huku ni kawaida tu ndo maana wengi walikua hawataki huu ujinga, dogo bana tunafika form 5 kaskia form 6 wanafanya fitness test ya physics dogo akazamia akapiga Pepa... Matokeo yanatoka form 6 karibu wote wamefeli dogo kawakimbiza.... Wote wanaulizana hili jina nani mbona hatumjui... Kuja kuulizia wakaja kugundua ni dogo wa form 5 aisee jamaa walimind kinoma akapigwa marufuku kabisa kusogeza pua kwenye fitness tests za form 6
Huyu dogo tulipofika form 6 sidhani kama aliwahi kukaa akasoma, jamaa alikua anakaa zake class watu wamepanga foleni na maswali Yao yaliowashinda dogo anapiga yote tu hajali kama ni ya physics, chemistry, pure au bam ye anasolve tu. Alikuja kua Tanzania one tena form 6 jamaa walimtangaza hesabu paper 1 na 2 zote alipiga 100%.
Huku kama una roho ndogo sio pa kwenda mi nusura panishinde nilitaka nirudishe mpira kwa kipa(kuhamia private)
Anhaa Asante Kwa ufafanuziAliingia tatu bora, hakuwa T.O. Kuna kipindi alikuwa anafundisha Feza boys pale!
Muhimbili pale Kuna vitoto vya diploma unavuta Mali yako safi kabla ziwa halijalala😃😃Ofcourse ni macream tu ndiyo yako pale hata siku hizi.
Ubaya wa pale mademu wengi ni sura za baba na umbo la babu hivyo ukijichanganya ukatwisha mimba basi jua umeharibu taswira ya ukoo wako
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kweli mtupu chief, uzuri hizi shule watu wanakubaliana sana na reality hawadharau mtu unakuta mtu dogo mpo nae darasa Moja na anakupiga pindi fresh tuHii inaitwa usijione kichwa bado haujakutana na vichwa
Kuna Janja alikuwa anakimbiza shule aliyotoka kuanzia kidato ch kwanza huko yeye ni wa kwanza kufika huko mjini kati pepa la kwaza tu anajikuta huko mashinani ndio kujua kuwa kuna raia konki zaidi yako
Kidogo ilimuathiri ndio alipojua maana ya kukaza buti, maana unashindana na watu wapiojiandaa kuwa washindi lazima uumize ndonga
Ila uzuri msuli haumtupi mtu
Yah for sure..unajua kuna ile mtu anasoma unasema wacha afaulu maana she deserve..kuna wengine tulirelax hatukutaka shule ituendeshe tulisoma kwa leisure ilimradi usikose credit...